hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Thibitisha hili [emoji16][emoji16][emoji16]Hao walioleta chanjo wameletewa na aliteremsha Quran,na yeye ndio aliewapa hicho kipawa. Kamwe hawawezi kuwa juu yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thibitisha hili [emoji16][emoji16][emoji16]Hao walioleta chanjo wameletewa na aliteremsha Quran,na yeye ndio aliewapa hicho kipawa. Kamwe hawawezi kuwa juu yake.
Aliyekuambia kuwa Qur'an imeahushwa kwaajili ya wasaudia Nani halafu mbona haujibu maswali unayoulizwa [emoji3][emoji3][emoji3]Mkuu kwanza sio kweli kuwa Quran imeshuka kwa ajili ya wasaudi tuu au kwa ajili ya waislamu pekee. Quran ni kwa ajili ya viumbe wenye akili. Wote mimi , wewe na wengine.
Huyo muumini katoa chanjo katika Qur'an??? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Una uhakika gani katika hao waliotengeneza chanjo hakuna wanaumini? Then Allah anamtumia amtakae yoyote kwakuwa yeye ndie anaewamiliki.
Qur'an si kitabu cha sayansi bali kuna maelezo yaliyo kwenye Qur'an ambayo hukubaliana na sayansi. Halafu hata kitabu kikiwa cha Sayansi haina maana kina tiba,kwani kuna vitabu vingapi vya sayansi mbona bado kuna magonjwa hayana tiba? sasa hiyo akili ya kutaka Qur'an iwe na tiba ya corona kisa kwenye Qur'an kuna maelez ya sayansi umepata wapi hiyo akili?Sayansi Ni uwanja mpana unaogusa kila nyanja ya maisha ya mwanadamu so Kama Qur'an imeshidwa kutoa majibu ya dawa za magonjwa mbali mbali hiyo Qur'an ilikuwa Inazungumzia sayansi gani !??
Swali langu kwako je umeshawahi kusikia kwamba huu mfumo fulani wa sayansi tunaoutumia Sasa ni mfumo ambao umewahi kutoholewa katika Qur'an Kama jibu Ni hapana Sasa hiyo Qur'an ilikuwa inaongelea sayansi gani mbona kimekuwa nikitabu Cha uongo kiasi hicho
Swali langu kwako je Ni sahihi kukifuata kitu Ambacho Ni kidanganyifu
Marekani ina support haki za mashoga... na baadhi ya watoa misaada ni mashoga vpi muumini kupokea msaada kutoka kwa watu wa aina hyo![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Na sio lazima chanjo iletwe na Quran hata ukileta wewe sisi tutatumia Mkuu dini yetu haijakataza as long as ipo salama.
Sayansi maana yake Ni gunduzi mbali mbali Sasa kitabu kinavyosema kwamba kinaongelea sayansi halafu kinashindwa kuleta gunduzi mbalimbali katika jamii tunapaswa kukionaje/ kukitafasiri vipi ??Hahahaha huyo aliekuambia Quran ni kitabu cha dawa nan Mkuu!!! Unajua huku kwenye internet kumejaa takataka sasa kama huna uwezo wa kuhakiki taarifa ambazo unazosikia au kuzisoma, I can not help you with that.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama ndivyo Basi Mungu nae ana mgunduzi wake [emoji3][emoji3][emoji3]
Umeshindwa kuthibitisha now unaanzaje kuhubiri [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]No, yeye alikuwepo kabla ya kila kitu, na atakuwepo baada ya kila kitu.
Hawa jamaa bwana [emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unaelewa maana ya sayansi ..tuanzie hapo kwanza [emoji16]Quran sio kitabu cha chanjo mkuu, hio misconception kakupa nani?
Hautoshi kwani aliyekuambia ili Mimi na wewe tuwepo ni lazima kuwe na uwepo wa Mungu Nani !? Mbona umekarilishwa vibayaKuthibitisha nini, uwepo wangu mimi na wewe bado haujatosha kuwa kama ni evidence?
[emoji3][emoji3][emoji3]Marekani ina support haki za mashoga... na baadhi ya watoa misaada ni mashoga vpi muumini kupokea msaada kutoka kwa watu wa aina hyo![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hujajibu swali sijui unafahamu Hilo [emoji16][emoji16][emoji16]Hahahaha , yaani ukijibiwa huku unaenda huku. Mkuu kajipange tena na maswali ya maana. Sio lazima ukubaliane na majibu ninayo kupa.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] unajitoa ufahamu au sioHahahaha hapa hatuzungumzii serikali, hata kama ndio msimamo wa serikali hakuna alilazimishwa kufuata.
Kwani Qur'an ni kitabu cha tiba?Nkirejea hoja ya jamaa huko juu kwamba quran imeshindwa kutoa chanjo
Kwahyo ww unataka kuthitisha waliotengeneza chanjo wana ujuzi kuliko aliyeleta quran?