Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mimi nimesema wamekufa wote?Kwani waumini wake wote wamekufa?
Kwani Allah alishindwa kuwaandalia waamini makazi ya amani na utulivu bila kuachia dunia ijae maafa mengi yasiyo idadi pamoja na Covid-19?Allah kawaandalia waumini makaazi ya amani na utulivu,dunia sio upeo wa mwisho wa muumini, na daima muumini anaifahamu dunia nikama kivuli kina kuja na kuondoka. Muumini anaishi duniani kama msafiri tu, anajua muda wowote ataondoka, ikiwa kwa Corona ama sababu nyengine. " Kila nafsi itaonja mauti" muumini lazima atakufa bali hata asie muumini atakufa. You will die brother, both me and you.
Allah kaweka utaratibu wa kuja duniani na kuondoka, pia amewaweka wanaadamu hapa duniani kwa ajili ya kuwajaribu, hivo basi, magonjwa mbalimbali yanayowapata, ajali, kupoteza maisha na mali haya ndio majaribio anayo wajaribu waumini na wasio waumini. Anatazama nani atafaulu. Vipi umetoshelezeka na majibu au unahitaji maelezo zaidi?Kwani Allah alishindwa kuwaandalia waamini makazi ya amani na utulivu bila kuijaza dunia maafa mengi yasiyo idadi pamoja na Covid-19?
Allah kashindwa kufanya hata hivyo virusi visiweze kuingia na kusambazwa msikitini?
Hujajibu swali hili.
Kwa hiyo Allah kashindwa kumuondoa mtu duniani katika namna ambayo haitasababisha misikiti yake Allah mnayoiita mitakatifu ifungwe kwa kuogopa ugonjwa?Hapana hajashindwa kaamua kumuondoa katika system kwakua hakumuumba kukaa duniani milele.
Allah anaabudiwa popote, sio lazima msikitini, kiufupi ibada maana, ni jina lililokusanya kila ambacho Allah anakipenda na kukiridhia katika kauli na matendo. Suala la kufunga misikiti ni mojawapo ya njia za kukabiliana na magonjwa ya mripuko, na Allah amewaelekeza waja wake wachukue tahadhari, pia amewaambia wasiziingize nafsi zao katika maangamizo.Kwa hiyo Allah kashindwa kumuondoa mtu duniani katika namna ambayo haitasababisha misikiti yake Allah mnayoiita mitakatifu ifungwe kwa kuogopa ugonjwa?
Mbona hili swali unalikwepa?
Mungu kwa nini ameachia waumini wake washindwe kujumuika misikitini kumuabudu kwa sababu ya kuogopa Corona?
Mungu kashindwa kuifanya Corona isiingie wala kuambukizwa msikitini watu wamjue kweli yupo wakimbikie misikitini kumuabudu?
Nikikwambia huyo Mungu hayupo, ni hadithi iliyotungwa na watu tu.
Ndiyo maana kashindwa kufanya Corona isiweze kuingia msikitini.
Kwa sababu ikiwa hayupo, hawezi kuzuia Corona kuingia msikitini.
Nikikwambia hivyo, utaweza kuthibitisha huyo Allah yupo kweli?
Unaweza kuthibitisha kuwa Allah hayupo na kwamba ni hadithi tu? Unaanza vipi kuthibitisha hilo, wakati hapo mwanzo hukuwepo? Unazaje wakati hata mbwa anakushinda kunusa harufu, unanzaje kukanusha kuwa hayupo wakati hata huwezi kuona angani bila ya visaidizi. Unanzaje kukanusha wakati bila ya microscope huwezi kuona microorganisms? Human being are weak. You can't deny him.Kwa hiyo Allah kashindwa kumuondoa mtu duniani katika namna ambayo haitasababisha misikiti yake Allah mnayoiita mitakatifu ifungwe kwa kuogopa ugonjwa?
Mbona hili swali unalikwepa?
Mungu kwa nini ameachia waumini wake washindwe kujumuika misikitini kumuabudu kwa sababu ya kuogopa Corona?
Mungu kashindwa kuifanya Corona isiingie wala kuambukizwa msikitini watu wamjue kweli yupo wakimbikie misikitini kumuabudu?
Nikikwambia huyo Mungu hayupo, ni hadithi iliyotungwa na watu tu.
Ndiyo maana kashindwa kufanya Corona isiweze kuingia msikitini.
Kwa sababu ikiwa hayupo, hawezi kuzuia Corona kuingia msikitini.
Nikikwambia hivyo, utaweza kuthibitisha huyo Allah yupo kweli?
Mi nimethibitisha Allah hayupo na uthibitisho nimeuweka humuUnaweza kuthibitisha kuwa Allah hayupo na kwamba ni hadithi tu? Unaanza vipi kuthibitisha hilo, wakati hapo mwanzo hukuwepo? Unazaje wakati hata mbwa anakushinda kunusa harufu, unanzaje kukanusha kuwa hayupo wakati hata huwezi kuona angani bila ya visaidizi. Unanzaje kukanusha wakati bila ya microscope huwezi kuona microorganisms? Human being are weak. You can't deny him.
Okay, nani ataamua kama uthibitisho wako upo sahihi? Umetumia kitu gani ambacho tunaweza sote tukakubaliana kama ndio marejeo juu ya uthibitisho wako? You feel me right? There must be something, I mean the source of the validity.Mi nimethibitisha Allah hayupo na uthibitisho nimeuweka humu
I got the Quran and the saying of the Prophet Muhammad peace be upon him, as my source of validity, what do you have?Okay, nani ataamua kama uthibitisho wako upo sahihi? Umetumia kitu gani ambacho tunaweza sote tukakubaliana kama ndio marejeo juu ya uthibitisho wako? You feel me right? There must be something, I mean the source of the validity.
Hayo yote yamejieleza kwenye uthibitidho ambao nimeuwekaOkay, nani ataamua kama uthibitisho wako upo sahihi? Umetumia kitu gani ambacho tunaweza sote tukakubaliana kama ndio marejeo juu ya uthibitisho wako? You feel me right? There must be something, I mean the source of the validity.
Hujajibu swali.Allah anaabudiwa popote, sio lazima msikitini, kiufupi ibada maana, ni jina lililokusanya kila ambacho Allah anakipenda na kukiridhia katika kauli na matendo. Suala la kufunga misikiti ni mojawapo ya njia za kukabiliana na magonjwa ya mripuko, na Allah amewaelekeza waja wake wachukue tahadhari, pia amewaambia wasiziingize nafsi zao katika maangamizo.
The Quran is full of contradictions, therefore it cannot be the source of validity.I got the Quran and the saying of the Prophet Muhammad peace be upon him, as my source of validity, what do you have?
I didn't ask you to bring the proof of your bookI got the Quran and the saying of the Prophet Muhammad peace be upon him, as my source of validity, what do you have?
Allah anaweza kuthibitishwa kwamba hayupo kwa contradictions, kwa "proof by contradiction" unaelewa hilo?Unaweza kuthibitisha kuwa Allah hayupo na kwamba ni hadithi tu? Unaanza vipi kuthibitisha hilo, wakati hapo mwanzo hukuwepo? Unazaje wakati hata mbwa anakushinda kunusa harufu, unanzaje kukanusha kuwa hayupo wakati hata huwezi kuona angani bila ya visaidizi. Unanzaje kukanusha wakati bila ya microscope huwezi kuona microorganisms? Human being are weak. You can't deny him.
What is "proof by corporations"?Yes, I do, but is "proof by corporations valid"