Misri yakataza vazi la Niqab katika shule za Serikali

Misri yakataza vazi la Niqab katika shule za Serikali

Inatakiwa hijabu hilo ya uso mzima ni maamuzi ya mtu hata sanamu la maria limevaa hiyo hijabu.


Ishu ni pale kuficha uso mzima kutumia kinyume na misingi ya kiislamu kama kufanya ugaidi ..
Matatoana damu watoto wa mnyaaazi.

Leo hii mnawaponda kobazi wenzenu answari sunna wanaofunika uso mzima!!!

Hahahaha
 
Wewe ndio mjinga namba ,vazi la kujifunika uso mzima sio hijabu ni vitu viwli tofauti ma wanachofanya hapo ni kuepuka watu wanaotukia vibaya.

Wapo wakristo wanavaa na kufanya ujambazi ,mauaji hata uwizi hata waislamu pia wanvaa wengine sio kama kinga ya kujistri ila wanafanya ujinga ..


Hwajazuia hijab ni vazi hilo ,kuwa na akili kwamba watu waruhusiwe kuvaa nusu uchi kabisa na wewe unakubali.?
Hili jambo la kukataza Niqab lingefanywa na nchi kama Uingereza, Denmark au Ufaransa mngekuja kulia lia sana hapa na kusema mnaonewa.

Ila kwa sababu limefanywa na wakobazi wenzenu wa Misri mnajifanya ni kawaida tu.

Unafiki wenu nyie jamaa ni wa kiwango kikubwa sana
 
Matatoana damu watoto wa mnyaaazi.

Leo hii mnawaponda kobazi wenzenu answari sunna wanaofunika uso mzima!!!

Hahahaha
Jamani kwani sunnah ni lazima ,watu wakitoka kwenda mtoko wanavaa ila sio lazima ...Ndio uzuri wa uislamu😂😂
 
Jamani kwani sunnah ni lazima ,watu wakitoka kwenda mtoko wanavaa ila sio lazima ...Ndio uzuri wa uislamu[emoji23][emoji23]
Sasa kama sio lazima kwa nini mnalia lia pale Ufaransa anapopiga marufuku haya mavazi yenu kwenye Nchi yao?

Misri naye kafuata nyayo za Ufaransa... Lieni tena na hapa.
 
Kama israel wamekataa ukristo kwa nn usiumie!?😂😂😂


yaani taifa mnaloita takatifu mpaka bender zake mmeweka kanisani leo linakataa na wala halina wakristo wengi na bible wanasema ni utapeli 😂.
Yaani Misri wakataze Niqab halafu mimi niumie [emoji1787][emoji1787]

Wanaoumia ni nyie waja wa mnyaaazi... Ila kwa Sababu ni Misri ndiye kafanya mnalia machozi ya kimya kimya tu.

Misri wameendelea kuthibitisha fact, kuwa hii imani ya kobazi ina mambo ambayo hayaendani na dunia hii ya sasa.
 
Kama israel wamekataa ukristo kwa nn usiumie!?[emoji23][emoji23][emoji23]


yaani taifa mnaloita takatifu mpaka bender zake mmeweka kanisani leo linakataa na wala halina wakristo wengi na bible wanasema ni utapeli [emoji23].
Unapanikigi vibaya sana. Hii mada haihusu Ukristo.

Hii mada inahusu waislam na MARUFUKU YA NIQAB NCHINI MISRI.

Jkite kwenye hiyo hoja hapo.
 
Sasa kama sio lazima kwa nini mnalia lia pale Ufaransa anapopiga marufuku haya mavazi yenu kwenye Nchi yao?

Misri naye kafuata nyayo za Ufaransa... Lieni tena na hapa.
Screenshot_20230808-144619.png


Nan kalia😂😂?
Uislamu unakuwa kwa kasi ya ajabu mno kama isingekuwa dini ya Mungu basi ingetoweka kabisa maana unapingwa vita na mataifa makubwa duniani ila wapo ,hayo mataifa ndio sasa uislamu unasambaa .


Waislamu watavaa hijabu na kuwa na stara maisha ,nyie waenda disc viongozi wenu wanalia kila siku mnavaa hovyo😂😂roho zinawauma hata wewe.

Wewe binafsi hupendi kuona dada ako kavaa kama malaya anayejiuza roho inakuuma ila ukiangalia uislamu uko safi na wanapendeza.😂😂
 
#HABARI Uamuzi wa Wizara ya Elimu nchini Misri kutangaza marufuku ya kuvaa vazi la uso (Niqab) katika shule za serikali na binafsi umezua mjadala kwenye mitandao ya kijamii na kushutumiwa vikali huku uamuzi huo ukitajwa kuingilia masuala binafsi.

Wengi ambao hawakubaliani na marufuku hiyo wanadai serikali haikutoa uhalali wowote na kwamba ni wachache tu wenye itikadi kali ambao wataathirika na uamuzi huo.

Uamuzi huo ulitangazwa katika gazeti la serikali la Akhbar al-Youm na unajumuisha Niqab ambalo ni vazi jeusi la kiisalmu ambalo huacha tu sehemu ya macho kuonekana na huvaliwa na wanawake wachache nchini Misri.

=====

Egypt's Ministry of Education has banned the wearing of full-face veils in public and public schools, a decision that sparked debate on Tuesday on social networks in the country's most populous Arab country.


On Monday, the government newspaper Akhbar al-Youm published the new decree on school uniforms, which bans primary and secondary school pupils from "covering their faces".

The decree states that the headscarf is "optional", depending on "the wishes of the pupil, without pressure or coercion from anyone other than the legal guardian, who must be informed of this choice".

