Misri wameisaidia pakubwa Israel kupigana na Hamas. Bila msaada huo pamoja na mataifa makubwa ya Ulaya, Israel ingekimbia vita mapema

Misri wameisaidia pakubwa Israel kupigana na Hamas. Bila msaada huo pamoja na mataifa makubwa ya Ulaya, Israel ingekimbia vita mapema

Tatizo la Misri ni kama lile la Aljeria.Uchaguzi wa kidemokrasia unahimizwa na pindi watu wakiwachagua wenye mrengo wa kiislamu inakuwa nongwa na njama zinaanza kuwaondoa washindi.
Wenye mlengo wa kigaidi ndio hufurushwa. Mbona al sisi ni muislam yupo madarakani mpaka leo. Hosni mubarak alitawala zaidi ya miaka 30
 
Mashariki ya kati itakalika siku ambayo Iran & Saudi Arabia 🇸🇦 watakaporudisha mahusiano ya moja kwa moja ya kidiplomasia. Na huo utakuwa mwisho wa Israel na mashoga zake wanaoteteresha amani ya ukanda ule.
Mtasubiri sana mpaka mwisho wa dahari. The Jewish State is going nowhere and it's there to stay.
 
Vita vya Gaza vitaendelea kuwa ni vita vibaya kuwahi kupigananwa duniani kati ya maadui wawili wenye nguvu zinazopishana sana na bado ikashindikana kupatikana mshindi kwa muda mrefu.

Gazeti la Haaretz limetoa siri kwamba Misri imekuwa ikitamka hadharani kuwa ina uhasama na Israel kuhusiana na vita vya Gaza lakini kiundani utawala wa nchi hiyo umefanya njama na Israel kuiachia iipige Hamas wakihofia nguvu za Hamas kubaki na kuingia nchini Misri.

Baadhi yetu tulishawahi kutilia shaka namna Israel ilivyoweza kupeleka vikosi mpaka kwenye lango la kuingia Gaza huko Rafah bila upinzani wa maana kutoka Misri. Muda mfupi baada ya hapo jeshi hilo la Israel likaweza kuuchukua ukanda wote wa Philadephi ambao ndio mpaka pekee Gaza unaopakata na taifa la nje mbali na Israel.

Kwa maana hiyo Misri itakuwa haikuhusika na kupigwa kwa kundi la Hamas peke yake bali na mauwaji ya maelfu ya wapalestina na uharibifu wa eneo lote la Gaza ambapo uharibifu wake unazidi hata ule uliotokea maeneo ya Bakhmut na Mariupol nchini Ukraine.

Kudhihirisha kuwa Hamas na wenzao hawapigani na Israel peke yao ni kuwa hata sasa nchi tano za Ulaya na Markani zimeendelea kupinga hukumu ya mahakama ya ICCJ inayotaka Netanyahu akamatwe na kushitakiwa.

Wapiganaji hao wa Gaza wamekatiwa misaada yote ya silaha na chakula lakini la kushangaza mpaka sasa hawajasalimu amri na wanaendelea kupigana.
Mlianza kusema Israel wamesindwa vita kabla hata havijaanza,Mkasema Israel ikiingia Gaza itakuwa mwisho wao akaja iran akapiga mikwara ya kufa mtu, Vita ikaanza wakadai Israel inaua raia, mkasema Israel anaua Watoto na kina mama, Jeshi lnasogea tu Katikati ya Gaza, Hamas wakaomba PO israel akakubali wakaviimba sana, Mateka wakarejeshwa baadhi mara ghalfa Hamas akaghaili Vita ikaendelea, hali ikawa mbaya Hamas wakaanza kijilipua na kuisingizia Israel, Uongo ukawekwa chonjo, kipigo kikaendelea maandamano na u idiot ukawekwa pembeni, Mkamtafuta South Africa nae akapigwa chini hajui hata ameshitaki nini, Mkadi IDF akiingia Rafah kaisha, vicharii vikatia timu sasa hali imekuwa mbaya kwa upande wenu, mnasema sio Israel huyo... hahahahaha tulieni mliyataka wenyewe.. tuliwaambien achieni Mateka pengine mtapata nafuu ya Netanyahu mmegoma hadi leo
 
Vita vya Gaza vitaendelea kuwa ni vita vibaya kuwahi kupigananwa duniani kati ya maadui wawili wenye nguvu zinazopishana sana na bado ikashindikana kupatikana mshindi kwa muda mrefu.

