#COVID19 Misikiti mitano yafungwa Saudia baada ya waumini 7 kukutwa na Corona

#COVID19 Misikiti mitano yafungwa Saudia baada ya waumini 7 kukutwa na Corona

Hautoshi kwani aliyekuambia ili Mimi na wewe tuwepo ni lazima kuwe na uwepo wa Mungu Nani !? Mbona umekarilishwa vibaya
Kwasababu haiwezekani kitu kutoka from nothing
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nitajie kampuni gan ya kimarekani inatoa chanjo ambayo haitambui haki za mashoga!!!

Ili kuondokana kutumia vitu vya kikafiri ndio maana sis tuna hoji kwann Allah ameshindwa kuwaonyesha na kuwapa waumini wake kipawa cha elimu ya kugundua chanjo... Ila anawapa makafiri tu.
Kwani hao waumini nao hawafanyi madhambi?mbona unahoja za kitoto.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nitajie kampuni gan ya kimarekani inatoa chanjo ambayo haitambui haki za mashoga!!!

Ili kuondokana kutumia vitu vya kikafiri ndio maana sis tuna hoji kwann Allah ameshindwa kuwaonyesha na kuwapa waumini wake kipawa cha elimu ya kugundua chanjo... Ila anawapa makafiri tu.
Hahahaha, hata kama wanatambua sie hatujakatazwa kutumia chanjo. Mkuu uislamu ni system kabisa. Pia hawatoi bure ni biashara.
 
Rudia kusoma nilichoandika mwisho nmesema aliyeleta quran?
Ndugu yangu Hawa watakuchosha [emoji3][emoji3]

Ni type Yale watu waliotajwa kwenye Qur'an Yao

Wanamacho lakini hawaoni Wana masikio lakini hawasikii Hawa wamesha kunywa maji ya bendera hata uwe na fact za kiasi gani watakubishia tu sometimes maswali hawajibu yaani unawapa hoja halafu wao wanakuja kujibu hoja nyingine kabisa tofauti na kile ulichokiuliza [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kwahiyo tunakubaliana kwamba Mungu nae ana Mungu wake !?
Hapana, Allah hana mwenza yupo peke yake, muumbaji wa kila kitu. Ila visivykua yeye haviwezi kuwa vimekuwa vyenyewe tuu, ama kaviumba yeye au vimetokana na aliemuumba yeye
 
Ndugu yangu Hawa watakuchosha [emoji3][emoji3]

Ni type Yale watu waliotajwa kwenye Qur'an Yao

Wanamacho lakini hawaoni Wana masikio lakini hawasikii Hawa wamesha kunywa maji ya bendera hata uwe na fact za kiasi gani watakubishia tu sometimes maswali hawajibu yaani unawapa hoja halafu wao wanakuja kujibu hoja nyingine kabisa tofauti na kile ulichokiuliza [emoji16][emoji16][emoji16]
Hahahaha mtazame vile, wewe ndio hio type na huyo mshkaji wako.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nitajie kampuni gan ya kimarekani inatoa chanjo ambayo haitambui haki za mashoga!!!

Ili kuondokana kutumia vitu vya kikafiri ndio maana sis tuna hoji kwann Allah ameshindwa kuwaonyesha na kuwapa waumini wake kipawa cha elimu ya kugundua chanjo... Ila anawapa makafiri tu.
[emoji16][emoji16][emoji16] Mungu anazidiwa akili na watu wa shetani halafu ana jiita Ni mjuzi wa yote

Yaani Tena jinsi ambavyo alivyo mlaani shetani katika vitabu vyake lakini ajabu Ni kwamba anawaruhusu watu wake wapewe chanjo na watu a shetani [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Aisee wonders shall never ends
 
Hapana, Allah hana mwenza yupo peke yake, muumbaji wa kila kitu. Ila visivykua yeye haviwezi kuwa vimekuwa vyenyewe tuu, ama kaviumba yeye au vimetokana na aliemuumba yeye
[emoji3][emoji3][emoji3] wewe jamaa siumesema hakuna kinacho exist bila uwepo wa chanzo Sasa Huyo Mungu wako atakosaje chanzo Cha uwepo wake mbona mnadesturi wa kujibu maswali magumu kwa wepesi hivyo

Hebu leta uthibitisho hapa unaoonyesha kwamba Mungu wako Hana chanzo
 
Hapo ndipo tujuwe dini ni imani tu, corona haina dini bana...
Kama ingekuwa tofauti basi isingefanya fujo?!
 
Hahahaha mtazame vile, wewe ndio hio type na huyo mshkaji wako.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] msinichoshe ngoja nikale mie watu gani mnabishana tu bila logic

Khaaaaa !!!!!
 
Eti kanijibu hapana allah yeye ndiye muumbaji wa kila kitu Hana chanzo yaani kamaliza hivyo yaani bila ithibati na anataka niamini [emoji3][emoji3][emoji3]
Watu waliopita mfano wako, walitaka watolewe ngamia kutoka katika jabali na walipotolewa pia haikuwasaidia kitu.
 
Back
Top Bottom