Misri na Israel waanza kupigana Rafah. Askari wa Misri afa

Misri na Israel waanza kupigana Rafah. Askari wa Misri afa

Basi kama umekubali hicho kilichosemwa na Qur'an.Itakuwa umeelewa kuwa Qur'an si maneno ya watu.
Ni lazima uamini kuwa Yesu si Mungu na utume wake uliishia pale alipopewa utume ndugu yake Muhammad kama ilivyotajwa kwenye Qur'an.
Yesu ni mwana wa Mungu,Yeye mwenyewe alisdma kwa kauli zake kwamba ndiye njia ya kweli na uzima,na maandiko yako wazi,Mudi ni famba wa shetani aliyeletwa kwa lengo la kupotosha injili ya kweli,kumbuka shetani ni baba wa uongo ndio maana hata kurwani ni kitabu cha kuokoteza historia na matukio ya manabii wa israel wayahudi
 
Tatizo la Arabs walidanganywa na Mudy kuwa Arabs ni best creation ya Allah so wanatakiwa kuwa supremacy dhidi ya watu wengine... Sasa wamekutana na Jiwe Netanyahu haogopi Arabs wala Muslim wala Allah anachapa tu akitaka walie,wapige kelele,wanye mwendo ni kichapo tu..

Kuna Siku Askari wa Egypt alimuua makusudi mtalii wa Israel.. sasa hapo mpakani alidhani ataachwa afyatue tu risasi watu wakiwa kazini kawahishwa akawahi mabikira 70 kabla hawajaisha maana this time Hamas wanafaidi mno...
We mwehu kabisa. Badala ya kuchangia mada unaleta utopolo wako hapa. Kichwa matope.
 
Baada yake.
Ko yeye haitambui biblia, wakati huo huo kwa mujibu wa mafundisho ya kiislamu ni kuwa Issa a.s (yesu) anamtambua muhammad na quran na pia quran inamtambua issa na wengineo miongoni mwa manabii na mitume, na uislamu unalazimisha kumtambua yesu kama alivyoelezewa na quran yenyewe na alivyoelezewa na mtume muhammad (s.a.w) na mwenye kupinga kumtambua yesu atahesabika si muislamu kwa maana atakuwa amemkana mtume wa mwenyezi Mungu na amekikana kitabu chake.

Ukija kudibank usije na porojo, njoo kwa kutulia na tumia maandiko na akili yenye adabu,,,,,!!!
 
ni kitabu chenye maagano mawili la kale na jipya(injili)ndio unapata BIBLIA.Msituletee maswali ya kipumbavu kama yale ya wapi ukristo dini huku mkijiona waarabu na hamjui hata maana ya dini.
Mi sitaki kujua ina maagano mangapi, nataka kujua kama yesu anaitambua hiyo biblia au la,,,!!!!

Tumia akili,,,,!!!

Kabla ya kuendelea, nikuulize kuhusu elimu yako, umesoma hadi level gani na ulifaulu kwa daraja lipi,,,???

Naogopa kujadili hoja za kielimu na mjinga,,,,!!!!
 
Ko yeye haitambui biblia, wakati huo huo kwa mujibu wa mafundisho ya kiislamu ni kuwa Issa a.s (yesu) anamtambua muhammad na quran na pia quran inamtambua issa na wengineo miongoni mwa manabii na mitume, na uislamu unalazimisha kumtambua yesu kama alivyoelezewa na quran yenyewe na alivyoelezewa na mtume muhammad (s.a.w) na mwenye kupinga kumtambua yesu atahesabika si muislamu kwa maana atakuwa amemkana mtume wa mwenyezi Mungu na amekikana kitabu chake.

Ukija kudibank usije na porojo, njoo kwa kutulia na tumia maandiko na akili yenye adabu,,,,,!!!
Biblia haimtambui kabisa hizo fiction unazoziongelea na haimjui huyo Mohamed.
 
Biblia haimtambui kabisa hizo fiction unazoziongelea na haimjui huyo Mohamed.
Biblia haiwezi kumtambua Muhammad kwa sababu hicho si kitabu cha Mungu.
Kuna vita vinne vya Mungu alivyoteremsha kwa mitume navyo
ni
1. Zaburi ya Daud.
2.Torat ya Mussa.
3.Injili ya Issa (yesu).
4.Quran ya Muhammad.
Haya hiyo biblia iliteremka kwa nabii yupi,,,,????
 
Biblia haimtambui kabisa hizo fiction unazoziongelea na haimjui huyo Mohamed.
Ni kweli biblia haimtambui na haitomtambua muhammad kamwe.

Ila rudia kusoma maelezo yangu kwa mara nyingine ili uelewe nilichoandika.
 
