Mimi nataka waendelee kubondana hivyo hivyo ili huyo aisis akili ikae sawaUzuri wa Netanyahu huwa hacheki na magaidi. Anawashughulikia bila huruma.
Na hii ndio njia pekee ya dola ya Israel kusurvive hapo Middle East.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nataka waendelee kubondana hivyo hivyo ili huyo aisis akili ikae sawaUzuri wa Netanyahu huwa hacheki na magaidi. Anawashughulikia bila huruma.
Na hii ndio njia pekee ya dola ya Israel kusurvive hapo Middle East.
Aisis ndio nani?! Ama unamaanisha magaidi hamasMimi nataka waendelee kubondana hivyo hivyo ili huyo aisis akili ikae sawa
Basi kama umekubali hicho kilichosemwa na Qur'an.Itakuwa umeelewa kuwa Qur'an si maneno ya watu.Sasa ajabu nini sasa hapo!? Mama yake yesu kuwa bora kuliko mama yake Muhammad.
Ni sababu alikuwa mchamungu kuliko kawaida, na aliyopitia ni makubwa.
Ndio maana "nikakwambia mbora wenu ni yule mchamungu" haijalishi rangi, kabila wala uzao.
Kwa kunitajia hivyo maana yake umekubali nilichokwambia.
Hayo yote mie nakubali, kwamgu YESU si mungu, nakubali.Basi kama umekubali hicho kilichosemwa na Qur'an.Itakuwa umeelewa kuwa Qur'an si maneno ya watu.
Ni lazima uamini kuwa Yesu si Mungu na utume wake uliishia pale alipopewa utume ndugu yake Muhammad kama ilivyotajwa kwenye Qur'an.
Mama yake ISSA sio mama yake Yesu wewe kuwa na adabu acha kumfananisha Yesu na vitu vya ajabu.Qur'an imetaja mwanamke mbora duniani ni Bi Maryam.mama yake Yesu na wala si mama yake mwenyewe Muhammada s.a.w
Kifikra hakuwahi kuwa sawa huyo jamaa.Mkuu mbona unachanganya mada unahusisha watu innocent au dishi limeumba?
Balaa wapi?Anachanganya vitu intentionally kukuonyesha jinsi huyu hana masihara na mtu yeyote! Ukija kushoto kichapo ukituma hezbollah wa-attack from the north kichapo,ukituma egypt wa-attack from the south kichapo! Ukiagiza iran wa-attack from far middle east kichapo yaani ni balaa huyu netanyau.
Umeongea upuuzi ila umenifanya nicheke.Tatizo la Arabs walidanganywa na Mudy kuwa Arabs ni best creation ya Allah so wanatakiwa kuwa supremacy dhidi ya watu wengine... Sasa wamekutana na Jiwe Netanyahu haogopi Arabs wala Muslim wala Allah anachapa tu akitaka walie,wapige kelele,wanye mwendo ni kichapo tu..
Kuna Siku Askari wa Egypt alimuua makusudi mtalii wa Israel.. sasa hapo mpakani alidhani ataachwa afyatue tu risasi watu wakiwa kazini kawahishwa akawahi mabikira 70 kabla hawajaisha maana this time Hamas wanafaidi mno...
Hujui huyo!!...dishi mpaka ulielekeze kisarawe ilipo mitambo ya TBCMkuu mbona unachanganya mada unahusisha watu innocent au dishi limeumba?
Hapajawahi kuwa na mtu aliyeitwa yesu dunianiMama yake ISSA sio mama yake Yesu wewe kuwa na adabu acha kumfananisha Yesu na vitu vya ajabu.
Kwa mujibu wa ufahamu wako sio mbaya kujifarijiHapajawahi kuwa na mtu aliyeitwa yesu duniani
Bikira maria hakumwita mwanae yesuKwa mujibu wa ufahamu wako sio mbaya kujifariji
Ni kweli Yesu siyo Mungu ila kwa mujibu wa maandiko alifia pale msalabani ili wote wamwaminio wasipotee ila wawe na uzima wa milele.Basi kama umekubali hicho kilichosemwa na Qur'an.Itakuwa umeelewa kuwa Qur'an si maneno ya watu.
Ni lazima uamini kuwa Yesu si Mungu na utume wake uliishia pale alipopewa utume ndugu yake Muhammad kama ilivyotajwa kwenye Qur'an.
Lakini netanyahu si mkristo na anawatuma vijana wake wawabonde wakristo wenzako regardless ni waisrael, wapalestina au wamisri....Anachanganya vitu intentionally kukuonyesha jinsi huyu hana masihara na mtu yeyote! Ukija kushoto kichapo ukituma hezbollah wa-attack from the north kichapo,ukituma egypt wa-attack from the south kichapo! Ukiagiza iran wa-attack from far middle east kichapo yaani ni balaa huyu netanyau.
Waarabu hawakuwa wanamuabudu Allah unayemzungumzia wewe.Ni kweli Yesu siyo Mungu ila kwa mujibu wa maandiko alifia pale msalabani ili wote wamwaminio wasipotee ila wawe na uzima wa milele.
Hivyo basi ina maana alikufia hata wewe ila bado hujitambui kwa sababu bado umetekwa na shetani na huenda iko siku atakuingia na shetani atatoweka toka kwako na ndipo utapata ufunguo wa kupata uzima wa milele.
Mohammedi yeye biblia haimtambui kabisa ila alidai eti alipewa kurani na allah wakati huyo allah alikuwa ni miongoni mwa miungu zaidi ya 300 waliokuwa wakiabudiwa huko uarabuni enzi hizo na ndio maana watu wote wanaojitambua hawamtambui huyo Mohammedi na wanamuona kama mungu Wanyonyi tu hivi kwani hata mafundisho yake hayakuwa ya kuleta amani na utengamano katika jamii bali ni ya ki-vurugu zaidi na ubaguzi.
Hata huyo yesu haitambui biblia pia,,,,,!!!Ni kweli Yesu siyo Mungu ila kwa mujibu wa maandiko alifia pale msalabani ili wote wamwaminio wasipotee ila wawe na uzima wa milele.
Hivyo basi ina maana alikufia hata wewe ila bado hujitambui kwa sababu bado umetekwa na shetani na huenda iko siku atakuingia na shetani atatoweka toka kwako na ndipo utapata ufunguo wa kupata uzima wa milele.
Mohammedi yeye biblia haimtambui kabisa ila alidai eti alipewa kurani na allah wakati huyo allah alikuwa ni miongoni mwa miungu zaidi ya 300 waliokuwa wakiabudiwa huko uarabuni enzi hizo na ndio maana watu wote wanaojitambua hawamtambui huyo Mohammedi na wanamuona kama mungu Wanyonyi tu hivi kwani hata mafundisho yake hayakuwa ya kuleta amani na utengamano katika jamii bali ni ya ki-vurugu zaidi na ubaguzi.