Gazeti la Haaretz limetoa siri kwamba Misri imekuwa ikitamka hadharani kuwa ina uhasama na Israel kuhusiana na vita vya Gaza lakini kiundani utawala wa nchi hiyo umefanya njama na Israel kuiachia iipige Hamas wakihofia nguvu za Hamas kubaki na kuingia nchini Misri.

Baadhi yetu tulishawahi kutilia shaka namna Israel ilivyoweza kupeleka vikosi mpaka kwenye lango la kuingia Gaza huko Rafah bila upinzani wa maana kutoka Misri. Muda mfupi baada ya hapo jeshi hilo la Israel likaweza kuuchukua ukanda wote wa Philadephi ambao ndio mpaka pekee Gaza unaopakata na taifa la nje mbali na Israel.

Kwa maana hiyo Misri itakuwa haikuhusika na kupigwa kwa kundi la Hamas peke yake bali na mauwaji ya maelfu ya wapalestina na uharibifu wa eneo lote la Gaza ambapo uharibifu wake unazidi hata ule uliotokea maeneo ya Bakhmut na Mariupol nchini Ukraine.

Kudhihirisha kuwa Hamas na wenzao hawapigani na Israel peke yao ni kuwa hata sasa nchi tano za Ulaya na Markani zimeendelea kupinga hukumu ya mahakama ya ICCJ inayotaka Netanyahu akamatwe na kushitakiwa.

Wapiganaji hao wa Gaza wamekatiwa misaada yote ya silaha na chakula lakini la kushangaza mpaka sasa hawajasalimu amri na wanaendelea kupigana.
misri hawajaisaidia kabisa Israel na almanusura wapigane hapa majuzi. usichojua ni kwamba, misri walikuwa wanawazuia wapalestina wa gaza wasipitie rafah kwenda misri kwasababu waligundua lengo la israel ni ethnic cleansening, walitaka wawasukumie wapalestina wote waondoke gaza pasiwepo na mwanadamu kabisa ili wao wajenge mji wa kiyahudi wapore ardhi yote kabisa. na walikuwa wanawasukumia Misri, hivyo watu 2m wa kipalestina wangevamia ardhi ya misri na kuweka makazi yao ya kudumu misri hivyo wangekuwa ni wamisri kwasababu wanaishi nchi ya misri kule gaza wasingerudi tena. alifanya vile kuzuia uporaji wa ardhi ya gaza kwasababu ndio lengo wa israel.

kitu kingine, misri inawaogopa sana wapalestina, kwasababu kutokana na aina ya maisha waliyoishi tangu kuzaliwa (wengi miaka 70 kushuka) kwasababu israel ana miaka 70 hadi sasa tangu taifa liundwe, wapalestina wameumizwa moyo sana sana, hivyo wana hasira sana, kuwaunganisha ni kutamka kauli moja tu wanafanya jambo, ukisema tuandamane huhitaji kuwabembeleza, ni kama mwanamke kisirani mwenye maumivu moyoni, hivyo 2m people wakiwa misri akitokea mjinga mmoja tu akawaunganisha, wanao uwezo kuipindua misri nzima, na wana mioyo ya ujasiri kwasababu ndio yamekuwa maisha yao hawaogopi. wapalestina ndio walioteka lebanon (PLO) iliyokuwa ya kikristo ikawa ya kiislam na wakristo wote wakakimbia nchi, wapalestina ndio waliotaka kupindua Jordan kwasababu hadi leo wapalestina waliopo jordan ni 3m na walishawahi kupiga risasi hadi PM kama sikosei. yaani wakiwa hata hapa bongo, chadema wakisema tukianzishe wenyewe utakuta asubuhi wapo barabarani wanarusha mawe wanamsubiri mbowe aamke kwenye hangover ya konyagi aungane nao. ni watu hatari wasiopendwa hadi na waislam wenzao, na siwalaumu ni kwasababu mioyo yao wote wana hasira kutokana na waliyoyaishi.
 
Vita vya Gaza vitaendelea kuwa ni vita vibaya kuwahi kupigananwa duniani kati ya maadui wawili wenye nguvu zinazopishana sana na bado ikashindikana kupatikana mshindi kwa muda mrefu.

Gazeti la Haaretz limetoa siri kwamba Misri imekuwa ikitamka hadharani kuwa ina uhasama na Israel kuhusiana na vita vya Gaza lakini kiundani utawala wa nchi hiyo umefanya njama na Israel kuiachia iipige Hamas wakihofia nguvu za Hamas kubaki na kuingia nchini Misri.

Baadhi yetu tulishawahi kutilia shaka namna Israel ilivyoweza kupeleka vikosi mpaka kwenye lango la kuingia Gaza huko Rafah bila upinzani wa maana kutoka Misri. Muda mfupi baada ya hapo jeshi hilo la Israel likaweza kuuchukua ukanda wote wa Philadephi ambao ndio mpaka pekee Gaza unaopakata na taifa la nje mbali na Israel.

Kwa maana hiyo Misri itakuwa haikuhusika na kupigwa kwa kundi la Hamas peke yake bali na mauwaji ya maelfu ya wapalestina na uharibifu wa eneo lote la Gaza ambapo uharibifu wake unazidi hata ule uliotokea maeneo ya Bakhmut na Mariupol nchini Ukraine.

Kudhihirisha kuwa Hamas na wenzao hawapigani na Israel peke yao ni kuwa hata sasa nchi tano za Ulaya na Markani zimeendelea kupinga hukumu ya mahakama ya ICCJ inayotaka Netanyahu akamatwe na kushitakiwa.

Wapiganaji hao wa Gaza wamekatiwa misaada yote ya silaha na chakula lakini la kushangaza mpaka sasa hawajasalimu amri na wanaendelea kupigana.
Israel wasingekuwa wanatoa taarifa bas hamas isingekwepo dunian na wapalestina wangeandamana kuwataka hamas wajiuzuru
 
Lini misri ilikua nchi ya kidini mpaka wamisri wachoke!?.. wamisri gani waliomchoka ikiwa alishinda uchaguzi kwa kishindo!?..uwe na fact,siyo unakurupuka Kama uharo
unahis Misri wana uchaguz wa haki na wazi kama ulaya?
 
Mlianza kusema Israel wamesindwa vita kabla hata havijaanza,Mkasema Israel ikiingia Gaza itakuwa mwisho wao akaja iran akapiga mikwara ya kufa mtu, Vita ikaanza wakadai Israel inaua raia, mkasema Israel anaua Watoto na kina mama, Jeshi lnasogea tu Katikati ya Gaza, Hamas wakaomba PO israel akakubali wakaviimba sana, Mateka wakarejeshwa baadhi mara ghalfa Hamas akaghaili Vita ikaendelea, hali ikawa mbaya Hamas wakaanza kijilipua na kuisingizia Israel, Uongo ukawekwa chonjo, kipigo kikaendelea maandamano na u idiot ukawekwa pembeni, Mkamtafuta South Africa nae akapigwa chini hajui hata ameshitaki nini, Mkadi IDF akiingia Rafah kaisha, vicharii vikatia timu sasa hali imekuwa mbaya kwa upande wenu, mnasema sio Israel huyo... hahahahaha tulieni mliyataka wenyewe.. tuliwaambien achieni Mateka pengine mtapata nafuu ya Netanyahu mmegoma hadi leo
Tumewafahamu jinsi ambavyo hamna ubinadamu.Hata hivyo hamtaweza kutunyamazisha na sisi tukawaabudu nyinyi badala ya Mwenyezi Mungu.
Vile vile msione kinachotokea Gaza ndio ushindi bali mjue ndio muendelezo wa vita baina ya haki na batili mpaka mwisho wa dunia.Ushindi wa mwisho utakuwa ni wale walio upande wa haki bila kujali hasara upande wao,
 
Tukisema akili zenu ni fupi kama bao la mwisho mnakaza shingo aya angalia sasa uyu kijana anae jiita babu
Vita vya Gaza vitaendelea kuwa ni vita vibaya kuwahi kupigananwa duniani kati ya maadui wawili wenye nguvu zinazopishana sana na bado ikashindikana kupatikana mshindi kwa muda mrefu.

Gazeti la Haaretz limetoa siri kwamba Misri imekuwa ikitamka hadharani kuwa ina uhasama na Israel kuhusiana na vita vya Gaza lakini kiundani utawala wa nchi hiyo umefanya njama na Israel kuiachia iipige Hamas wakihofia nguvu za Hamas kubaki na kuingia nchini Misri.

Baadhi yetu tulishawahi kutilia shaka namna Israel ilivyoweza kupeleka vikosi mpaka kwenye lango la kuingia Gaza huko Rafah bila upinzani wa maana kutoka Misri. Muda mfupi baada ya hapo jeshi hilo la Israel likaweza kuuchukua ukanda wote wa Philadephi ambao ndio mpaka pekee Gaza unaopakata na taifa la nje mbali na Israel.

Kwa maana hiyo Misri itakuwa haikuhusika na kupigwa kwa kundi la Hamas peke yake bali na mauwaji ya maelfu ya wapalestina na uharibifu wa eneo lote la Gaza ambapo uharibifu wake unazidi hata ule uliotokea maeneo ya Bakhmut na Mariupol nchini Ukraine.

Kudhihirisha kuwa Hamas na wenzao hawapigani na Israel peke yao ni kuwa hata sasa nchi tano za Ulaya na Markani zimeendelea kupinga hukumu ya mahakama ya ICCJ inayotaka Netanyahu akamatwe na kushitakiwa.

Wapiganaji hao wa Gaza wamekatiwa misaada yote ya silaha na chakula lakini la kushangaza mpaka sasa hawajasalimu amri na wanaendelea kupigana.
 
Mlianza kusema Israel wamesindwa vita kabla hata havijaanza,Mkasema Israel ikiingia Gaza itakuwa mwisho wao akaja iran akapiga mikwara ya kufa mtu, Vita ikaanza wakadai Israel inaua raia, mkasema Israel anaua Watoto na kina mama, Jeshi lnasogea tu Katikati ya Gaza, Hamas wakaomba PO israel akakubali wakaviimba sana, Mateka wakarejeshwa baadhi mara ghalfa Hamas akaghaili Vita ikaendelea, hali ikawa mbaya Hamas wakaanza kijilipua na kuisingizia Israel, Uongo ukawekwa chonjo, kipigo kikaendelea maandamano na u idiot ukawekwa pembeni, Mkamtafuta South Africa nae akapigwa chini hajui hata ameshitaki nini, Mkadi IDF akiingia Rafah kaisha, vicharii vikatia timu sasa hali imekuwa mbaya kwa upande wenu, mnasema sio Israel huyo... hahahahaha tulieni mliyataka wenyewe.. tuliwaambien achieni Mateka pengine mtapata nafuu ya Netanyahu mmegoma hadi leo
Hii vita ameshindwa mbona kilichomsaidia ni usa na ujerumani vinginevyo ingekuwa aibu ya dunia
 
Vita vya Gaza vitaendelea kuwa ni vita vibaya kuwahi kupigananwa duniani kati ya maadui wawili wenye nguvu zinazopishana sana na bado ikashindikana kupatikana mshindi kwa muda mrefu.

Gazeti la Haaretz limetoa siri kwamba Misri imekuwa ikitamka hadharani kuwa ina uhasama na Israel kuhusiana na vita vya Gaza lakini kiundani utawala wa nchi hiyo umefanya njama na Israel kuiachia iipige Hamas wakihofia nguvu za Hamas kubaki na kuingia nchini Misri.

Baadhi yetu tulishawahi kutilia shaka namna Israel ilivyoweza kupeleka vikosi mpaka kwenye lango la kuingia Gaza huko Rafah bila upinzani wa maana kutoka Misri. Muda mfupi baada ya hapo jeshi hilo la Israel likaweza kuuchukua ukanda wote wa Philadephi ambao ndio mpaka pekee Gaza unaopakata na taifa la nje mbali na Israel.

Kwa maana hiyo Misri itakuwa haikuhusika na kupigwa kwa kundi la Hamas peke yake bali na mauwaji ya maelfu ya wapalestina na uharibifu wa eneo lote la Gaza ambapo uharibifu wake unazidi hata ule uliotokea maeneo ya Bakhmut na Mariupol nchini Ukraine.

Kudhihirisha kuwa Hamas na wenzao hawapigani na Israel peke yao ni kuwa hata sasa nchi tano za Ulaya na Markani zimeendelea kupinga hukumu ya mahakama ya ICCJ inayotaka Netanyahu akamatwe na kushitakiwa.

Wapiganaji hao wa Gaza wamekatiwa misaada yote ya silaha na chakula lakini la kushangaza mpaka sasa hawajasalimu amri na wanaendelea kupigana.
Israeli kama maji. Usipoweza kupigana nao lazima utaungana nao. Israel ukimuogopa sana lazima uwe upande wake. Sio misri tu hata ISI wanawasaidia isrel.
Istoshe Hakunanmwarabu anayeichukia hamas kuliko misri na saud
 
Back
Top Bottom