#COVID19 Misikiti mitano yafungwa Saudia baada ya waumini 7 kukutwa na Corona

#COVID19 Misikiti mitano yafungwa Saudia baada ya waumini 7 kukutwa na Corona

Dini zote mifumo ya uendeshaji ni ile ile tu... watu wanashindwa kuelewa dini ni taasisi hakuna taasisi inajiendesha kwa hasara...!!! U


Alafu kinachoniuma hawa watu weupe waliotuletea dini hawatupendi sana lkn sisi kutwa kujifananisha na wao...!!! Unakuta unaambiwa jina la kwako la kiasili mfn ngonyani halina baraka limelaaniwa lkn jina la emmanuel, joseph , mariam, muhammad, aisha, yusufu ndio yamebarikiwa na sisi tusivyokuwa na akili tunaamin ni kweli ila hutakuta mzungu pale london anajiita kimweli au mwarbu saudia anajiita kimario yani ni utumwa tu umetutawala alufu tunatakaka tuendelee km nchi za ng'ambo
Kitu kuwa cha asili haina maana ndio ni sahihi au lazima utumie,mababu zetu katika kipindi chao walikuwa na majina yao wenyewe wakiitana ni jambo la kawaida hakuna cha ajabu kwenye majina ya watu si kwao wala hao waarabu na wazungu,kama hao wazungu majina yao unakuta yana asili tofauti tofauti ila sio issue kwao ila sie tumekazana kulilia majina yetu asili kana kwamba sijui yana maajabu gani. Chengine unakuta tunazikosoa din za waarabu na wazungu ila hizo dini/imani tunazoita za asili hatuzikosoi yani tumezikubali tu kwa kigezo ni za asili kwamba za mababu zetu hatuna haja ya kujua hao mababu zetu walizipata vp hizo imani na usahihi wake ni upi.
 
Issue hapa ni kufunga msikiti baada ya waumini kukutwa na corona,ingekuwa vyema kama wangefunga misikiti yote ya nchi nzima tu kabisa kuliko kwamba wamefungua nyumba zao za ibada halafu wakipata kesi ya muumini kuwa na corona ndio wanafunga msikiti wakati muumini mmoja wa mwenye hiyo corona anaweza kuwa ameingia hata kwenye misikiti mitano tofauti kwa siku.
Hii ni moja tu ya story mlizoskia kuhusu kufungwa kwa miskiti huko,lakin msikiti mkubwa wa nchi hiyo ushawahi kufungwa,hijjah ilisitishwa na miskiti mingi kufungwa.Hi ni moja ya strategies ambazo zimekuwa zikiendelea toka hii pandemic ianze,na pia kuna plan in action ndo maana wanaweza ku react kama kufunga miskit michache mda wowote sababu wana monitor. Watu wanapimwa ndo maana kesi zinajulikana haraka. Nchi nyingi zinazojielewa na kushughulika makini na hii pandemic wana 'plan of action' ili kufuatilia maambukizi mapya au 'new strains', uk kwa mfano washawahi kufunga maeneo baada ya kugundulika south African strain baadae wakafungua,kwa hiyo walivofanya wa saudi ni 'veryyyyy normal' kipindi hiki.
Kwa kuongezea Kingdom of Saudi Arabia washaanza kutoa chanjo ya Pfizer kwa watu wake mda sasa na wanashirikiana na taasisi za kimataifa kupambana na janga hili.
 
Yaani,sio huwa inafungwa tu bali hata tahadhari huchukuliwa, mfano kukaa urefu baina ya mtu na mtu, uvaaji wa barakoa na health mesures zengine
Nasema hivi mtu mmoja mwenye corona anaweza kuswali misikiti hata mitano kwa siku,kwahiyo wachague kuendelea kuchukua hizo tahadhari hakuna sababu ya msingi ya kufunga msikiti au wafunge kabisa misikiti yote kwa usalama zaidi.
 
