Saudia ndio wanapaswa kutumia Qur'an kutengeneza chanjo kwa sababu ndio taifa ambalo chimbiko la mtume limetokea huko na ndio taifa ambalo Qur'an ilishushwa huko kwa mujibu wenu ... Na Qur'an inajinasibu kwamba Inazungumzia mpaka sayansi Sasa ili kutu prove wrong sisi tunaopinga kwamba Qur'an haina inachokijua kuhusu sayansi saudia walipaswa kuja na tiba au chanjo inayotokana na Qur'an hii ingesaidia Sana kutuprove wrong sisi ambao tunaoiona Qur'an na dini ya kiislam Ni uongo uongo tu lakini imekuwa kinyume chake yaani taifa linalo jinasibu kuwa Lina ardhi takatifu linasubiri chanjo toka kwa taifa ambalo limejaa kila Aina ya laana na ubabe na balaa ya kila Aina [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ina maana Mungu anasubiri taifa lake liponywe na taifa la watu wa shetani aisee wonders shall never ends