#COVID19 Misikiti mitano yafungwa Saudia baada ya waumini 7 kukutwa na Corona

#COVID19 Misikiti mitano yafungwa Saudia baada ya waumini 7 kukutwa na Corona

Nimeuliza hivyo pia nimeshangaa Sana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Yaani taifa la Mungu Lina saidiwa na taifa la watu wenye matendo ya shetani .. yaani Mungu anapewa msaada na shetani halafu karidhika kabisa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Tukisema shetani na Mungu lao 1 wanajuana ila wameamua kutuchanganya tutakuwa tunaongopa .... Hawa hawana hoja wanazingua tu
Mbona hilo halijakatazwa, na hata kwenye Quran huo muongozo upo. Shinda misinformation ndio zimewaharibu akili. Halafu mnachukua nadharia za dini nyengine mna correlate na uislamu. Uislamu ni complet system sio mambo ya kiroho pekee.
 
Haujathibitisha mjomba umehubiri tu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Yaani ukija katika hiyo nadharia yako ndio utazidi kuibua mjadala kwamba Mungu nayeye ana Mungu wake .... Wewe aliyekuambia kwamba kila kilichopo duniani lazima kiwe na ambaye amesababisha kiwepo ninani !?
Kwani ni kipi kilikuja chenyewe? Ginduzi ipi ambayo haina mgunduzi?
 
Kuna mahusiano gani kati ya Qur'an kuwa na Sayansi na tiba kutoka kwenye Qur'an? au ni kwamba kila kitu chenye sayansi ndani yake kuna tiba za magonjwa?
Sayansi Ni uwanja mpana unaogusa kila nyanja ya maisha ya mwanadamu so Kama Qur'an imeshidwa kutoa majibu ya dawa za magonjwa mbali mbali hiyo Qur'an ilikuwa Inazungumzia sayansi gani !??

Swali langu kwako je umeshawahi kusikia kwamba huu mfumo fulani wa sayansi tunaoutumia Sasa ni mfumo ambao umewahi kutoholewa katika Qur'an Kama jibu Ni hapana Sasa hiyo Qur'an ilikuwa inaongelea sayansi gani mbona kimekuwa nikitabu Cha uongo kiasi hicho

Swali langu kwako je Ni sahihi kukifuata kitu Ambacho Ni kidanganyifu
 
Nimeuliza hivyo pia nimeshangaa Sana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Yaani taifa la Mungu Lina saidiwa na taifa la watu wenye matendo ya shetani .. yaani Mungu anapewa msaada na shetani halafu karidhika kabisa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Tukisema shetani na Mungu lao 1 wanajuana ila wameamua kutuchanganya tutakuwa tunaongopa .... Hawa hawana hoja wanazingua tu
Huyu Mungu anzashangaza sana... yani watu wasiomuabudu wawe na akili kuliko wale wanamuabud tena wapo kwenye mji wake mtakatifu na yy anafurahi tu. Sasa hawa makafiri watajifunza nn kwa watu wa Mungu tena walio kwenye mji mtakatifu ila hawana cha kuishangza dunia
 
Huyu Mungu anzashangaza sana... yani watu wasiomuabudu wawe na akili kuliko wale wanamuabud tena wapo kwenye mji wake mtakatifu na yy anafurahi tu. Sasa hawa makafiri watajifunza nn kwa watu wa Mungu tena walio kwenye mji mtakatifu ila hawana cha kuishangza dunia
Kwani wangapi waliosoma wanatumwa na wasio soma.?!!
 
Quran haikuteremshwa kwa lengo hilo mkuu, Quran ni muongozo wa namna ya kuishi. Suala la kuvumbua hilo limewachwa kwa kila mtu. Ni sawa na vile mtu katengeneza kitu halafu akaandika maelezo ya namna ya kukitumia.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] umejibu vyema Sana Qur'an Ni muongozo wa namna ya kuishi

Ili tuweze kuishi Ni lazima tumshinde adui wa maradhi kwanza sindio na Qur'an imejinasibu kwamba Ni muongozo wa kuishi na ndani yake' Kuna sayansi

Je hauoni kwamba katika kipindi Kama hiki wa saudi Arabia walipaswa kuja na majibu ya muongozo wa kuishi kwa huipatia dunia chanjo zinazo tokana na maelezo ya sayansi yaliyopo katika Qur'an


Au unataka kukana kwamba Qur'an haijusema kwamba inaongelea mpaka sayansi !??? Kama jibu Ni Hilo nieleze tuachane na hiyo mada Kisha tuanze kujadili hayo mengine .... Kama kitabu kinatoa muongozo wa kuishi Ni Jambo zuri Sana [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hauoni kwamba katika wakati huu Sasa ndio walipaswa kuja na chanjo (au chanjo kwako sio muongozo wa maisha ?)
 
