Misri yasema haitakubali kupoteza hata mita moja ya ujazo ya maji Mto Nile, yaukataa Mkataba wa Entebbe

Misri yasema haitakubali kupoteza hata mita moja ya ujazo ya maji Mto Nile, yaukataa Mkataba wa Entebbe

Nimegundua humu ndani wengi 2000+ misri walishatuchumba mkwala kipindi lowasa akiwa wizara ya maji maji yalitolewa mwanza to shinyanga NK mkwala ulikua mkubwa Sana tuliogopa Ila lowasa hakuyumbishwa na maneno ya misri
 
6day war mmisri alikua na jeshi la anga kubwa na zuri kuliko hata anaepambana nae ila alichofanyiwa hadi leo anaogopa kuingilia gaza
Sasa ww huoni ya kuwa umbali kati ya misri na Israel na ndo uliwapa faida Israel kupiga ambush ya kushutukiza?
Vip kama Misri ingekuwa maelfu ya km Israel ingeweza kufanya hiyo ambush?

Ww nchi yako ina uwezo hata wa kufanya mission yeyote ya anga hapo S.Sudan tu achana na Misri?
 
Nimegundua humu ndani wengi 2000+ misri walishatuchumba mkwala kipindi lowasa akiwa wizara ya maji maji yalitolewa mwanza to shinyanga NK mkwala ulikua mkubwa Sana tuliogopa Ila lowasa hakuyumbishwa na maneno ya misri
Hivi unaujua mkataba mpya wa Nchi za Nile Basin?
 
Egypt ni miongoni mwa nchi 15 duniani zenye air force bora kabisa, kwa middle east anazidi nchi zote kwa air force ikiwemo Israel.

Egypt mwaka huu 2024 ni nchi ya 15 kwa nguvu za kijeshi duniani.

Egypt wana helicopter carriers , wana F16s za kutosha , Mig 29s, Rafale, alpha jets n.k na air bases zipatazo 20...

Waache wajidanganye eti mtu anakuambia Ethiopia...

Wana viwanda kuzalisha missiles, anti tank... N.k

Sio poa... Hao sio levels zetu, level za nchi kubwa za Nato.

Wakisema wanatutwanga ni mwezi tu.
Labda wanamini maneno ya wanasiasa wanao sema eti Tz ni ya sita kijeshi duniani.
 
Ninyi mnaowaogopa Misri ni Cowards, mumefanyiwa Brainwashed, Mashujaa wetu walipokutana na Wanajeshi wa Kiarabu kutoka Libya huko Uganda wakatembeza Dozi za kutosha ingelikuwa ni ninyi waoga waoga mngekimbia huku mnapiga mayowe ya MAMA! MAMA NAKUFA!
 
Sasa ww huoni ya kuwa umbali kati ya misri na Israel na ndo uliwapa faida Israel kupiga ambush ya kushutukiza?
Vip kama Misri ingekuwa maelfu ya km Israel ingeweza kufanya hiyo ambush?

Ww nchi yako ina uwezo hata wa kufanya mission yeyote ya anga hapo S.Sudan tu achana na Misri?
Hao wote wamerundikana sehemu 1.....hata bwege akifanya shambulizi la kushtukiza analamba vichwa vingi sana......hawajabadili pattern ya nchi yao tokea enzi za mafarao...
Wakati wenzao wapo jangwani na hawana mito na kilimo wanafanya na wengine hadi wana teknolojia za kupata maji fresh,,,,,....ila Mmisri alivyozoba bado analilia maji ya kwenye mto.........kila nchi hapo ina madhaifu yake ambayo adui anaweza kuyatumia vizuri tu
Screenshot_20241016-131247_Chrome.jpg

Kwanza ukitandika tu hapo kwenye mfereji wa suez tayari umetikisa uchumi kwa asilimia kubwa,,,,,bado kufanya sabotage kwenye huo mto........hata ukisema uweke sumu mto unapoanzia maji yawafikie wao unamaliza idadi kubwa tu ya watu bila hata kurusha kombora......
Na hapo kwenye maelfu ya Km shida anayo yeye misri maana ndo atakaekua anafanya offense.....ila kumbuka ukifanya offense lazima pia uwe umejiandaa na wewe kufanyiwa offense.....na upande wa anga anaoweza kuutumia labda huko kwa wasomali na kupitia Kenya ambapo bado atakutana na Kenya ambae ana beef na Alshabab......,kwahio sio kazi rahisi kihivyo
 
US haikutuma Askari kwenda kuisaidia Israel bali ilikuwa ikisaidia kwa Intelligence.

