Misri yakataza vazi la Niqab katika shule za Serikali

Inatakiwa hijabu hilo ya uso mzima ni maamuzi ya mtu hata sanamu la maria limevaa hiyo hijabu.


Ishu ni pale kuficha uso mzima kutumia kinyume na misingi ya kiislamu kama kufanya ugaidi ..
Matatoana damu watoto wa mnyaaazi.

Leo hii mnawaponda kobazi wenzenu answari sunna wanaofunika uso mzima!!!

Hahahaha
 
Hili jambo la kukataza Niqab lingefanywa na nchi kama Uingereza, Denmark au Ufaransa mngekuja kulia lia sana hapa na kusema mnaonewa.

Ila kwa sababu limefanywa na wakobazi wenzenu wa Misri mnajifanya ni kawaida tu.

Unafiki wenu nyie jamaa ni wa kiwango kikubwa sana
 
Matatoana damu watoto wa mnyaaazi.

Leo hii mnawaponda kobazi wenzenu answari sunna wanaofunika uso mzima!!!

Hahahaha
Jamani kwani sunnah ni lazima ,watu wakitoka kwenda mtoko wanavaa ila sio lazima ...Ndio uzuri wa uislamu😂😂
 
Jamani kwani sunnah ni lazima ,watu wakitoka kwenda mtoko wanavaa ila sio lazima ...Ndio uzuri wa uislamu[emoji23][emoji23]
Sasa kama sio lazima kwa nini mnalia lia pale Ufaransa anapopiga marufuku haya mavazi yenu kwenye Nchi yao?

Misri naye kafuata nyayo za Ufaransa... Lieni tena na hapa.
 
Kama israel wamekataa ukristo kwa nn usiumie!?😂😂😂


yaani taifa mnaloita takatifu mpaka bender zake mmeweka kanisani leo linakataa na wala halina wakristo wengi na bible wanasema ni utapeli 😂.
 
Kama israel wamekataa ukristo kwa nn usiumie!?[emoji23][emoji23][emoji23]


yaani taifa mnaloita takatifu mpaka bender zake mmeweka kanisani leo linakataa na wala halina wakristo wengi na bible wanasema ni utapeli [emoji23].
Unapanikigi vibaya sana. Hii mada haihusu Ukristo.

Hii mada inahusu waislam na MARUFUKU YA NIQAB NCHINI MISRI.

Jkite kwenye hiyo hoja hapo.
 
Sasa kama sio lazima kwa nini mnalia lia pale Ufaransa anapopiga marufuku haya mavazi yenu kwenye Nchi yao?

Misri naye kafuata nyayo za Ufaransa... Lieni tena na hapa.


Nan kalia😂😂?
Uislamu unakuwa kwa kasi ya ajabu mno kama isingekuwa dini ya Mungu basi ingetoweka kabisa maana unapingwa vita na mataifa makubwa duniani ila wapo ,hayo mataifa ndio sasa uislamu unasambaa .


Waislamu watavaa hijabu na kuwa na stara maisha ,nyie waenda disc viongozi wenu wanalia kila siku mnavaa hovyo😂😂roho zinawauma hata wewe.

Wewe binafsi hupendi kuona dada ako kavaa kama malaya anayejiuza roho inakuuma ila ukiangalia uislamu uko safi na wanapendeza.😂😂
 
Uislamu unapigwa vita sana lakini hawatashinda
Unapigwa vita na nani kwani misri sio waislamu
 

Pole sana kwa maumivu

Misri amejua sana kuwaweza... mmebaki kulia machozi ya samaki tu.

Zile kelele zenu kwa Ufaransa sasa kimyaaaaaaaaaaaa.

No Niqab in School when you are in Egypt. Hutaki, hamia Afghanistan au Iran ukavalie huko.
 
Pole sana kwa maumivu

Misri amejua sana kuwaweza... mmebaki kulia machozi ya samaki tu.

Zile kelele zenu kwa Ufaransa sasa kimyaaaaaaaaaaaa.
Hamna muislamu kaumia😂😂hijabu ipo pale pale wangeanza kuzuia huko vatican ila pia wanavaa hijabu.

Niqab sio lazima ...Pale roho inauma mpaka mnapewa matangazo kwamba mnaposoma bible hamuelewi labda hamfuati mpaka muambiwe tena kuhsu mavazi😂😂.

Roho inauma dada ako anavaa kama kahaba maana dini yenu ndio inavyotaka

No Niqab in School when you are in Egypt. Hutaki, hamia Afghanistan au Iran ukavalie huko.
 
Duuuuh! sikuwa nalifahamu hili. Sijui ni wayahudi wangapi wamekuwa na wanaendelea kuwa maraisi katika nchi mbalimbali ukiachana na Zelensky wa Ukraine.
 
Picha inayomuonesha Mwanamke akiwa beach nchini Iran kabla ya mapinduzi ya kiislamu.

 
Mwl kujua ni mwanafunzi gani anahitaji msaada zaidi ili aelewe kile mwl anachokusudia ni kazi ngumu maana hata haoni sura ya mwanafunzi usoni kujua kama anafuatila kile kinachofundishwa ni shida Ile dhana ya facial expression mwl hawezi ona
Kuna mwanasheria alivaa niqab mahakamani
Hakim akamwambia toa niqab kwa sababu nataka kuuona mdomo wakati unaongea
Mwanasheria akamwambia unataka mdomo au sauti?
Ile kesi ikaachwa ikawa ya kwao na hakim akamuondoa lawyer kama hatavua niqab
Duuuuh! sikuwa nalifahamu hili. Sijui ni wayahudi wangapi wamekuwa na wanaendelea kuwa maraisi katika nchi mbalimbali ukiachana na Zelensky wa Ukraine.
Abdulfatah Al Sisi baba yake ni Egyptian lakini alimuoa mwanamke mmorocco mwenye asili ya uyahudi
Hapo mtoto yeyote anaezaliwa na mama myahudi automatically anakuwa myahudi kwa asili yake hata kama ana uraia wa wapi

Inasemekana ni pandikizi tangu mdogo ambapo alisomea USA na UK masuala ya jeshi
Na alipanda mpaka kuwa mkuu wa majeshi

Aliposhika wadhifa wa Rais nchi ya kwanza kusherehekea na kumpongeza ilikuwa Israel

Dunia ina mambo hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…