Nasema hivi mtu mmoja mwenye corona anaweza kuswali misikiti hata mitano kwa siku,kwahiyo wachague kuendelea kuchukua hizo tahadhari hakuna sababu ya msingi ya kufunga msikiti au wafunge kabisa misikiti yote kwa usalama zaidi.
Sawa nimekufaham, ila kuna mdau hapo juu amechangia juu ya "action plan" walionayo soma zaidi.
 
Nasema hivi mtu mmoja mwenye corona anaweza kuswali misikiti hata mitano kwa siku,kwahiyo wachague kuendelea kuchukua hizo tahadhari hakuna sababu ya msingi ya kufunga msikiti au wafunge kabisa misikiti yote kwa usalama zaidi.
Anaweza kuswali misikiti mitano wakati anajaribu ku-prove nini?! Au Saudi Arabia na kwenyewe kuna Wamachinga?! Lakini kubwa zaidi, wenzetu wanachukua tahadhali za aina yote.
 
Hii ni moja tu ya story mlizoskia kuhusu kufungwa kwa miskiti huko,lakin msikiti mkubwa wa nchi hiyo ushawahi kufungwa,hijjah ilisitishwa na miskiti mingi kufungwa.Hi ni moja ya strategies ambazo zimekuwa zikiendelea toka hii pandemic ianze,na pia kuna plan in action ndo maana wanaweza ku react kama kufunga miskit michache mda wowote sababu wana monitor. Watu wanapimwa ndo maana kesi zinajulikana haraka. Nchi nyingi zinazojielewa na kushughulika makini na hii pandemic wana 'plan of action' ili kufuatilia maambukizi mapya au 'new strains', uk kwa mfano washawahi kufunga maeneo baada ya kugundulika south African strain baadae wakafungua,kwa hiyo walivofanya wa saudi ni 'veryyyyy normal' kipindi hiki.
Kwa kuongezea Kingdom of Saudi Arabia washaanza kutoa chanjo ya Pfizer kwa watu wake mda sasa na wanashirikiana na taasisi za kimataifa kupambana na janga hili.
Njia salama zaidi ni kufunga misikiti yote kinyume na hivyo inaweza kuwa ni kazi ya leo kufunga msikiti huu kesho ule.
 
Anaweza kuswali misikiti mitano wakati anajaribu ku-prove nini?! Au Saudi Arabia na kwenyewe kuna Wamachinga?! Lakini kubwa zaidi, wenzetu wanachukua tahadhali za aina yote.
Ni suala la kawaida sana muumini kuswali misikiti tofauti kwa siku,njia salama kuliko zote ni kufunga kabisa misikiti kwani linashindikana?
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] inachekesha Sana kuona kwamba katika dini zenu mnafundishwa kwamba tumtegemee Mungu katika kila Jambo halafu pindi inapotokea matatizo makubwa Kama hili la Corona Huyo Mungu anabaki kuzubaa zubaa tu anawaacha watu wafe
Kwani katika imani yako wewe unafundishwa nini?
 
Tatzo ukiwa kondoo kila unachoambiwa huelewei
Hizi dini znawafanya watu wasitumia akili zao vzr watu hawawezi hata kuhoji???
Unachoambiwa na kiongozi wa dini ndio hicho hicho unakifuata
Naomba kuukuliza hili swali mkuu.

Wewe mkuu ukienda hospitali huwa unahoji usahihi wa vipimo walivyokupima pamoja na maelezo ya Daktari? nauliza hivyo ili kujua ni kiasi gani unatumia uhuru wako wa kuhoji.
 
Naomba kuukuliza hili swali mkuu.

