#COVID19 Misikiti mitano yafungwa Saudia baada ya waumini 7 kukutwa na Corona

#COVID19 Misikiti mitano yafungwa Saudia baada ya waumini 7 kukutwa na Corona

Bado hai make sense wajua kwanini !?
Huwa mnasema katika Qur'an Kuna mafundisho yote mpaka sayansi Sasa Kama hivyo ndivyo inakuwaje waislam mshindwe kuja na tiba kwanini msitumie hiyo Qur'an ambayo ndani yake' Ina mafunzo ya kisayansi kuiponya dunia kutofanya hivyo hauoni kwamba inadhihirisha wazi kuwa huwa mnatudanganya
Kwani katika sayansi hakuna kipengele cha prevention and control Mkuu? Au hujui njia za kukabiliana na magonjwa ya mripuko?
Hujawahi hata kusikia prevention is better than cure?!
 
Kwani katika sayansi hakuna kipengele cha prevention and control Mkuu? Au hujui njia za kukabiliana na magonjwa ya mripuko?
Hujawahi hata kusikia prevention is better than cure?!
😅😅😅😅😅 Yaani tatizo limeshaingia katika nchi na dunia halafu ndio unakuja na hiyo argument !? Argument yako ingekuwa na mantiki Kama endapo huo ugonjwa usingekuwa umeshaingia katika taifa .. anyway tufanye Sasa argument yako inamashiko Qur'an ndani take Kuna sayansi sindio swali langu ni hili tangu huu mlipuko uanze Ni mwaka 2019 now ni 2021 mbona Qur'an imeshindwa kuleta Kinga au dawa ambazo zinaweza kuwaponya watu !? Ukiachana na hicho ulichokiongea !?
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Yaani tatizo limeshaingia katika nchi na dunia halafu ndio unakuja na hiyo argument !? Argument yako ingekuwa na mantiki Kama endapo huo ugonjwa usingekuwa umeshaingia katika taifa .. anyway tufanye Sasa argument yako inamashiko Qur'an ndani take Kuna sayansi sindio swali langu ni hili tangu huu mlipuko uanze Ni mwaka 2019 now ni 2021 mbona Qur'an imeshindwa kuleta Kinga au dawa ambazo zinaweza kuwaponya watu !? Ukiachana na hicho ulichokiongea !?
Hahahaha, ila sayansi ni kubwa, upande wa pili wa Quran yaani hadithi za Mtume zimewataka watu watafute tiba kwa kila ugonjwa. Sasa kama Quran unataka ilete tiba ya kila gonjwa unadhani kingeweza kuwa na ukubwa gani?!
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Yaani tatizo limeshaingia katika nchi na dunia halafu ndio unakuja na hiyo argument !? Argument yako ingekuwa na mantiki Kama endapo huo ugonjwa usingekuwa umeshaingia katika taifa .. anyway tufanye Sasa argument yako inamashiko Qur'an ndani take Kuna sayansi sindio swali langu ni hili tangu huu mlipuko uanze Ni mwaka 2019 now ni 2021 mbona Qur'an imeshindwa kuleta Kinga au dawa ambazo zinaweza kuwaponya watu !? Ukiachana na hicho ulichokiongea !?
Halafu sio Quran yote imeeleza sayansi,bali kuna baadhi ya aya tu ndio zina hizo ibara. Kama uliambiwa Quran yote ni sayansi basi ulidanganywa.
Quran imegawanyika sehemu kuu tatu, moja inaeleza Sheria za kiislamu, moja inaeleza matukio ya kihistoria na moja nimeisahau...
 
Hahahaha, ila sayansi ni kubwa, upande wa pili wa Quran yaani hadithi za Mtume zimewataka watu watafute tiba kwa kila ugonjwa. Sasa kama Quran unataka ilete tiba ya kila gonjwa unadhani kingeweza kuwa na ukubwa gani?!
😁😁😁 Kuwa taka watu watafute tiba hata wewe ukiwa na mamlaka ya uongozi Ni lazima utawataka wasaidizi wako watafute suluhisho la matatizo yanayo izunguka jamii yako '' Mimi nilidhani muhamad na wasaidizi wake tayari walisha fanikiwa kutupatia majibu ya magonjwa yaliyopo wakati Huo na hata Yale ambayo yananitokeza Sasa kiasi kwamba tukifikwa tu na magonjwa fulani tunafunua Qur'an tunafanya tafiti na kuja na majibu ya dawa au Kinga zitakazo weza kuwaponya walimwengu badala yake kumbe na yeye alitoa maagizo tu Kama jinsi ambavyo huwa anafanya jiwe 😅😅😅😅😅 halafu maagizo hayo mwisho wa siku hayaleti impact yoyote ile katika jamiii sheeeesh!!!!
 
Halafu sio Quran yote imeeleza sayansi,bali kuna baadhi ya aya tu ndio zina hizo ibara. Kama uliambiwa Quran yote ni sayansi basi ulidanganywa.
Quran imegawanyika sehemu kuu tatu, moja inaeleza Sheria za kiislamu, moja inaeleza matukio ya kihistoria na moja nimeisahau...
Mzee kwani Qur'an ninini !? Yaani hata Bismillah Ni sehemu ya Qur'an so haijalishi kwamba ilitajwa katika baadhi ya aya au msahafu mzima 😅😅
 
Mzee kwani Qur'an ninini !? Yaani hata Bismillah Ni sehemu ya Qur'an so haijalishi kwamba ilitajwa katika baadhi ya aya au msahafu mzima [emoji28][emoji28]
Quran ni maneno ya Allah yaliotere mshwa kwa Mtume Muhammad peace be upon him, kama sehemu ya utume wake.
 
Kwa hiyo huo ndio utetezi wa kutofunga nyumba za ibada Huko Kwny kisiwa chenu cha Fiji?
Sasa watafunga mingapi maana mtu anaweza kuswali kila sala kwenye misikiti tofauti kwa siku moja,kuanzia alfajiri hadi usiku akawa katumia misikiti tofauti.
 
Dua kwa imani ya kiislam ina kanuni zake

Huwezi kuomba Allah akukaushie nguo ya kuvaa kwenda kazini wakati bado umeiweka kwny beseni lenye maji

Mkeo anajiskia uchungu wa kujifungua badala ya kumpeleka sehemu stahiki ya kujifungulia wewe unamfungia chumbani na kuanza kupiga duaa Mungu akupe mtoto

Usilam unataka ufuate kanuni zote za mazingira then ndio umuombe Allah,
[emoji16][emoji16][emoji16] wanasubiri nini kumuomba Mungu was awaepushe na Hilo janga?

Mkiambiwa dini Ni janja janja mnakataa
 
Wizara ya mambo ya kiislamu nchini Saudi Arabia,leo imeifunga misikiti mitano kwa muda kutoka mikoa mitatu tofauti baada ya kesi saba za virusi vya Corona kupatikana katika baadhi ya waumini, idadi ambayo inafikisha jumla ya misikiti iliyofungwa ndani ya siku 11 kufikia 92 ambapo 79 imeshafunguliwa baada ya kupulizwa madawa na kukamilika kwa hatua za kuhakikisha utayari wa za kiafya zipo katika hali inayotakiwa.

Chanzo: Wizara ya mambo ya kiislamu S. Arabia.
Hv mwaka jana watu waliruhusiwa kuhiji?
 
Dua kwa imani ya kiislam ina kanuni zake

Huwezi kuomba Allah akukaushie nguo ya kuvaa kwenda kazini wakati bado umeiweka kwny beseni lenye maji

Mkeo anajiskia uchungu wa kujifungua badala ya kumpeleka sehemu stahiki ya kujifungulia wewe unamfungia chumbani na kuanza kupiga duaa Mungu akupe mtoto

Usilam unataka ufuate kanuni zote za mazingira then ndio umuombe Allah,
Kwahiyo wataka kuniambia tangu 2019 mpaka 2021 Saudi Arabia imeshindwa kuandaa mazingira Bora ya kumuomba Mungu ndio maana mpaka leo hii wameshindwa kupata Kinga ya Corona kwa kutumia mafundisho ya Qur'an au sio [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Hizi dini hizi
 
[emoji16][emoji16][emoji16] wanasubiri nini kumuomba Mungu was awaepushe na Hilo janga?