Hata Walibya waliokuja kumsaidia Iddi Amini tuliwateka kama Kuku ondoeni Hofu hawa mbona ni Wachumba tu.
Sio intel pekee hata vifaa na silaha jaribu kufuatilia.

Kagera war yenyewe mlipigana watu wakaanza kula hadi majani, njaa kali kishenzi, watu wanapata utapiamlo mkaanza kula mahindi kama panya.

Na mshukuru Angola, Botswana, Ethiopia, Madagascar, Mozambique, na Zambia walitupiga tafu, lakini hali haikuwa hali kwa sababu tpdf walikuwa ni migambo tu..

Tatizo hii nchi huwa ni kujisifu sana, hata Nyerere mwenyewe utadhani hio vita alipigana yeye peke yake pasipo msaada, na watu hawasomi vitu kwa undani.

Ugandan rebels chini ya Obote walipigana kusaidiana na Jwtz na walitoa intel zilizoksaidia sana.

Kuna waasinwengine waliitwa Save Uganda Movement (SUM) walisaidia sana hao jamaa tena sana, humo kulikuwa kuna kuna askari wa jeshi la anga la Uganda ambao walisadia pakubwa kuharibu operations za Ugandan Air Force.

Kingine conflicts za ndani kwa ndani baina ya officers wa Uganda,

Kwa sababu nchi yetu huwa ni wazee wa kujipakulia minyama utasikia tukiwatandika vibaya sana...😂😂

Hio vita sio ya kutolea mfano... Kwa wafuatiliaji waliofuatilia kwa undani usije kutoa mfano utachekwa...
 
Mto nile unaanzia ziwa victoria sasa anapiga mkwala wakati chanzo cha maji kipo kwetu?
Hizo ni dharau..
 
Sio intel pekee hata vifaa na silaha jaribu kufuatilia.

Kagera war yenyewe mlipigana watu wakaanza kula hadi majani, njaa kali kishenzi, watu wanapata utapiamlo mkaanza kula mahindi kama panya.

Na mshukuru Angola, Botswana, Ethiopia, Madagascar, Mozambique, na Zambia walitupiga tafu, lakini hali haikuwa hali kwa sababu tpdf walikuwa ni migambo tu..

Tatizo hii nchi huwa ni kujisifu sana, hata Nyerere mwenyewe utadhani hio vita alipigana yeye peke yake pasipo msaada, na watu hawasomi vitu kwa undani.

Ugandan rebels chini ya Obote walipigana kusaidiana na Jwtz na walitoa intel zilizoksaidia sana.

Kuna waasinwengine waliitwa Save Uganda Movement (SUM) walisaidia sana hao jamaa tena sana, humo kulikuwa kuna kuna askari wa jeshi la anga la Uganda ambao walisadia pakubwa kuharibu operations za Ugandan Air Force.

Kingine conflicts za ndani kwa ndani baina ya officers wa Uganda,

Kwa sababu nchi yetu huwa ni wazee wa kujipakulia minyama utasikia tukiwatandika vibaya sana...😂😂

Hio vita sio ya kutolea mfano... Kwa wafuatiliaji waliofuatilia kwa undani usije kutoa mfano utachekwa...
Watu wanakula majani ila vita umeshinda ,,,we nenda ukale kuku huku ukiwa umeshatandikwa
 
Nyamafu zao, Wanampiga Mkwara nani? Hao wanajipiga Mkwara wenyewe.
Au tukaanze kuwashughulikia waleu watu wao makasusi waishio Mwanza, Bukoba na Musoma ambao kazi yao bi kufuatilia mwenendo za shughuli zite zinaxifanyika katika mikoa inayozunguka Ziwa victoria, pia kufuatilia kina cha maji na kupeleka taarifa nchi mwao?
Kwanza hao watu nani kawapa visa ya kuingia Tanzania [emoji1241], chochote kile kilicho kwenye Aridhi ya Tanzania ni cha watanzania, mikataba ya kikoloni yote ilikufa baada ya Tanzania kupata uhuru wake 1961!!
 
