GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Marekani na nchi nyingi za Ulaya zimejuwa kama viranja kwa nchi masikini, hasa za Kiafrika. Lakini alau Misri na Afrika Kusini zipo vizuri kiuchumi.
Najua fedha huwa inaongeza heshima, na Misri & South Africa zinazo.
Wazungu alau wanaziheshimu au wanaichukulia kama nchi zingine za Afrika?
Trump alipoziita SHIT HOLE COUNTRIES, aliyajumuisha na hayo mataifa mawili "makubwa" Afrika?
Najua fedha huwa inaongeza heshima, na Misri & South Africa zinazo.
Wazungu alau wanaziheshimu au wanaichukulia kama nchi zingine za Afrika?
Trump alipoziita SHIT HOLE COUNTRIES, aliyajumuisha na hayo mataifa mawili "makubwa" Afrika?