Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Kwao yana make Sense sana ndio maana wapo tayari kufa kwa ajiri ya kuyafikia maslahi yao,Vipi we unaona wanayoyapigania yana make sense?
hakuna hata kimoja ulichoandika chenye usahihi, kwanza kausome uislamu kisha uje kutoa uthibitisho wa ulichoandika, zaidi ni kuhemuka tuUgaidi wa kujitoa mhanga umekuwa janga kwa robo karne sasa. Shambuliz lakujitoa mhanga kwenye kambi ya U.S marine katika mji wa Beirut, ulimfanya raisi Ronald Rogan kuondoa jeshi lake la kulinda amani mjini Beirut.viongozi wa Palestina walitumia mashambulizi ya kujito mhanga ila kushinikiza makubaliano na Israel, na wapiganaji wa Iraq walitumia mabomu ya kujitoa mhanga kupinga utawala mpya wa kisiasa nchin mwao. Magaid wa Al-Qaeda walishambulia USS cole iliyoko Aden mnamo mwaka 2000, na 11 septemba 2001 kushambulia World Trading Center pamoja na Pentagon. Wakati baadhi ya wachambuzi wakiendelea kusema hakuna chembechembe za udini katika mashambulizi ya kujitoa mhanga, wakirejea kwa kikundi cha Sri Lanka, Tamil Tigers ambao sio waislamu, wanakua wanakosea. Waislamu wote wanaojitoa mhanga wanahalalisha matendo yao kupitia dini, na moja kwa moja kupitia dhana ya jihad.
Jihad ni nini haswa?
Ugaidi hujihalalishia ulipuaji wa kujito muhanga kupitia tafsiri ya jihad. Wakati wachambuzi wa kimagharibi wakisema jihad ni msingi wa mapambano ya nafsi (internal struggle), maandiko ya kiislamu yanahusisha jihad na vita ya kimwili (physical warfare). Mtaalam wa historia, Bernd Lewis katika kitabu chake cha Political Language of Islam amegundua kuwa '' idadi kubwa ya wanatheolojia, wanasheria na watu wa tamaduni walielewa jihad katika maana ya kijeshi''.
Falsafa ya sheria ya kiislamu imegawanya njia nne ambazo mwamini anaweza kupitia kutimiza wajibu wa jihad;
1) kwa kuamini ndani ya moyo
2) kwa kuhubiri na kuongoa kwa ulimi wake
3) kwa matendo mazuri kwa mikono yake
4) kwa kupambana na wasio amini au maadui kwa upanga.
Katika utendaji, njia tatu za mwanzo ni sehemu ya da'wa (matendo ya kimisionari), ila ni matendo ambayo utoa msaada (support) kwa jihad ya upanga (njia ya nne).
Wanatheolojia wa kiislamu wamekua wazi katika muunganiko wa jihad ya vurugu na ya amani katika kuueneza uislamu. Jihad ni kiini katika mtazamo wa waislamu kuhusu ulimwengu, wakiugawa mtazamo huo katika sehemu mbili; ''ldar al-islam'' (maskani ya uislamu) na ''dar al-harb'' (maskani ya vita) ambayo imehatimiwa kuwa chini ya utawala wa kiislamu. Jihad hutakatisha dar al-islam na pia ni zana ya kushusha na kutokomeza dar al-harb. Lakini katika mafundisho yake, dhima ya jihad iko wazi; kujenga utawala wa kiislam duniani na kulazimisha wasio waislamu kuukubali uislamu, au kukubali kukubaguliwa vinginevyo kutokomezwa kabisa. Uelewa kama huu ndio ulianzisha misingi mikuu ya itikadi za tawala mbalimbali zilizoongoza katika himaya za kiislamu kuanzia mwisho wa karne ya 7 mpaka zilipokuja kutokomezwa na himaya ya Mongol katika karne ya 13.
Ukilinganisha dhana ya martyrdom (ufia dini) upande mmoja katika uislamu na upande wa pili kwa ukristo, utaona ni kiasi gani falsafa ya sheria ya kiislamu ina shawishi zaidi katika jihadi ya vurugu. Katika uhalisia wa matendo, ndani ya uislamu, Martyr (mfia dini) ni yule anayekufa katika vita ya jihad. Mtu huyo siku ya hukumu anapewa nafasi maalumu paradiso. Katika ukristo mfia dini ni yule ambaye anavumilia mateso na kifo kuliko kuikana imani yake.
Nitaendelea.....
Kumbuka makundi mengi ya kigaidi ni miradi ya USA, hutumia hii trick kuwatesa waislam na kuwafanya wavhukiwe duniani, naongea hivi nikiwa mkristo niliyebatizwa Lutheran kkkt kikavu, na kubarikiwa/kipaimara kkkt kinampanda.Nimeipenda hiyo Idar-al-islam, ambayo ndiyo imezaa jina la Daresalaam.