Sio intel pekee hata vifaa na silaha jaribu kufuatilia.

Kagera war yenyewe mlipigana watu wakaanza kula hadi majani, njaa kali kishenzi, watu wanapata utapiamlo mkaanza kula mahindi kama panya.
Utakuwa una WIVU tu na Ushindi wetu katika Vita vya Kagera lakini hatukujiandaa kwenda kwenye Offence ile Vita ilikuwa ni kwa ajili ya kuwatoa Askari wa Amini kwenye Ardhi ya Tanzania.

Katika harakati za kuwatoa tukawaona kuwa ni wepesi tukaenda kwenye Offensive na tukaingia Uganda na kuwachakaza.

Tanzania kama Nchi hatukujipanga na Offensive ile ndio maana tuliyumba Kiuchumi.

Lakini hii ya huyu Mwarabu anayeleta UKABURU WA MAJI tutadili naye kama yule KABURU WA JO BURG.
 
Utakuwa una WIVU tu na Ushindi wetu katika Vita vya Kagera lakini hatukujiandaa kwenda kwenye Offence ile Vita ilikuwa ni kwa ajili ya kuwatoa Askari wa Amini kwenye Ardhi ya Tanzania.

Katika harakati za kuwatoa tukawaona kuwa ni wepesi tukaenda kwenye Offensive na tukaingia Uganda na kuwachakaza.

Tanzania kama Nchi hatukujipanga na Offensive ile ndio maana tuliyumba Kiuchumi.

Lakini hii ya huyu Mwarabu anayeleta UKABURU WA MAJI tutadili naye kama yule KABURU WA JO BURG.
Tena muisrael wa Afrika "Ethiopia" akiwepo....inaweza kua vita ya kihistoria kama ile ngoma ya 6 day war
 
Watu wanakula majani ila vita umeshinda ,,,we nenda ukale kuku huku ukiwa umeshatandikwa
Pasipo msaada wa hao waasi wa Obote na SUM ambao kulikuwa na askari waliotoka Air Force ya Uganda UAAF, na wakasaidia kufanya sabotage ya OPs za air force kazi ingekuwa ngumu sana.

Intel ni kitu cha msingi sana vitani.

Egypt wana satellite za kijeshi zinatoa HD imagery.
Hapo tu tayari wana intel za kutosha kuhusu sisi, wana satellite za mawasiliano pia...

Kama Uganda mlipigana watu wakatoka na utapiamlo na bado mmesaidiwa mtapigana n Egypt?😂🤣😂

Mchana mwema kiongozi...

Msiweke mahaba kila eneo, penye ukweli tuseme ukweli ili kusudi tujue wapi turekebishe, sio kujisifu wakati hali zetu taabani.
 
Tena muisrael wa Afrika "Ethiopia" akiwepo....inaweza kua vita ya kihistoria kama ile ngoma ya 6 day war
Ninachokiona sasa ni wakati mzuri kwa Nchi zetu kuongeza Bajeti za ULINZI na tuanze kutengeneza Drones nk.

Unyonge ni UJINGA.
 
Utakuwa una WIVU tu na Ushindi wetu katika Vita vya Kagera lakini hatukujiandaa kwenda kwenye Offence ile Vita ilikuwa ni kwa ajili ya kuwatoa Askari wa Amini kwenye Ardhi ya Tanzania.

Katika harakati za kuwatoa tukawaona kuwa ni wepesi tukaenda kwenye Offensive na tukaingia Uganda na kuwachakaza.

Tanzania kama Nchi hatukujipanga na Offensive ile ndio maana tuliyumba Kiuchumi.

Lakini hii ya huyu Mwarabu anayeleta UKABURU WA MAJI tutadili naye kama yule KABURU WA JO BURG.
Egypt sio level zetu, tuendelee na wizi wa kura, utekaji na siasa za kusifu na kuabudu, uchawa na nani kama mama...

Mambo ya ku compete na taifa kama Egypt hatuwezi.
 
Back
Top Bottom