Biblia haiwezi kumtambua Muhammad kwa sababu hicho si kitabu cha Mungu.
Kuna vita vinne vya Mungu alivyoteremsha kwa mitume navyo
ni
1. Zaburi ya Daud.
2.Torat ya Mussa.
3.Injili ya Issa (yesu).
4.Quran ya Muhammad.
Haya hiyo biblia iliteremka kwa nabii yupi,,,,????
Inategemea unamzungumzia Mungu yupi, kama ni huyo allah mungu wa waarabu kweli huyo haitambui biblia hivyo uko sahihi kabisa na hakuna anayeweza kututhibitishia kwamba alishuhudia kwa macho yake huyo mungu akivitelemsha kwa Crane hivyo vitabu.

Hizo ndizo kwa kiingereza zinaitwa Religious Dogma.
 
Inategemea unamzungumzia Mungu yupi, kama ni huyo allah mungu wa waarabu kweli huyo haitambui biblia hivyo uko sahihi kabisa na hakuna anayeweza kututhibitishia kwamba alishuhudia kwa macho yake huyo mungu akivitelemsha kwa Crane hivyo vitabu.

Hizo ndizo kwa kiingereza zinaitwa Religious Dogma.
Sawa lete ushahidi wa maandiko matakatifu ya biblia yanayothibitisha
1.yesu anajua uwepo na uhalali wa biblia na
2. Biblia ni kitabu cha Mungu.

Ukifeli kwenye kuthibitisha hayo fahamu kuwa wewe ni mfuasi wa dini usiyoijua na hauna unalojua zaidi isipokuwa ni mbishi mpumbavu.
 
Sawa lete ushahidi wa maandiko matakatifu ya biblia yanayothibitisha
1.yesu anajua uwepo na uhalali wa biblia na
2. Biblia ni kitabu cha Mungu.

Ukifeli kwenye kuthibitisha hayo fahamu kuwa wewe ni mfuasi wa dini usiyoijua na hauna unalojua zaidi isipokuwa ni mbishi mpumbavu.
Mungu gani? Nimeshakwambia hivi vitabu kila kimoja na Mungu wake na ndio maana hayo mawazo yenu yanaitwa Religious Dogma. Au hujui maana yake nini ❗ ❓
 
Mungu gani? Nimeshakwambia hivi vitabu kila kimoja na Mungu wake na ndio maana hayo mawazo yenu yanaitwa Religious Dogma. Au hujui maana yake nini ❗ ❓
kumbe we ni bogus, haujui hata huo ukristo umeanzia wapi na unafuata dini (mila) za nabii yupi.

Ikiwa wewe na baadhi ya wakristo wenzako munaamini kuwa Mungu wamuaminio waislamu na wakristo ni tofauti basi ninyi ni majuha na ni wajinga mliopitiliza kwenye imani yenu.

Na tatizo huenda likaanzia kanisani kwa sababu viongozi wenu hawawaimizi kuisoma dini yenu kwa sababu wanahofu huenda mukapata mwangaza wa kufahamu ukweli kuhusu imani ya dini (both Islamic and Christan)

Kwa mujibu wa maelezo kuhusu ukristo, uislamu na uyahudi ni kuwa dini hizi zinafuata mfumo wa dini wa Nabii Ibrahim (Abraham) wakiwa na baadhi ya tofauti katika kuabudu na vitabu vyao pamoja na waasisi wa dini hizo baada yake(baada ya Ibrahim).
Na hapo ndipo inapoaminika kuwa ukristo umeanza kwa yesu, uislamu kwa muhammad na sifahamu vizuri kuhusu uyahudi, ila wote wanaamini katika Mungu mmoja aliye mbinguni.
Sasa ikiwa kama ukristo wenu uko tofauti na huo basi ninyi ni wakristo feki msio na dini sahihi.
 
Mungu gani? Nimeshakwambia hivi vitabu kila kimoja na Mungu wake na ndio maana hayo mawazo yenu yanaitwa Religious Dogma. Au hujui maana yake nini ❗ ❓
Ila naamini pia kuwa biblia ina Mungu wake ambae ni binadamu kama wewe na ndio maana wenye biblia yao wanaweza kufanya reforms kulingana na utashi wao wa kisiasa na kijamii.
 
Ila naamini pia kuwa biblia ina Mungu wake ambae ni binadamu kama wewe na ndio maana wenye biblia yao wanaweza kufanya reforms kulingana na utashi wao wa kisiasa na kijamii.
Sitaki kuongelea sana haya mambo ya kiimani kwa sababu ni sawa tu na yale ya akina Simba na Yanga kwani mambo ya imani ni nadharia tu ambayo haiwezi kuthibitishwa kisayansi hivyo mwenye akili timamu hawezi kuhangaika nayo hata kidogo.

Kila mmoja ataona kitabu cha mwingine hakifai na kwamba chake ndicho kinafaa japo kwetu waafrika ni vitu vya kuletewa tu na kwa kuwa waafrika ni jamii ya watu wenye IQ RATING ndogo sana hawana uwezo wa kuchambua jambo na kulitizama katika njia iliyo sahihi na ndio maana waafrika wako tayari hata kutumia majina ya wengine eti ndio aonekane ni muumini sahihi wa dini fulani.