Maana yake - maskani ya uislam.
Dola ya Kiislam haitofanikiwa kusimama, kama itataka kueneza Uislamu kwa nguvu.
Baadhi ya makundi ya Kigaidi kama ISS yanajipambanua wazi wazi kabisa katika kuonesha nia ya kueneza Uislamu kwa vita na kuwaua wasioamini.
Uislamu kama utaenezwa kwa Upendo na amani basi unaweza kujitanua na kuweza kujenga himaya au dola kubwa duniani katika kipindi kijacho.
Matendo ya Vurugu na Vita yanaleta matokeo hasi kwenye jamii iliyostaarabika na kuishia kudhoofisha imani husika.
Kwa Al-Qauda ni kweli USA hapo mwanzo iliwafundisha hao wapiganaji ili kusaidia katika kuipiga Urusi na kuiondoa maeneo ya Afghanistan.Kumbuka makundi mengi ya kigaidi ni miradi ya USA, hutumia hii trick kuwatesa waislam na kuwafanya wavhukiwe duniani, naongea hivi nikiwa mkristo niliyebatizwa Lutheran kkkt kikavu, na kubarikiwa/kipaimara kkkt kinampanda.
Hapa sitetei waislam lakini Mungu Amesema siku zote wenye hali huteseka na kuchukiwa lakini waovu ndiyo watakaoshangiliwa. Umejiandaaje??
Mbona marekani hashighulikii haya makundi??Kwa Al-Qauda ni kweli USA hapo mwanzo iliwafundisha hao wapiganaji ili kusaidia katika kuipiga Urusi na kuiondoa maeneo ya Afghanistan.
Baada ya USSR kuanguka makundi hayo yakawa kama yametelekezwa na USA kwani nia ya kuiondoa Urusi ilisha kamilika.
Baada ya kuona wana mafunzo ya kijeshi na wana Silaha Al-Qaida wakaamua kuipindua Serikali ya Afghanistan na kuingiza utawala wa Kiislam wa siasa kali na wakaanza kujieneza nje ya Afghanistan.
Lakini yako makundi mengi ya Kigaidi ambayo hayajaanzishwa na harakati za Wamarekani, kama Boko haram, Al-Shabab, Al- Nusra nk.
Kila kitu kinaenda kwa maslahi na maslahi yanabadilika kutokana na wakati.Mbona marekani hashighulikii haya makundi??
Kwaiyo ukidhulumiwa unajiua eheeHabar uliyotoa sio kweli. Kwa sababu dini ya kiislam haijaruhusu mtu kujiua ila watu wanafanya hivyo wanapodhurumiwa.
Mkuu unakumbuka shambulio la kigaidi pale Garissa nchini Kenya? Magaidi waliruhusu waislamu wakaondoka wao wakaanza kuua wakristo sasa tutofautisheje ugaidi na uislamu? Alafu waislamu hamuwezi kujenga hoja kumshawishi Mkiristo asilimu mpaka mtumie nguvu na pesa. Unaposema waislamu walionewa mpaka ikashuka haya yakujitetea au kulinda uislamu kwa panga je aya iyo ukomo wake lini? Nijibu kwa umakini.Upo wrong mkuu,Jihad ipo ya (nafsi) ambayo ni kupambana na nafsi yako juu ya kutofanya mambo ya maasi.Pia ipo jihad ya vita(kital).
Nizungumzie jihad ya vita ambayo ndio msingi wa mada yako, hii jihad ikikuja miaka takriban 13 baada ya mtume kupewa utume,vita ya Badr ndo ilikuwa ya kwanza kupiganwa baina ya waislam na wasiokuwa waislam.Ndani ya miaka 13 waislam walitaabika kwa kuteswa na kuuliwa na makafiri wa Mecca ndipo ikipokuja ruhusa kuwa sasa waislam wajitetee kwa kupambana na adui yao.
Jihad haikuja kuwalazimisha watu kuwa waislam bali ilikuja kuutetea na kuulinda usilam,dini haienezwi kwa nguvu inaenezwa kwa hoja zisizo na mashaka.
Upanga au jihad ulikuja ku-defend uislam baada ya kuonewa sana na kwa kipindi kirefu.
Quran inasema ktk surat Albaqara kuwa hakuna kulazimishana ktk dini sasa ww umetoa wapi kwamba jihad ipo kulazimisha watu waingie ktk uislam?
Ukomo wake ni kuacha kuwadhulumu waislam maana waaislam wanatakiwa watete haki zao.Mkuu unakumbuka shambulio la kigaidi pale Garissa nchini Kenya? Magaidi waliruhusu waislamu wakaondoka wao wakaanza kuua wakristo sasa tutofautisheje ugaidi na uislamu? Alafu waislamu hamuwezi kujenga hoja kumshawishi Mkiristo asilimu mpaka mtumie nguvu na pesa. Unaposema waislamu walionewa mpaka ikashuka haya yakujitetea au kulinda uislamu kwa panga je aya iyo ukomo wake lini? Nijibu kwa umakini.