Wewe mkuu ukienda hospitali huwa unahoji usahihi wa vipimo walivyokupima pamoja na maelezo ya Daktari? nauliza hivyo ili kujua ni kiasi gani unatumia uhuru wako wa kuhoji.
Ndio ni haki yako km mgonjwa kujua kipimo kinachukuliwa usahihi... pia nn dhumuni lakuchukua hiko kipimo na pia unahaki ya kutakaa matibabu na vpmo vcchukuliwe au kuchangua ni kipimo gani unataka vyote ni haki yako
 
Wizara ya mambo ya kiislamu nchini Saudi Arabia,leo imeifunga misikiti mitano kwa muda kutoka mikoa mitatu tofauti baada ya kesi saba za virusi vya Corona kupatikana katika baadhi ya waumini, idadi ambayo inafikisha jumla ya misikiti iliyofungwa ndani ya siku 11 kufikia 92 ambapo 79 imeshafunguliwa baada ya kupulizwa madawa na kukamilika kwa hatua za kuhakikisha utayari wa za kiafya zipo katika hali inayotakiwa.

Chanzo: Wizara ya mambo ya kiislamu S. Arabia.
halafu Shekh Ubwabwa wa Dar, wa kuletewa dini anasema Mungu atatuponya tuswali, tuombe tusichukue tahadhali corona itaisha
 
Baada ya kufaulu huo mtihani kuna malipo, halafu uwepo wa mwanadamu duniani ni wa muda tu hivyo hakuumbwa kuwa abaki duniani kufa lazima atakufa iwe kwa Corona ama chengine chochote hizo ni sababu tu ambazo aliyewaumba alitaka mfumo wa maisha uwe hivyo
Mkuu mbona unaongea blunder Hivi unaanzaje kukipima kitu Ambacho una uhakika nacho .. yaani wewe Ni mjuzi wa yote kwanini asitumie ujuzi wako wa yote kujua Imani za watu wako
Kitendo cha kuwapima kina dhihirisha kwamba wewe sio mjuzi wa yote ... So inamaana hauoni hizo contradiction Mungu gani anakuwa anajipinga pinga mwenyewe inamaana Hana uhakika wa anacho kiongea endapo tukisema kuwa Huyo Mungu Ni muongo tutakuwa tunakosea!?
 
Saudia inatoa misada mingi tu, pia Corona sio janga la kwanza kuikumba dunia , hija ilishaharishwa kabla kutokana na maradhi ya mlipuko.
Tunataka Qur'an itoe majibu ya chanjo na dawa za kutibu Corona full stop [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Kwasababu huwa mnasema Qur'an haijaacha kitu mpaka mafundisho ya kisayansi endapo Qur'an itashindwa kufanya hivyo Basi kitakuwa Ni kitabu Cha uzushi tu na hakipaswi kuaminika
 
Ndio ni haki yako km mgonjwa kujua kipimo kinachukuliwa usahihi... pia nn dhumuni lakuchukua hiko kipimo na pia unahaki ya kutakaa matibabu na vpmo vcchukuliwe au kuchangua ni kipimo gani unataka vyote ni haki yako
Hayo unayoyaeleza ndio huwa unafanya kila ukienda hospitali kwamba yanawezekana kiuhalisia au unaeleza kinadharia?
 
Basi labda ndio maana hauelewi masuala ya imani huna idea nayo.
Imani Ni suala linalo taka uamini kitu au Jambo bila fact Wala logic ...so Mimi siwezi kufuata huo mkumbo kwa sababu Ni wajinga tu na wapumbavu ndio wanaoweza kuamini kitu / jambo bila fact Wala mantiki

Mfano ukiambiwa yunusi alinezwa na samaki halafu alitoka tumboni kwa samaki akiwa mzima Basi uamini tu bila logic wakati hicho Ni kitu Ambacho hakiwezekani [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Def: ya Imani: Imani ni kukiri kwa dhati isiyo na shaka kuwa jambo fulani ni la kweli, kweli kabisa kabisa bila ushahidi wa kisayansi
Naam ndio maana siwezi kukubali huo upumbavu
 
Back
Top Bottom