While the majority of Egyptian women wear the headscarf, the niqab remains in the minority in this overwhelmingly Muslim country.

"People are angry because the government has given no justification, it's a tyrannical decision that invades privacy", Mohammed reacted on X (ex-Twitter).

"No one is angry except supporters of the Taliban and the Islamic State (EI)," retorted al-Masri on the same network.

Ahmed Moussa, a talk-show host and fervent supporter of Abdel Fattah al-Sissi's regime, hailed "an important first step towards destroying extremism and correcting the situation in education, which has become a hideout for Muslim Brotherhood terrorist groups".

Since Mr Sissi deposed President Mohamed Morsi - a member of the Muslim Brotherhood - in 2013, the Brotherhood, which has been declared a "terrorist" organisation, has been banned and its members and leaders have been killed in their hundreds and imprisoned in their thousands.

For Internet users, however, the problem of education in a country of 105 million inhabitants crushed by inflation and public debt lies elsewhere."Is the niqab responsible for overcrowded classrooms, dilapidated equipment and teachers' difficulties?" asked another user ironically.

At the end of 2015, Cairo University, one of Egypt's oldest and most prestigious universities, banned its female lecturers from wearing the niqab, a decision upheld in 2020 by a Cairo administrative court.

The strictest form of the Islamic veil, the niqab is generally black, revealing only the eyes through a slit.
Uislamu unapigwa vita sana lakini hawatashinda
Unapigwa vita na nani kwani misri sio waislamu
 
View attachment 2749267

Nan kalia[emoji23][emoji23]?
Uislamu unakuwa kwa kasi ya ajabu mno kama isingekuwa dini ya Mungu basi ingetoweka kabisa maana unapingwa vita na mataifa makubwa duniani ila wapo ,hayo mataifa ndio sasa uislamu unasambaa .


Waislamu watavaa hijabu na kuwa na stara maisha ,nyie waenda disc viongozi wenu wanalia kila siku mnavaa hovyo[emoji23][emoji23]roho zinawauma hata wewe.

Wewe binafsi hupendi kuona dada ako kavaa kama malaya anayejiuza roho inakuuma ila ukiangalia uislamu uko safi na wanapendeza.[emoji23][emoji23]

Pole sana kwa maumivu

Misri amejua sana kuwaweza... mmebaki kulia machozi ya samaki tu.

Zile kelele zenu kwa Ufaransa sasa kimyaaaaaaaaaaaa.

No Niqab in School when you are in Egypt. Hutaki, hamia Afghanistan au Iran ukavalie huko.
 
Pole sana kwa maumivu

Misri amejua sana kuwaweza... mmebaki kulia machozi ya samaki tu.

Zile kelele zenu kwa Ufaransa sasa kimyaaaaaaaaaaaa.
Hamna muislamu kaumia😂😂hijabu ipo pale pale wangeanza kuzuia huko vatican ila pia wanavaa hijabu.

Niqab sio lazima ...Pale roho inauma mpaka mnapewa matangazo kwamba mnaposoma bible hamuelewi labda hamfuati mpaka muambiwe tena kuhsu mavazi😂😂.

Roho inauma dada ako anavaa kama kahaba maana dini yenu ndio inavyotaka

No Niqab in School when you are in Egypt. Hutaki, hamia Afghanistan au Iran ukavalie huko.
Screenshot_20230914-205147.png
 
What's the reason behind this?
Kama ni usalama labda maana Egypt matukio yao sio ya kawaida
Anwar Sadat mwaka 1981 aliuwawa na mjeda
Lakini kama ni sababu zingine za kisiasa basi ni kosa kuingilia
Al Sisi ni myahudi sasa sijui kutatokea nini
Duuuuh! sikuwa nalifahamu hili. Sijui ni wayahudi wangapi wamekuwa na wanaendelea kuwa maraisi katika nchi mbalimbali ukiachana na Zelensky wa Ukraine.
 
Picha inayomuonesha Mwanamke akiwa beach nchini Iran kabla ya mapinduzi ya kiislamu.

1694716810712.png
 
Mwl kujua ni mwanafunzi gani anahitaji msaada zaidi ili aelewe kile mwl anachokusudia ni kazi ngumu maana hata haoni sura ya mwanafunzi usoni kujua kama anafuatila kile kinachofundishwa ni shida Ile dhana ya facial expression mwl hawezi ona
Kuna mwanasheria alivaa niqab mahakamani
Hakim akamwambia toa niqab kwa sababu nataka kuuona mdomo wakati unaongea
Mwanasheria akamwambia unataka mdomo au sauti?
Ile kesi ikaachwa ikawa ya kwao na hakim akamuondoa lawyer kama hatavua niqab
Duuuuh! sikuwa nalifahamu hili. Sijui ni wayahudi wangapi wamekuwa na wanaendelea kuwa maraisi katika nchi mbalimbali ukiachana na Zelensky wa Ukraine.
Abdulfatah Al Sisi baba yake ni Egyptian lakini alimuoa mwanamke mmorocco mwenye asili ya uyahudi
Hapo mtoto yeyote anaezaliwa na mama myahudi automatically anakuwa myahudi kwa asili yake hata kama ana uraia wa wapi

Inasemekana ni pandikizi tangu mdogo ambapo alisomea USA na UK masuala ya jeshi
Na alipanda mpaka kuwa mkuu wa majeshi

Aliposhika wadhifa wa Rais nchi ya kwanza kusherehekea na kumpongeza ilikuwa Israel

Dunia ina mambo hii
 
Back
Top Bottom