Mishahara ya wachezaji Simba SC msimu 2017/18 - Niyonzima kinara.

huu ndio ujinga wa soka la tanzania. wachezaji wazawa ndo wanapata vijicent tu. maproo uchwara ndo wanapeta. kweli kichuya alipwe kale kahela? haipendezi
Mkuu acha jazba

Hawa akina Bocco,Niyo wamesajiliwa juzi so obvious mishahara itakuwa mikubwa

Akina kichuya hio walisaini kitambo subiri wa renew mishahara itapanda
 
Asante kwa jibu zuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…