Na kama watu wote wawe na akili sawa unadhani dunia ingekuwa ina nidhamu? Nani angemtuma mwenzake?!
 
Saudia ndio wanapaswa kutumia Qur'an kutengeneza chanjo kwa sababu ndio taifa ambalo chimbiko la mtume limetokea huko na ndio taifa ambalo Qur'an ilishushwa huko kwa mujibu wenu ... Na Qur'an inajinasibu kwamba Inazungumzia mpaka sayansi Sasa ili kutu prove wrong sisi tunaopinga kwamba Qur'an haina inachokijua kuhusu sayansi saudia walipaswa kuja na tiba au chanjo inayotokana na Qur'an hii ingesaidia Sana kutuprove wrong sisi ambao tunaoiona Qur'an na dini ya kiislam Ni uongo uongo tu lakini imekuwa kinyume chake yaani taifa linalo jinasibu kuwa Lina ardhi takatifu linasubiri chanjo toka kwa taifa ambalo limejaa kila Aina ya laana na ubabe na balaa ya kila Aina [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Ina maana Mungu anasubiri taifa lake liponywe na taifa la watu wa shetani aisee wonders shall never ends
Kila kitabu chenye sayansi kina tiba za magonjwa? nachojua hicho kitabu kuna vitu vinaelezwa humo ambavyo vinakubaliana na sayansi na si kwamba hicho kitabu ni cha sayansi au cha tiba,sasa ajabu unataka Qur'an kiwe kitabu cha tiba et kisa kuna maelezo ya kisayansi ndani yake.

Nitaendelea kurudia kwamba dini ni maisha na ndio maana kuna waumini wa dini wenye taaluma mbalimbali ila wewe unataka kufanya dini kuwa ni kama kakikundi cha watu chenye kuhusika na miujiza,halafu marekani ni taifa lenye watu wenye imani tofauti na ndio maana hata rais wa nchi yao huapa kwa kushika kitabu cha imani ya dini,nakwambia haya ili ujue kuwa marekani ni kama mataifa mengine kwamba kuna watu wenye imani tofauti.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] umejibu vyema Sana Qur'an Ni muongozo wa namna ya kuishi

Ili tuweze kuishi Ni lazima tumshinde adui wa maradhi kwanza sindio na Qur'an imejinasibu kwamba Ni muongozo wa kuishi na ndani yake' Kuna sayansi

Je hauoni kwamba katika kipindi Kama hiki wa saudi Arabia walipaswa kuja na majibu ya muongozo wa kuishi kwa huipatia dunia chanjo zinazo tokana na maelezo ya sayansi yaliyopo katika Qur'an


Au unataka kukana kwamba Qur'an haijusema kwamba inaongelea mpaka sayansi !??? Kama jibu Ni Hilo nieleze tuachane na hiyo mada Kisha tuanze kujadili hayo mengine .... Kama kitabu kinatoa muongozo wa kuishi Ni Jambo zuri Sana [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hauoni kwamba katika wakati huu Sasa ndio walipaswa kuja na chanjo (au chanjo kwako sio muongozo wa maisha ?)
Mkuu kwanza sio kweli kuwa Quran imeshuka kwa ajili ya wasaudi tuu au kwa ajili ya waislamu pekee. Quran ni kwa ajili ya viumbe wenye akili. Wote mimi , wewe na wengine.
 
Kwahyo yy anawapa vpawa makafiri ila waumin hawapi vipawa? Ajabu kweli
Una uhakika gani katika hao waliotengeneza chanjo hakuna wanaumini? Then Allah anamtumia amtakae yoyote kwakuwa yeye ndie anaewamiliki.
 
