hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
[emoji3][emoji3][emoji3] mfano wako mzuri Sana binaadamu aliyetengeneza gari kwa mujibu wako ameumbwa na Mungu sindio !??Sas kilichoumbwa cha wezaje kuumba wakati aliekiumba hataki kiumbe. Chukua mfano mdog 2. Binadamu anatengeneza gari analiendesha ila gari halitengezi kitu mpaka aamue. Nd maan kuna computer ambayo kwa sehemu kubwa inaez perform baadhi ya operation kuunda k2.
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Na Mungu na yeye aliye muumba binaadamu na yeye ana Mungu wake aliye muumba [emoji16][emoji16][emoji16]