#COVID19 Misikiti mitano yafungwa Saudia baada ya waumini 7 kukutwa na Corona

#COVID19 Misikiti mitano yafungwa Saudia baada ya waumini 7 kukutwa na Corona

Unaelewa shabaha ya mtihani?

Maana yake ni njia itakayomuwezesha mwalimu kujua ni kiasi gani umeelewa mafundisho yake

Kwa maana hiyo huyu mtihani unakazi ya kumjulisha mwalimu kazi yake aliyokua akiifanya kukufundisha wewe umeelewa kwa kiwango gani

Hivyo mwalimu huyu anakua ana imperfection, hawezi kujua kama unaelewa aliyokufundisha mpaka akupe maswali ya kukupima

Sasa mungu mwenye ujuzi wote ambaye alijwisha kujua hatma yako kabla hujazaliwa anaanzaje kukupa mitihani?

Anakuoa mitihani kwa lengo lipi? Inamaana hana uhakika na maono yake aliyoyaona before?
Maswala ya kiimani ukifikiria kibinadamu huwezi pata jibu. Ko we unaona inashindikana mtu kukupa swali la mtego kuudhihirishia huelewi kitu fulani? Haiwezekani mtu akajua mwenzi mwizi kabisa ila akataka amkamate na vithibitisho ili yule mwizi asibishe kabisa akamua kumtega na camera maybe. Wakati Adam Amehasi Mungu alienda kwa Adam akijua kabisa kuwa kamtenda nd maan akamuliza swali la mtego Adam uko wapi? Ni kama mzazi akugundue umeiba nyama umekimbilia chooni may be kujificha anaweza akaja eneo la toi na kukuuliza fulani uko wapi? Mbona haya mambo yako duniani sana 2. Halafu naona wewe neno la mtihani linakuchanganya sana. Basi ngoja nkupe msamiati tumepewa majaribu achana na hilo la mitihani bible inasema angalieni msije mkaingia majaribuni. Sala ya kikristo inasema Usitutie Majarbuni bali Tuokoe Na Yule Muovun Kwa Kuwa Ufalme Ni Wako Na Nguvu Na Utukufu Amina. Kwahiyo kumbe majaribu yapo ila ukimtegemea Mungu atakuondolea hayo majaribu kabisa au mitihani.
 
Prevention is better than cure this statement can easily make sense in the world where god does not exist

Kwanini kuwe na prevention kwenye ulimwengu ambao mungu mjuzi wa yote, upendo wote na muweza wa yote ndio mtawala?

Sayansi imeshindwa namna ya kudhibiti magonjwa yasiweze kuumba ulimwengu na ndio maana imeweka precautions

Sasa mungu anayekupa taadhari inamaana kashindwa kuyazuia?
Yesu alikua akitibu kila aina ya gonjwa lilowahi exist duniani hadi haya mapandemic watu walipona asilimia 100. hakuna mtumishi wa Mungu katika bible amewahi kufa na ugonjwa wa kibinadamu bali unabii kuwa binadamu lazima kila nafsi itaonja umauti jpo kulikuwa na gifted. But katika uponyaji wote alikuwa anauliza Je unaamini hivo? Hii inakupa tafsiri gani? Kuwa ukiwa na imani utapona tu. Sasa serikali zinajua fika sio kila mtu ana imani hivo zinaamua kulinda wale wasio na Imani kwa wakati huo. Na Mungu karuhusu hayo maarifa ili binadamu wapae nafasi ya kuishi waje wadhihirishe ubaya wao. Yesu alitibu tauni ambayo tunajua ni uviko ya zamani, alitibu kutokwa na damu miaka 12, kipofu aliona mlemavu alitembea, ukoma, alifufua wafu(kumbuka source ya ugonjwa haikutajwa then kumbe inaezekana hata walikufa na uviko) alirudisha sikio la mtu lilikatwa na panga alitembea juu ya maji. Kwa hyo ndugu ukimtegemea Yesu wa kweli achana na wa kwenye movie yule then corona ni vimafua tu. Amina.
 