Then Saudia sio kuliko na masheikh pekee, nakusahihisha hilo.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] najua haya hao mashekhe wako ktoka sehemu nyingine wamefanya jitihada zipi za kuja na chanjo au dawa ambazo zimetoka katika muongozo wa Qur'an ..... Niliizungumzia Saudi Arabia kwa sababu ndio kitovu chenu Cha uislam kilipo inatia Shaka kuona nchi ambayo ndio kitovu Cha uislam inashindwa kuja na majibu ya dawa au chanjo ambazo zinatokana na maelekezo ya Qur'an wakati Qur'an inajinasibu kwamba inagusa mpaka masuala ya kisayansi yaani kwa kweli inatia Shaka sana na badala yake' mashekhe hao hao na serikali Yao inayotoka katika nchi ambayo Ni kitovu Cha uislam wamekaa wanasubiria chanjo toka kwa mzungu
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] najua haya hao mashekhe wako ktoka sehemu nyingine wamefanya jitihada zipi za kuja na chanjo au dawa ambazo zimetoka katika muongozo wa Qur'an ..... Niliizungumzia Saudi Arabia kwa sababu ndio kitovu chenu Cha uislam kilipo inatia Shaka kuona nchi ambayo ndio kitovu Cha uislam inashindwa kuja na majibu ya dawa au chanjo ambazo zinatokana na maelekezo ya Qur'an wakati Qur'an inajinasibu kwamba inagusa mpaka masuala ya kisayansi yaani kwa kweli inatia Shaka sana na badala yake' mashekhe hao hao na serikali Yao inayotoka katika nchi ambayo Ni kitovu Cha uislam wamekaa wanasubiria chanjo toka kwa mzungu
Hahahaha huyo aliekuambia Quran ni kitabu cha dawa nan Mkuu!!! Unajua huku kwenye internet kumejaa takataka sasa kama huna uwezo wa kuhakiki taarifa ambazo unazosikia au kuzisoma, I can not help you with that.
 
Na sio lazima chanjo iletwe na Quran hata ukileta wewe sisi tutatumia Mkuu dini yetu haijakataza as long as ipo salama.
 
Kwani wangapi waliosoma wanatumwa na wasio soma.?!!
Huoni km ilikuwa ni mpango wa makafiri kuimaliza saudia na watu wake kwakutumia bioweapon huoni km saudia itakuwa imeingia mtegoni kwa maana wao wameshindwa kutengeneza chanjo sasa wanauwawa kupitia chanjo za maadui zao!!! Sasa huoni Mungu anajifelisha kwa kutowapa watu wake akili yakujinasua kwa madhwalimu
 
Mbona hilo halijakatazwa, na hata kwenye Quran huo muongozo upo. Shinda misinformation ndio zimewaharibu akili. Halafu mnachukua nadharia za dini nyengine mna correlate na uislamu. Uislamu ni complet system sio mambo ya kiroho pekee.
Mkuu [emoji16] [emoji16]

Kwa hiki ulichokiongea hapa Basi Huyo Mungu wenu itakuwa hajielewi Sana yaani hajielewi kabisa

Yaani jinsi ambavyo vitabu vyenu vinavyo msema vibaya shetani na kumpa kashfa kibao halafu Leo hi mnapokea msaada toka katika taifa lenye matendo ya kishetani halafu Mungu wenu pamoja na nyie mnaona sawa aisee inatushangaza Sana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Tukisema kwamba Mungu wenu Hana nguvu zozote bila Shaka tutakuwa hatukosei kwa sababu inawezekana vipi Mungu azidiwe nguvu na shetani huo uungu wake uko wapi Sasa na una mantiki ipi

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3]Ama kweli dini Ni utapeli Tena ulio tukuka
 
Huyu Mungu anzashangaza sana... yani watu wasiomuabudu wawe na akili kuliko wale wanamuabud tena wapo kwenye mji wake mtakatifu na yy anafurahi tu. Sasa hawa makafiri watajifunza nn kwa watu wa Mungu tena walio kwenye mji mtakatifu ila hawana cha kuishangza dunia
Yaani halafu jamaa wako hapa Wana comment tu wanaona sawa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Khaaaaa !!!!!!! Nyie [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom