#COVID19 Misikiti mitano yafungwa Saudia baada ya waumini 7 kukutwa na Corona

#COVID19 Misikiti mitano yafungwa Saudia baada ya waumini 7 kukutwa na Corona

Wizara ya mambo ya kiislamu nchini Saudi Arabia,leo imeifunga misikiti mitano kwa muda kutoka mikoa mitatu tofauti baada ya kesi saba za virusi vya Corona kupatikana katika baadhi ya waumini, idadi ambayo inafikisha jumla ya misikiti iliyofungwa ndani ya siku 11 kufikia 92 ambapo 79 imeshafunguliwa baada ya kupulizwa madawa na kukamilika kwa hatua za kuhakikisha utayari wa za kiafya zipo katika hali inayotakiwa.

Chanzo: Wizara ya mambo ya kiislamu S. Arabia.

Kuna nchi ina mijitu inajifanya yenyewe ni miumini sana. Kumbe ninaji mkubwa.

Ingekuwa ni makazi ya huko ingesema hiyo ni vita vya kiuchumi dhidi ya jiwe.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nitajie kampuni gan ya kimarekani inatoa chanjo ambayo haitambui haki za mashoga!!!

Ili kuondokana kutumia vitu vya kikafiri ndio maana sis tuna hoji kwann Allah ameshindwa kuwaonyesha na kuwapa waumini wake kipawa cha elimu ya kugundua chanjo... Ila anawapa makafiri tu.
Tatizo hujui kabisa kuhusu maandiko. Bible imeonesha kutakuwa na majaribu yataletwa na shetani na atakitokeza shetani katika sura tofauti kudai kwamba anaweza kukusaidia ila ukisimama katika kweli huwezi ukamfuata. Na shetani anaweza pita hata kwa wa karibu zaidi unaemwamini. Ila simama na kweli. Kwani inakuwaje mtu analrogwa na mchawi halafu anaenda kwa mganga?

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nitajie kampuni gan ya kimarekani inatoa chanjo ambayo haitambui haki za mashoga!!!

Ili kuondokana kutumia vitu vya kikafiri ndio maana sis tuna hoji kwann Allah ameshindwa kuwaonyesha na kuwapa waumini wake kipawa cha elimu ya kugundua chanjo... Ila anawapa makafiri tu.
Yani unapewa mtihani unataka na majibu?

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
[emoji16][emoji16][emoji16] Mungu anazidiwa akili na watu wa shetani halafu ana jiita Ni mjuzi wa yote

Yaani Tena jinsi ambavyo alivyo mlaani shetani katika vitabu vyake lakini ajabu Ni kwamba anawaruhusu watu wake wapewe chanjo na watu a shetani [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Aisee wonders shall never ends
Hivi wewe nd hujui dini kabisa hivo!? Aliekuambia nchi ikiwa ya kidini hakuna dhambi nani? Imani ni individual thing sio collective thing.

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Eti kanijibu hapana allah yeye ndiye muumbaji wa kila kitu Hana chanzo yaani kamaliza hivyo yaani bila ithibati na anataka niamini [emoji3][emoji3][emoji3]
Logic nyepesi 2 kama Mungu alikuwa anaweza kuumba kila kitu kwa kutaja 2. Je aliemuumba we unahisi angeitwa nani na angemuumba mtu mwingne afanye kazi yake ili iweje mbona swali lako ndo halina logic.

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Simmesema kila kitu lazima kiwe na chanzo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

So inamaana huyo Mungu alizuka tu pasipo uwepo wa chanzo kilicho mfanya awepo !?? Kama kwake yeye iliwezekana hivyo yaani akawepo bila uwepo wa chanzo chake kwanini ishindwe kuwezekana hivyo katika vitu vilivyopo duniani ambavyo mnadai kwamba uwepo wake ume sababishwa na Mungu ''

Yaani Kama mkitaka teuelwane hapa kwamba kanuni ya uwepo wa vitu au kitu fulani ili kiwepo Ni lazima kiwe na chanzo Cha aliye kiweka Basi yatupasa tukubaliane hapa kwamba Mungu nayeye ana Mungu wake aliye pelekea uwepo wa Huyo Mungu wenu kuepo ... Kama Mungu Hana aliye sababisha uwepo wake na Hilo linawezekana yeye kuwepo Basi simply tu hata hivi vilivyopo duniani vinawezekana kuwepo bila kuhitaji kuwekwa na yeyote yule full stop [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kiini cha mwanadamu ni nini?

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Yaani na ujanja wako wote unakubaliana na hizo esopo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Mbona hata Mimi ninauwezo wakukubadilisha jinsia je na Mimi Ni Mungu au nimtume !?

Wenzenu walikuwa wanatumia mazingaombwe kuwa brain washe na nyinyi mmekubali kuhadaika [emoji16][emoji16][emoji16]
Dini ya kweli nd oldest dini sasa mazingaombwe mbon yamepita mengi yametoweka iliwepo mizimu yenu.

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ona huyu mlokole hicho kitabu kina contradiction kibao unaanzaje kukiamini kitabu Kama hicho ...mpaka Sasa kimeshindwa kuthibitisha kuwa kinaijua sayansi Kama kilivyo sema but Still unakiamini

Ama kweli wewe Ni thumun bukumun umuyun [emoji16][emoji16][emoji16]
Sas unataka uletewe hyo dawa wewe ambae umemkana Mungu. Huyo Mungu angekuwa dhaifu sana yani mtu akukane afu umsaidie? Duu we ulisikia wapi?

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna kosa kubwa ambalo mwanadamu anaweza kulifanya kama kufunga Kanisa. Kufunga Kanisa maana yake "umesarenda" kwa ibilisi. Shetani anachukua pointi tatu muhimu mezani mchana kweupe. Yaani ...


YESU NI BWANA NA MWOKOZI.
Ujue katika makanisa imani zinatofautiana. Ko unachosema ni kweli kabisa kwa mtu mwenye imani kufunga kanisa kisa corona ni upumbavu wa hali ya juu kabisa. Ila ujue shetani ni mjanja anawafuata viongozi maan nao ni binadamu anawahadaa anawapa solution zake za kishetani ila kwa sura nyingne. Sasa wale wenye imani ndog hutetereka na kuanza kumtegemea yeye. Lengo lake linakuwa limetimia anatengeneza problem analeta solution. Then moja kwa moja unakuwa umemuabudu.

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Labda niwaambie ndugu zangu nyie wafia dini... Hainanishi kwamba sisi tuna chuki na nyinyi ila tunachojaribu ni kuwaonyesha jinsi ya kutumia fikra zenu kwa usahii..hata sisi tumezaliwa ktk familia za hizi dini kwa kurithishwa na sio kupewa nafasibya kufikiri kwa kina!!!

Nakumbuka kipind nasoma na hata sana hv iyo kitu ipo mawaidha mengi ya mashehe unakuta wanakwambia elimu dunia haifai..lkn ikifika mahala magonjwa yametokea!!! Dini zinakosa majibu...!!!

Nakumbuka kunasheikhe mmoja alikuwa anasema misiruhusu watoto wenu wakike waenda mavyuoni wanaharibaka wanamuhasi au siku nyingine tena shehe yule yule akawa anasema madokta wakikristo wanawavua wake zetu nguo wanawashikashika na nyie waislam mkaa kimya tu. Lkn seikhe huyu huyu alisahau kwamba alisema waumini wasikubali watoto waende shule wataharibikiwa...!!!

Dini zmefanya afrika tusiwe na maendele kwasbb ya upumbavu tunaamini kusoma ni ujinga na kuuasi Mungu lkn hapohapo tunataka maendeleo tunapataje maendeleo bila elimu?... juzi tena kuna yule mchungaji anakata watu wasiende shule wasome bibilia tu ili waende mbinguni tukikuuliza ww ulishawahi kwenda mbinguni jibu huna. Amkeni nyinyi wa afrika
Ni kosa kubwa sana kutumia mapungufu ya mtu mmoja mmoja kulitukana kanisa. Nkuulize swali Tanzania kuna mashoga. Je wewe ni shoga? Kama sio kwann useme mtumishi fulani kafanya hivi basi nyny wote mko hivi?

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Labda niwaambie ndugu zangu nyie wafia dini... Hainanishi kwamba sisi tuna chuki na nyinyi ila tunachojaribu ni kuwaonyesha jinsi ya kutumia fikra zenu kwa usahii..hata sisi tumezaliwa ktk familia za hizi dini kwa kurithishwa na sio kupewa nafasibya kufikiri kwa kina!!!

Nakumbuka kipind nasoma na hata sana hv iyo kitu ipo mawaidha mengi ya mashehe unakuta wanakwambia elimu dunia haifai..lkn ikifika mahala magonjwa yametokea!!! Dini zinakosa majibu...!!!

Nakumbuka kunasheikhe mmoja alikuwa anasema misiruhusu watoto wenu wakike waenda mavyuoni wanaharibaka wanamuhasi au siku nyingine tena shehe yule yule akawa anasema madokta wakikristo wanawavua wake zetu nguo wanawashikashika na nyie waislam mkaa kimya tu. Lkn seikhe huyu huyu alisahau kwamba alisema waumini wasikubali watoto waende shule wataharibikiwa...!!!

Dini zmefanya afrika tusiwe na maendele kwasbb ya upumbavu tunaamini kusoma ni ujinga na kuuasi Mungu lkn hapohapo tunataka maendeleo tunapataje maendeleo bila elimu?... juzi tena kuna yule mchungaji anakata watu wasiende shule wasome bibilia tu ili waende mbinguni tukikuuliza ww ulishawahi kwenda mbinguni jibu huna. Amkeni nyinyi wa afrika
Mnachekesha kweli waafrica aisee. Mlikuwa na maendeleo gani nyinyi? Vyo vyenyewe mlikuwa hamvijui. Biashara mlikuwa hamzijui. Mlikua mnanuka dhambi na uchafu wa kila aina. Ubaguzi wa kila aina. Mlikuwa hamjui maan ya kuishi ndani ya makazi bora. Mlikuwa nothing. Hamkuwa hata na mazao ya vyakula tofauti tofauti. Mlikuwa hamjuie ela nyny. Hamjui usafiri. Leo hii mnasema mngebaki na utopolo wenu ule mngeendelea? Duuuuuhhhh!!!