Afrika tumeshindwa kabisa kuachana na kasumba ya utumwa.
 
kumbe we ni bogus, haujui hata huo ukristo umeanzia wapi na unafuata dini (mila) za nabii yupi.

Ikiwa wewe na baadhi ya wakristo wenzako munaamini kuwa Mungu wamuaminio waislamu na wakristo ni tofauti basi ninyi ni majuha na ni wajinga mliopitiliza kwenye imani yenu.

Na tatizo huenda likaanzia kanisani kwa sababu viongozi wenu hawawaimizi kuisoma dini yenu kwa sababu wanahofu huenda mukapata mwangaza wa kufahamu ukweli kuhusu imani ya dini (both Islamic and Christan)

Kwa mujibu wa maelezo kuhusu ukristo, uislamu na uyahudi ni kuwa dini hizi zinafuata mfumo wa dini wa Nabii Ibrahim (Abraham) wakiwa na baadhi ya tofauti katika kuabudu na vitabu vyao pamoja na waasisi wa dini hizo baada yake(baada ya Ibrahim).
Na hapo ndipo inapoaminika kuwa ukristo umeanza kwa yesu, uislamu kwa muhammad na sifahamu vizuri kuhusu uyahudi, ila wote wanaamini katika Mungu mmoja aliye mbinguni.
Sasa ikiwa kama ukristo wenu uko tofauti na huo basi ninyi ni wakristo feki msio na dini sahihi.
Ni utumwa bado unawasumbua na ni janga ambalo linawasumbua waafrika walio wengi sana japo wachache hatuko huko na tunajitambua kwamba tulimjua Mungu hata kabla ya hao wageni kuja na kutuvurugia utamaduni wetu.

Ni uongo na upumbavu wa hali ya juu kuamini kwamba eti wewe huwezi kutambua uwepo wa Mungu eti mpaka uambiwe na mtu wa kutoka mbali, ni uongo kabisa na ni utapeli wa wazi kabisa.
 
Ni utumwa bado unawasumbua na ni janga ambalo linawasumbua waafrika walio wengi sana japo wachache hatuko huko na tunajitambua kwamba tulimjua Mungu hata kabla ya hao wageni kuja na kutuvurugia utamaduni wetu.

Ni uongo na upumbavu wa hali ya juu kuamini kwamba eti wewe huwezi kutambua uwepo wa Mungu eti mpaka uambiwe na mtu wa kutoka mbali, ni uongo kabisa na ni utapeli wa wazi kabisa.
ko huo ukristo unaohubiria ulianzia hapa Afrika mashariki ndani ya nchi ya Tanzania sehemu uliyozaliwa????
au jamii yako ilikuwa inamuamini Mungu kwa imani ya dini ipi????
 
Sitaki kuongelea sana haya mambo ya kiimani kwa sababu ni sawa tu na yale ya akina Simba na Yanga kwani mambo ya imani ni nadharia tu ambayo haiwezi kuthibitishwa kisayansi hivyo mwenye akili timamu hawezi kuhangaika nayo hata kidogo.

Kila mmoja ataona kitabu cha mwingine hakifai na kwamba chake ndicho kinafaa japo kwetu waafrika ni vitu vya kuletewa tu na kwa kuwa waafrika ni jamii ya watu wenye IQ RATING ndogo sana hawana uwezo wa kuchambua jambo na kulitizama katika njia iliyo sahihi na ndio maana waafrika wako tayari hata kutumia majina ya wengine eti ndio aonekane ni muumini sahihi wa dini fulani.

Afrika tumeshindwa kabisa kuachana na kasumba ya utumwa.
Unajaribu kujitetea kwa kutumia nadharia ya "if you fail to convince him, confuse him".
sa hivi unaanza kujitoa kwenye mada baada ya kushindwa kuthibitisha ukweli wa imani yako tena kwa kutumia maandiko ya biblia uiaminiyo.
Tafsiri yake ni kuwa, unafuata dini usiyoijua na hauna muda wa kuijua ila kwa kuwa ushakuwa mkristo inatosha huwezi kuamini dini nyingine hata kama ukristo wako ukawa ni dini ya Magumashi na uongo mwingi.

Ukweli umeufahamu ila kutokana na chuki dhidi yake huwezi kuufata.
 
ko huo ukristo unaohubiria ulianzia hapa Afrika mashariki ndani ya nchi ya Tanzania sehemu uliyozaliwa????
au jamii yako ilikuwa inamuamini Mungu kwa imani ya dini ipi????
Kuamini Mungu sio lazima uwe na dini, mumekaririshwa vibaya. Dini ni biashara tu na zililetwa na wanadamu.
 
Back
Top Bottom