Misri wameisaidia pakubwa Israel kupigana na Hamas. Bila msaada huo pamoja na mataifa makubwa ya Ulaya, Israel ingekimbia vita mapema

Misri wameisaidia pakubwa Israel kupigana na Hamas. Bila msaada huo pamoja na mataifa makubwa ya Ulaya, Israel ingekimbia vita mapema

Kumbuka waisrael wamewahi kaa utumwani Misri wakaja kutolewa na Musa, wana undugu hao watu
Habari za kufikirika hizo, hakuna kitu kama hicho Marekani ndio anawaongoza waarabu na huamua Nini wafanye. Nchi ambazo zimekataa utawala w Marekani zipo kwenye migogoro
 
Muslim Brotherhood sio chama cha siasa hapo Qatar. Iran kuwa supporter wa ugaidi haimaanishi anakubali magaidi nyumbani kwake kwamba akiwapa silaha Houthi anawaambia walipue meli zake mwenyewe na bandari zake.
 
Vita vya Gaza vitaendelea kuwa ni vita vibaya kuwahi kupigananwa duniani kati ya maadui wawili wenye nguvu zinazopishana sana na bado ikashindikana kupatikana mshindi kwa muda mrefu.

Gazeti la Haaretz limetoa siri kwamba Misri imekuwa ikitamka hadharani kuwa ina uhasama na Israel kuhusiana na vita vya Gaza lakini kiundani utawala wa nchi hiyo umefanya njama na Israel kuiachia iipige Hamas wakihofia nguvu za Hamas kubaki na kuingia nchini Misri.

Baadhi yetu tulishawahi kutilia shaka namna Israel ilivyoweza kupeleka vikosi mpaka kwenye lango la kuingia Gaza huko Rafah bila upinzani wa maana kutoka Misri. Muda mfupi baada ya hapo jeshi hilo la Israel likaweza kuuchukua ukanda wote wa Philadephi ambao ndio mpaka pekee Gaza unaopakata na taifa la nje mbali na Israel.

Kwa maana hiyo Misri itakuwa haikuhusika na kupigwa kwa kundi la Hamas peke yake bali na mauwaji ya maelfu ya wapalestina na uharibifu wa eneo lote la Gaza ambapo uharibifu wake unazidi hata ule uliotokea maeneo ya Bakhmut na Mariupol nchini Ukraine.

Kudhihirisha kuwa Hamas na wenzao hawapigani na Israel peke yao ni kuwa hata sasa nchi tano za Ulaya na Markani zimeendelea kupinga hukumu ya mahakama ya ICCJ inayotaka Netanyahu akamatwe na kushitakiwa.

Wapiganaji hao wa Gaza wamekatiwa misaada yote ya silaha na chakula lakini la kushangaza mpaka sasa hawajasalimu amri na wanaendelea kupigana.
Egypt anajua kichapo alichopewa na Israel
 
Back
Top Bottom