Nchi zenye machafuko ukizipeleza kidogo tu utagundua makafiri wapo nyuma ya machafuko hayo.
Povu la nini mtoto wa kike?jibu hoja nchi zote zenye waislam machafuko yana mkono wa makafiri.Wakati Mtume Mohammad alivyokuwa anabaka wake za watu na kuua watu bila huruma kulikuwa na kafiri gani aliye nyuma yake kama si kumtumikia shetani? Ushetani wa waislam ulianzia hapa na mpaka leo mnaendeleza. Hili halina ubishi, Mohammad alikuwa influenced na satanic verses kuunda dini ya kiislam. Mungu hata siku moja haja advocate watu wauane kisha wataenda mbinguni, huu ni ushetani. Nimeandika haya sitashangaa popote pale ulipo ukavaa mabomu na kwenda kujilipua kusingizia eti nimekupa hasira.
Hayo maslahi, ndio inabidi yawekwe hadharani ili jamii nzima iyajue na kuona kama ni ya kweli, na kama ni ya kweli basi yatatuliwe kijamii.Ukomo wake ni kuacha kuwadhulumu waislam maana waaislam wanatakiwa watete haki zao.
hahaaaaUkisikia Allah akbar sokoni we kimbia akuna kutafakari si dini si siasa we kimbiaaaaa[emoji23][emoji23]
Mimi sio" mwanaharakati wa kidini ",so sihitaji kusimamia" upande" wowote ule" but nime comment hapa kwa lengo la kukwambia kwamba", unapaswa ukae "chini" vyema "ujifunze kuhusu " democracy na propaganda zake" hayo makundi yote ya kigaidi uliyoyataja " Hakuna hata moja lenye mlengo wa kidini " kama" ambavyo "jamii inavyoaminishwa", hizo huwa ni propaganda tu" hata hao alqaeda ukifyatilia vyema waliifanya kazi ya kumsimika huyo kiongozi WA kidini madarakani"" kwa" kulipwa" donge" nono mnoooo na ulikuwa nimpango uliochagizwa na ISI" toka "Pakistan" inshort" hizi" dini zote huwa "zinatumiwa" kimaslahi na wanasiasa" ili" waweze kufanikisha" malengo "yao" hata hapa tz "hilo liliwahi" kufanyika' "na JK". alipokuwa anagombea", kwa awamu ya pili" aliibua hoja ya mahakama ya kadhi ili waislam waone kuwa anawajali ' kumbe" ilikuwa"" ni trick "ya kuwatumia "katika "sanduku "la" kupigia kura" na alifikia "hatua ''ya' kufanya hivyo "baada"" ya kuona" ameanza'" kupwaya kiushawishi kwa' viongozi" WA makanisa" IFIKE MAHALA TUJITAMBUE ", JAMANI"Kwa Al-Qauda ni kweli USA hapo mwanzo iliwafundisha hao wapiganaji ili kusaidia katika kuipiga Urusi na kuiondoa maeneo ya Afghanistan.
Baada ya USSR kuanguka makundi hayo yakawa kama yametelekezwa na USA kwani nia ya kuiondoa Urusi ilisha kamilika.
Baada ya kuona wana mafunzo ya kijeshi na wana Silaha Al-Qaida wakaamua kuipindua Serikali ya Afghanistan na kuingiza utawala wa Kiislam wa siasa kali na wakaanza kujieneza nje ya Afghanistan.
Lakini yako makundi mengi ya Kigaidi ambayo hayajaanzishwa na harakati za Wamarekani, kama Boko" haram, Al-Shabab, Al- Nusra nk.
Marekani na dunia kwa ujumla wamesha itengeneza hio taswira na fikra kwa watu hivyo ni sawa tuu ila haki na batili havichangamani...na uislam Dini iliyo ya haki huo uzushi hauwezi kuurudisha nyuma ndio maana saivi unaenea kwa Kasi Sana Europe na maeneo mbali ndio ujiulize kwanini?Mimi napinga kuwa Uislam si dini bali ni 'terrorist group' linalotumiwa na shetani ila hawajijuwi tu. Shetani ana uwezo wa kudanganya watu kuwa jiueni na Mungu atawasaidia, ama jiueni mtakwenda mbinguni because you are killing yourselves for a cause. Hivi Mungu anaruhusu watu wauane tu jamani? Waislam kwa kweli inabidi wajiangalie upya tena kuanzia vituko vya Mohammad na makundi haya ya kipuuzi ya jihad ya sasa.