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Vitu ambavyo ni human made ambavyo ni artificial vina chanzo

Lakini hivi tulivyo vikuta havina chanzo

Kama havina chanzo vinadhihirisha kwamba Mungu hayupo

Kama vinachanzo vinathibisha kwamba Mungu na yeye ana chanzo chake yaani ana Mungu wake


So kwa upande wangu Mimi msimamo wangu Ni kwamba havina chanzo na Mungu hayupo ...

Haya leta hoja [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Halafu huyo Mungu wake chanzo chake ni kipi? There is point of start of life. Sas we umevikuta huwezi jiuliza wa kwanza kuvikuta ilikuaje? Kama artificial ina chanzo sas jiulize binadamu aligunduaje kuwa tunaeza tengeneza chanzo fulani? Kama sio kuiga vilivyopo. Au ntajie kitu ambacho binadamu kaanzisha kipya kabisa kimsingi hajaiga kwenye vilivyopo.

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Ila umesahau kitabu kitakatifu nacho kimeandikwa na mtu...
We unaongea lugha ya Mungu? Vitabu vililetwa hasa kwa ajili ta watu wenye dhambi maan hawaongei godese(lugha ya Mungu wanaongea wenye imani tu kwahiyo ilibidi awepo mtafsiri nae ni nabii aliekuwa anaongea godeese. NB. Godeese simaanishi kunena kwa lugha)

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Mimi nimelelewa katika hiyo dini lakini nimekataa kuwa ndondocha wa kufikiri

Yaani imagine unaambiwa yunus sijui alimezwa na samaki halafu baada ya samaki kutembea kwa muda mrefu baharini akamtapika yunusi akiwa mzima [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Alipata wapi sehemu ya kuvuta hewa na lile joto la yule samaki tumboni jinsi lilivyo aliwezaje kutoka akiwa hai Jamani jamani acheni masihara mjue [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Halafu dini inakutaka uamini tu huo upumbavu .... Aisee endeleeni kuamini wenyewe Mimi mniache
Daa we jamaa samahani lakini? Either upeo wako wa kutafsiri mambo mdogo sana au una dhana ya kiburi. Yani unashangaa mtu kutemwa na samaki kuliko kuzaliwa kwako? Hii sasa ni hatari. Hushangai kwann unaongea unapumua unaakili unamaamuzi fulani una upendo unashangaa kumezwa na samaki. Ko wewe akitokea mganga hapa akatibu corona maan ake nd utamuabudu. Yani wwe ungekuepo kipindi cha kina Thor kwa maajabu waliokuwa wanafanya basi naamini ungekuwa member wao.

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Hakiwezekani je wewe ulishawahi kushuhudia utueleze hapa jinsi inavyo wezekana

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Ila Kuna watu kweli Nikondoo
Mimi kitendo cha kuzaliwa kujaliwa maarifa na kuendelea kuishi ni maajabu kuliko yona kumezwa na samaki.

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Hivi umeelewa hata ulicho kiandika Soma kwanza mkuu

Halafu uwezo wa Huyo Mungu muweza wa yote unaufana nishaje na binaadamu ambaye Hana sifa ya uweza wa yote binaadamu kwa kuwa Hana hiyo sifa Ni haki yake' kupima kitu au Jambo ili aweze kuwa na uhakika nalo kwa sababu Hana uwezo wa yote angekuwa nao Wala asingekuwa anapoteza muda wake kukipima kitu Ambacho ana kijua kuwa matokeo yake' Ni haya .... Huyo Mungu wenu ana onyesha kwamba Ni muongo na utendaji wake hauna tofauti na binaadamu ambaye hajui yote so kwa mantiki hiyo Hana sifa zinamfanya aitwe Mungu
Nd maan binadamu nimekupa mfano wa kuhus mtihani wa what is biology. Mitihani ya Mungu ni hayo majanga know the difference. Turudi kwenye hoja. Mungu katoa vitabu vitakatifu vilivyoeleza kinaga ubaga madhara ya ukaidi. Nd inatakiwa ujibu paper sasa. Kwani huwezi ukampa mtu swali la mtego ili ajijue ni mjinga kaisi gani kiasi kwamba aombe msaada?

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hajui kusoma Wala kuandika halafu anawapa maono yake' watu wamuandikie so alikuwa anauhakika upi kuwa kile kinachoandikwa na hao aliowapa maelekezo ndio hicho hicho alichokiota ndotoni
Weak point. M2 asiesoma akipata uvumbuzi hawezi enda kuwapa wazo wasomi wenye ujuzi fulani na wakachambua na kupitisha kama kina logic. We una uhakika kila mgunduzi katika science alikuwa na elimu?

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom