hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Esopo tu hizo [emoji16][emoji16]Maradhi yapo na ni mfumo wa kawaida wa maisha
Saudia kama zilivyo nchi zingine zinakabiliana na maradhi hayo kama taratibu za Afya zinavyotaka huku wakiomba Mola atie barka kwny zile hatua ili ziwe na mafanikio
Mwenyezimungu ameshakujibu swali lako karne zaid ya saba zilizopita, anasema msidhan mtaacha kujaribiwa kwa mitihan mbalimbali kama vile maradhi, ukame, mafuriko, njaa n.k kwa kuwa tu ni wacha Mungu na wafanya ibada, so haya maradhi ni sehemu ya maisha ya kawaida, usi complicate sana
Mungu kwanini awajaribu watu wake wakati nimjuzi wa kila kitu Ina maana Hana uhakika Ni Imani ya watu wake dhidi yake' maana Kama yeye Ni mjuzi wa kila kitu Ni wazi kwamba lazima atakuwa anajua kwamba fulani na fulani Imani yao Ni ya kinafiki dhdi yangu na fulani na fulani Imani yao ni thabiti dhidi yangu '' Sifa ya kumjaribu mtu au watu Ni sifa inayotoa kiashirio kwamba yule anaye mjarubu mtu Huyo au watu hao Hana uhakika asilimia Mia kwamba watu hao au mtu Huyo anaimani ya dhati kwake au anaupendo wa dhati kwake '' Je tukisema kwamba Mungu Nikisema kwamba Mungu hajielewi nitakuwa nakosea !?? Inawezekana vipi mjuzi wa yote awapime watu wake imani huo ujuzi wake wa yote uko wapi Kama huo ujuzi anao kwanini asitumie huo ujuzi ili aweze kubaini wanao. Muamini kwa dhati na wale wasiomuani ' mpaka Aue watu kwanza tena watu wengine hawana hata hatia maana katika Hilo kundi la watu Kuna wale wanaomuamini na wasiomuani pia huwa wanakufa bila kusahau watoto wadogo .... Huyo Mungu wenu ananielewa kweli [emoji16]