Mkiambiwa dini Ni janja janja mnakataa
Utapeli mtupu hapo watajifanya wanafunga misikiti ili wapulizie dawa kumbe maandalizi ya kuwatoa watu hofu ikifika kipind cha hijja wanakwambia corona hakuna... wanaendelea kupiga mpunga wao wa watu wanaoenda kuhijji
 
Njaa wanayo vzr tu tatzo sadaka ya mda huu n vijisent vya mboga tu... ww subiri kipnd cha hijja
Utajiri wote wa mafuta walionao wakategemee sadaka? Hata hivyo pesa wanazotoa mahujaji ni kwa ajili ya huduma ambazo wanapata, mfano huwa wanakaa kwenye hoteli, chakula nk. Serikali ya Saudia inajitahidi kuimarisha ibada ya hijja kila siku na sio kupitia sadaka. Sadaka hupewa masikini na mafakiri
 
Maradhi yapo na ni mfumo wa kawaida wa maisha

Saudia kama zilivyo nchi zingine zinakabiliana na maradhi hayo kama taratibu za Afya zinavyotaka huku wakiomba Mola atie barka kwny zile hatua ili ziwe na mafanikio

Mwenyezimungu ameshakujibu swali lako karne zaid ya saba zilizopita, anasema msidhan mtaacha kujaribiwa kwa mitihan mbalimbali kama vile maradhi, ukame, mafuriko, njaa n.k kwa kuwa tu ni wacha Mungu na wafanya ibada, so haya maradhi ni sehemu ya maisha ya kawaida, usi complicate sana
Kwahiyo wataka kuniambia tangu 2019 mpaka 2021 Saudi Arabia imeshindwa kuandaa mazingira Bora ya kumuomba Mungu ndio maana mpaka leo hii wameshindwa kupata Kinga ya Corona kwa kutumia mafundisho ya Qur'an au sio [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Hizi dini hizi
 
Utapeli mtupu hapo watajifanya wanafunga misikiti ili wapulizie dawa kumbe maandalizi ya kuwatoa watu hofu ikifika kipind cha hijja wanakwambia corona hakuna... wanaendelea kupiga mpunga wao wa watu wanaoenda kuhijji
Hebu fafanua namna ya hizo pesa za mahujaji zinavyopigwa?
 
Ukiingia Saudia unafuata taratibu zote za kisheria za kuingia hapo ambazo kila nchi zipo.
 
Mwaka jana walizuia Hijja kwa sababu ya Corona.
Utapeli mtupu hapo watajifanya wanafunga misikiti ili wapulizie dawa kumbe maandalizi ya kuwatoa watu hofu ikifika kipind cha hijja wanakwambia corona hakuna... wanaendelea kupiga mpunga wao wa watu wanaoenda kuhijji
 
Utajiri wote wa mafuta walionao wakategemee sadaka? Hata hivyo pesa wanazotoa mahujaji ni kwa ajili ya huduma ambazo wanapata, mfano huwa wanakaa kwenye hoteli, chakula nk. Serikali ya Saudia inajitahidi kuimarisha ibada ya hijja kila siku na sio kupitia sadaka. Sadaka hupewa masikini na mafakiri
Ndio mnavyoongopewa hvyo nenda kafanye utafiti uone pesa wanayoingiza km wao watu wakutoa sadaka kwann wasije kutoa nchi za afrika ambako kuna vita na maskini wengi au sehem yyte ya dunia wenye njaa ama kwa wakimbizi... ulishawahi kusikia saudia imetoa msaada kwa hao watu?

Alafu Allah anasema tufia dini yake sasa corona kama tunaiogoa jihad mtaweza kweli.. je ikiwa ni mpango makafiri kuwafanya msiwe waumi? Watu wasijifunze dini ya Allah? Au watu wasipate dawa ama watu wasifanye hijja? Hauoni kama mtakuwa mnamuasi Allah
 
Back
Top Bottom