Nd maan binadamu nimekupa mfano wa kuhus mtihani wa what is biology. Mitihani ya Mungu ni hayo majanga know the difference. Turudi kwenye hoja. Mungu katoa vitabu vitakatifu vilivyoeleza kinaga ubaga madhara ya ukaidi. Nd inatakiwa ujibu paper sasa. Kwani huwezi ukampa mtu swali la mtego ili ajijue ni mjinga kaisi gani kiasi kwamba aombe msaada?

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Hakuna kitabu kitakatifu acha ujinga yaani kitabu kiandikwe na binaadamu halafu useme Ni Cha Mungu na nikitaka tifu Kama kweli Mungu Ni muweza wa yote kwanini asinge fanya mpango wakumtengenezea binaadamu ujuzi wa kumjua Mungu direct Kama jinsi ambavyo binaadamu alivyo uwezo wa kupenda na kuchukia
 
Sas unataka uletewe hyo dawa wewe ambae umemkana Mungu. Huyo Mungu angekuwa dhaifu sana yani mtu akukane afu umsaidie? Duu we ulisikia wapi?

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
,[emoji16][emoji16][emoji16]mbona hao wanaomuamini kuwa yupo wasaudia wameshindwa kuleta dawa
 
Unaelewa shabaha ya mtihani?

Maana yake ni njia itakayomuwezesha mwalimu kujua ni kiasi gani umeelewa mafundisho yake

Kwa maana hiyo huyu mtihani unakazi ya kumjulisha mwalimu kazi yake aliyokua akiifanya kukufundisha wewe umeelewa kwa kiwango gani

Hivyo mwalimu huyu anakua ana imperfection, hawezi kujua kama unaelewa aliyokufundisha mpaka akupe maswali ya kukupima

Sasa mungu mwenye ujuzi wote ambaye alijwisha kujua hatma yako kabla hujazaliwa anaanzaje kukupa mitihani?

Anakuoa mitihani kwa lengo lipi? Inamaana hana uhakika na maono yake aliyoyaona before?
[emoji16][emoji16][emoji16] mkuu hao hawaelewi hata uwaelekeze vipi wameamua kujipotosha
 
kwa maana hiyo huwezi kumlaumu mtu kwa namna alivyo kua kwasababu we're just programmed?
Hakuna mwenye uwezo wa kujibu haya maswali hapa ndio maana Jana niliamua kuwapuuza
 
Hawa jamaa mbona wanaenda kinyume na maagizo ya mtume wao??mtume alisema magonjwa hayaambukiziki yani hakuna gonjwa linaloambukizika...sasa kwanini wanakwepa mikusanyiko?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hakuna kitabu kitakatifu acha ujinga yaani kitabu kiandikwe na binaadamu halafu useme Ni Cha Mungu na nikitaka tifu Kama kweli Mungu Ni muweza wa yote kwanini asinge fanya mpango wakumtengenezea binaadamu ujuzi wa kumjua Mungu direct Kama jinsi ambavyo binaadamu alivyo uwezo wa kupenda na kuchukia
Halafu ili iweje?maana kila kitu kina sababu zake sasa sababu za wewe kutaka hivyo ndio ili iweje?
 
Wizara ya mambo ya kiislamu nchini Saudi Arabia,leo imeifunga misikiti mitano kwa muda kutoka mikoa mitatu tofauti baada ya kesi saba za virusi vya Corona kupatikana katika baadhi ya waumini, idadi ambayo inafikisha jumla ya misikiti iliyofungwa ndani ya siku 11 kufikia 92 ambapo 79 imeshafunguliwa baada ya kupulizwa madawa na kukamilika kwa hatua za kuhakikisha utayari wa za kiafya zipo katika hali inayotakiwa.

Chanzo: Wizara ya mambo ya kiislamu S. Arabia.
Allah kashindwa kulinda waumini wake wasipate Covid-19?
 
