Misri na Israel waanza kupigana Rafah. Askari wa Misri afa

Basi kama umekubali hicho kilichosemwa na Qur'an.Itakuwa umeelewa kuwa Qur'an si maneno ya watu.
Ni lazima uamini kuwa Yesu si Mungu na utume wake uliishia pale alipopewa utume ndugu yake Muhammad kama ilivyotajwa kwenye Qur'an.
 
Basi kama umekubali hicho kilichosemwa na Qur'an.Itakuwa umeelewa kuwa Qur'an si maneno ya watu.
Ni lazima uamini kuwa Yesu si Mungu na utume wake uliishia pale alipopewa utume ndugu yake Muhammad kama ilivyotajwa kwenye Qur'an.
Hayo yote mie nakubali, kwamgu YESU si mungu, nakubali.
Muhammad ndio mtume wa mwisho kwa dunia yote nakubali.
Quraan sio maneno ya watu nakubali pia.
 
Balaa wapi?
Vita zishamshinda raia washachoka mapigano.
HIVI UNA HABARI KUWA NORTHERN ISRAEL WAZAYUNI WAMEUKIMBIA MJI KWA KUHOFIA MAKOMBORA YA HIZBOLLAH??
Yani mashambulizi ya Hizbollah yameufanya Galilee kuwa ghost city.
Na hiyo Egypt kinachofanya waji hold back ni Elsisi,Elsisi kakaa madarakani kwa msaada wa USA baada ya kufadhiliwa mapinduzi kumpindua Morsi.
Ila kama angekua MUHAMMED MORSI mngeona balaa lake hapo Rafah.
 
Umeongea upuuzi ila umenifanya nicheke.
 
Kweli ugomvi haufai, hamas kapoteza ata kile kidogo alichokuanacho...
Hivi ile dua ya albadili haifanyi kazi?
 
Huyu rais hata wakiuliwa wanajesha 100 hawez fanya chocho maana amewekwa hapo kimchongo na mayahudi wa. Usa kwa kuilinda israel
 
shida ninayoipata, ni kwamba palepale Rafah hamas walikuwa wanarusha rocket kutokea katikati ya raia kwenda tel aviv na zilipiga tel a viv. na wanafanya hivyo makusudi ili israel ipige palipotoka rocket watu wafe na dunia iwalaumu waisrael, ni kama wanasacrifice watu wao ili wapate huruma ya dunia. ajabu sana.
 
Basi kama umekubali hicho kilichosemwa na Qur'an.Itakuwa umeelewa kuwa Qur'an si maneno ya watu.
Ni lazima uamini kuwa Yesu si Mungu na utume wake uliishia pale alipopewa utume ndugu yake Muhammad kama ilivyotajwa kwenye Qur'an.
Ni kweli Yesu siyo Mungu ila kwa mujibu wa maandiko alifia pale msalabani ili wote wamwaminio wasipotee ila wawe na uzima wa milele.

Hivyo basi ina maana alikufia hata wewe ila bado hujitambui kwa sababu bado umetekwa na shetani na huenda iko siku atakuingia na shetani atatoweka toka kwako na ndipo utapata ufunguo wa kupata uzima wa milele.

Mohammedi yeye biblia haimtambui kabisa ila alidai eti alipewa kurani na allah wakati huyo allah alikuwa ni miongoni mwa miungu zaidi ya 300 waliokuwa wakiabudiwa huko uarabuni enzi hizo na ndio maana watu wote wanaojitambua hawamtambui huyo Mohammedi na wanamuona kama mungu Wanyonyi tu hivi kwani hata mafundisho yake hayakuwa ya kuleta amani na utengamano katika jamii bali ni ya ki-vurugu zaidi na ubaguzi.
 
Lakini netanyahu si mkristo na anawatuma vijana wake wawabonde wakristo wenzako regardless ni waisrael, wapalestina au wamisri....

Muda mwingine ukiongea tumia akili usitumie mapenzi yasiyo na maono.
 
Waarabu hawakuwa wanamuabudu Allah unayemzungumzia wewe.

Hakuna Sanamu ya Allah halafu ukiwa unataka kusema kweli kwa hoja zenye uthibitisho acha kuongea usilolijua utaonekana kitukoooo.....,,,!!!!
 
Hata huyo yesu haitambui biblia pia,,,,,!!!

Usijidanganye,,,,,,!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…