#COVID19 Misikiti mitano yafungwa Saudia baada ya waumini 7 kukutwa na Corona

#COVID19 Misikiti mitano yafungwa Saudia baada ya waumini 7 kukutwa na Corona

Bado hai make sense wajua kwanini !?
Huwa mnasema katika Qur'an Kuna mafundisho yote mpaka sayansi Sasa Kama hivyo ndivyo inakuwaje waislam mshindwe kuja na tiba kwanini msitumie hiyo Qur'an ambayo ndani yake' Ina mafunzo ya kisayansi kuiponya dunia kutofanya hivyo hauoni kwamba inadhihirisha wazi kuwa huwa mnatudanganya
Hii ya kuran kuwa na mafundisho ya sayansi leo kuna mtu kaikana katakata
 
Nd maan binadamu nimekupa mfano wa kuhus mtihani wa what is biology. Mitihani ya Mungu ni hayo majanga know the difference. Turudi kwenye hoja. Mungu katoa vitabu vitakatifu vilivyoeleza kinaga ubaga madhara ya ukaidi. Nd inatakiwa ujibu paper sasa. Kwani huwezi ukampa mtu swali la mtego ili ajijue ni mjinga kaisi gani kiasi kwamba aombe msaada?

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Unaelewa shabaha ya mtihani?

Maana yake ni njia itakayomuwezesha mwalimu kujua ni kiasi gani umeelewa mafundisho yake

Kwa maana hiyo huyu mtihani unakazi ya kumjulisha mwalimu kazi yake aliyokua akiifanya kukufundisha wewe umeelewa kwa kiwango gani

Hivyo mwalimu huyu anakua ana imperfection, hawezi kujua kama unaelewa aliyokufundisha mpaka akupe maswali ya kukupima

Sasa mungu mwenye ujuzi wote ambaye alijwisha kujua hatma yako kabla hujazaliwa anaanzaje kukupa mitihani?

Anakuoa mitihani kwa lengo lipi? Inamaana hana uhakika na maono yake aliyoyaona before?
 
Kwani katika sayansi hakuna kipengele cha prevention and control Mkuu? Au hujui njia za kukabiliana na magonjwa ya mripuko?
Hujawahi hata kusikia prevention is better than cure?!
Prevention is better than cure this statement can easily make sense in the world where god does not exist

Kwanini kuwe na prevention kwenye ulimwengu ambao mungu mjuzi wa yote, upendo wote na muweza wa yote ndio mtawala?

Sayansi imeshindwa namna ya kudhibiti magonjwa yasiweze kuumba ulimwengu na ndio maana imeweka precautions

Sasa mungu anayekupa taadhari inamaana kashindwa kuyazuia?
 
Hahahaha, ila sayansi ni kubwa, upande wa pili wa Quran yaani hadithi za Mtume zimewataka watu watafute tiba kwa kila ugonjwa. Sasa kama Quran unataka ilete tiba ya kila gonjwa unadhani kingeweza kuwa na ukubwa gani?!
Kwani si kimeshushwa?
 
Baada ya kufaulu huo mtihani kuna malipo, halafu uwepo wa mwanadamu duniani ni wa muda tu hivyo hakuumbwa kuwa abaki duniani kufa lazima atakufa iwe kwa Corona ama chengine chochote hizo ni sababu tu ambazo aliyewaumba alitaka mfumo wa maisha uwe hivyo
Unakubali kila kitu kinafata utaratibu ambao mungu amekiwekea?
 
Prevention is better than cure this statement can easily make sense in the world where god does not exist

Kwanini kuwe na prevention kwenye ulimwengu ambao mungu mjuzi wa yote, upendo wote na muweza wa yote ndio mtawala?

Sayansi imeshindwa namna ya kudhibiti magonjwa yasiweze kuumba ulimwengu na ndio maana imeweka precautions

Sasa mungu anayekupa taadhari inamaana kashindwa kuyazuia?
Hapana, hajashindwa kuyazuia, ila mfumo wake wa utendaji kazi ameweka wanaadamu wafanye sababu ili waweze kujitatulia shida zao. Na kwakuwa tayari ameshawapa akili ya kuweza kufanya hivo.
 
Unakubali kila kitu kinafata utaratibu ambao mungu amekiwekea?
Ndio kila kitu kinafata utaratibu, hakuna ambalo lipo nje ya utaratibu ambao muumbaji kauweka. Yawe mazuri machoni mwetu ama yawe mabaya, yeye ndiye muendeshaji wa kila kitu.
 
Hapana, hajashindwa kuyazuia, ila mfumo wake wa utendaji kazi ameweka wanaadamu wafanye sababu ili waweze kujitatulia shida zao. Na kwakuwa tayari ameshawapa akili ya kuweza kufanya hivo.
kwa hiyo unamaanisha alishindwa kuumba ulimwengu ambao hauruhusu mabaya?
 
Ndio kila kitu kinafata utaratibu, hakuna ambalo lipo nje ya utaratibu ambao muumbaji kauweka. Yawe mazuri machoni mwetu ama yawe mabaya, yeye ndiye muendeshaji wa kila kitu.
kwa maana hiyo huwezi kumlaumu mtu kwa namna alivyo kua kwasababu we're just programmed?
 
Hawa jamaa mbona wanaenda kinyume na maagizo ya mtume wao??mtume alisema magonjwa hayaambukiziki yani hakuna gonjwa linaloambukizika...sasa kwanini wanakwepa mikusanyiko?
 
Sasa watafunga mingapi maana mtu anaweza kuswali kila sala kwenye misikiti tofauti kwa siku moja,kuanzia alfajiri hadi usiku akawa katumia misikiti tofauti.
Si ndio umeona wanaendelea kuifunga? Wanafunga huku wanajaribu kuua hao covid 19, huwezi jua labda wakijiridhisha (baada ya kupulizia dawa ) wanaifungua mmoja mmoja
 
Hawa jamaa mbona wanaenda kinyume na maagizo ya mtume wao??mtume alisema magonjwa hayaambukiziki yani hakuna gonjwa linaloambukizika...sasa kwanini wanakwepa mikusanyiko?
Hahahaha umetoa wapi hayo maneno ya Mtume
 
kwa maana hiyo huwezi kumlaumu mtu kwa namna alivyo kua kwasababu we're just programmed?
We are not programmed, just alijua at first kila mtu atatenda kitu flani hata kabla hajatuumba, akaimuru kalamu ikaandika yote.
 
Back
Top Bottom