Kwani aliahidi hivyo?
Quran inasema kwamba Allah ni mwenye rehema nyingi, mwenye upendo usio kifani.

Sasa imekuwaje Allah mwenye rehema nyingi na upendo usio kifani anaachia maambukizi ya Covid-19 yawezekane mpaka msikitini kiasi watu wasimamishe ibada misikitini?

Si angefanya hata Coronavirus ishindwe kuingia msikitini watu tujue Uislamu ni dini ya kweli na Allah anawalinda waumini wake?

Allah kashindwa kuwalinda waumini wake dhidi ya Corinavirus mpaka misikitini?
 
Yesu alikua akitibu kila aina ya gonjwa lilowahi exist duniani hadi haya mapandemic watu walipona asilimia 100. hakuna mtumishi wa Mungu katika bible amewahi kufa na ugonjwa wa kibinadamu bali unabii kuwa binadamu lazima kila nafsi itaonja umauti jpo kulikuwa na gifted. But katika uponyaji wote alikuwa anauliza Je unaamini hivo? Hii inakupa tafsiri gani? Kuwa ukiwa na imani utapona tu. Sasa serikali zinajua fika sio kila mtu ana imani hivo zinaamua kulinda wale wasio na Imani kwa wakati huo. Na Mungu karuhusu hayo maarifa ili binadamu wapae nafasi ya kuishi waje wadhihirishe ubaya wao. Yesu alitibu tauni ambayo tunajua ni uviko ya zamani, alitibu kutokwa na damu miaka 12, kipofu aliona mlemavu alitembea, ukoma, alifufua wafu(kumbuka source ya ugonjwa haikutajwa then kumbe inaezekana hata walikufa na uviko) alirudisha sikio la mtu lilikatwa na panga alitembea juu ya maji. Kwa hyo ndugu ukimtegemea Yesu wa kweli achana na wa kwenye movie yule then corona ni vimafua tu. Amina.
kama ukiwa na imani utapona tu na imani huja kwa kuanza kuamini, hao watu ambao yesu alikua anawafufua waliwezaje kukubali kua wanaweza kufufuka wakati walikua wamekufa?

watu wa namna hiyo yesu alikuwa anawaulizaje hayo maswali kama wanaamini angali wakiwa wafu?

halafu kama ukiwa na imani utapona tu

ina maana yesu alikosa imani ya kuamini misumari haina madhara kufanya misumari isimdhuru pale msalabani?

kwanini imani yake ilishindwa kumuepusha na mabalaa ya misumari?
 
Kwani sanitizer tunakunywaga?
Hizo dawa zinazopuliziwa na watu wanarudi miskitini zinaonekana zinauwa virusi vya corona, kwa nini zisifanyiwe modifikesheni zikawa zinatumika kwenye kunywa? [emoji40] [emoji3061]
 
Allah ni mungu hata wakristu wa kiarabu humwita hivyo sasa nyie endeleni kumkeri mungu hapo tofauti ni lugha tu
 
Quran inasema kwamba Allah ni mwenye rehema nyingi, mwenye upendo usio kifani.

Sasa imekuwaje Allah mwenye rehema nyingi na upendo usio kifani anaachia maambukizi ya Covid-19 yawezekane mpaka msikitini kiasi watu wasimamishe ibada misikitini?

Si angefanya hata Coronavirus ishindwe kuingia msikitini watu tujue Uislamu ni dini ya kweli na Allah anawalinda waumini wake?

Allah kashindwa kuwalinda waumini wake dhidi ya Corinavirus mpaka misikitini?
Allah kawaandalia waumini makaazi ya amani na utulivu,dunia sio upeo wa mwisho wa muumini, na daima muumini anaifahamu dunia nikama kivuli kina kuja na kuondoka. Muumini anaishi duniani kama msafiri tu, anajua muda wowote ataondoka, ikiwa kwa Corona ama sababu nyengine. " Kila nafsi itaonja mauti" muumini lazima atakufa bali hata asie muumini atakufa. You will die brother, both me and you.
 
Back
Top Bottom