Haya matatizo yetu ya ndani yanafanana sana na ya Wamisri lakini linapokuja swala muhuimu la Maji tusibweteke tuseme NO!Egypt sio level zetu, tuendelee na wizi wa kura, utekaji na siasa za kusifu na kuabudu, uchawa na nani kama mama...
Mambo ya ku compete na taifa kama Egypt hatuwezi.
Ndo maana nakwambia kila mtu ana wana wa kuwapa msaada......hapo misri kwenyewe huyo rais wanataka kukinukisha kwahio akilianzisha asifikirie sana kuna mwanajeshi ataenda huko kwake anapigwa sabotage hata kutumia wananchi wake tu..........huyo kashikilia makali ya upanga wakati waliokaa sehemu ambapo huo mto unaanzia wameshikilia kwenye "handle"Pasipo msaada wa hao waasi wa Obote na SUM ambao kulikuwa na askari waliotoka Air Force ya Uganda UAAF, na wakasaidia kufanya sabotage ya OPs za air force kazi ingekuwa ngumu sana.
Intel ni kitu cha msingi sana vitani.
Egypt wana satellite za kijeshi zinatoa HD imagery.
Hapo tu tayari wana intel za kutosha kuhusu sisi, wana satellite za mawasiliano pia...
Kama Uganda mlipigana watu wakatoka na utapiamlo na bado mmesaidiwa mtapigana n Egypt?😂🤣😂
Mchana mwema kiongozi...
Msiweke mahaba kila eneo, penye ukweli tuseme ukweli ili kusudi tujue wapi turekebishe, sio kujisifu wakati hali zetu taabani.
Alichokua nacho kuna wana wana zaidi ya hivyo alivyokua navyo......huyo hata huitaji silaha kali sana ....pitisha tu drone za chini ya maji ziende kumwaga sumu kwenye huo mto upande wake kazi kwishaPasipo msaada wa hao waasi wa Obote na SUM ambao kulikuwa na askari waliotoka Air Force ya Uganda UAAF, na wakasaidia kufanya sabotage ya OPs za air force kazi ingekuwa ngumu sana.
Intel ni kitu cha msingi sana vitani.
Egypt wana satellite za kijeshi zinatoa HD imagery.
Hapo tu tayari wana intel za kutosha kuhusu sisi, wana satellite za mawasiliano pia...
Kama Uganda mlipigana watu wakatoka na utapiamlo na bado mmesaidiwa mtapigana n Egypt?😂🤣😂
Mchana mwema kiongozi...
Msiweke mahaba kila eneo, penye ukweli tuseme ukweli ili kusudi tujue wapi turekebishe, sio kujisifu wakati hali zetu taabani.
Jeshi mbona upgrade zimeshaanzaNinachokiona sasa ni wakati mzuri kwa Nchi zetu kuongeza Bajeti za ULINZI na tuanze kutengeneza Drones nk.
Unyonge ni UJINGA.
Na haswa Air Defences liwe swala la Jumuiya ya EAC na SADC kuweka MWAMVULI wa Anga ya Jumuiya.Jeshi mbona upgrade zimeshaanza
Huo ni uhalifu wa kivita, na jumuiya za umoja wa kimataifa watagundua.Alichokua nacho kuna wana wana zaidi ya hivyo alivyokua navyo......huyo hata huitaji silaha kali sana ....pitisha tu drone za chini ya maji ziende kumwaga sumu kwenye huo mto upande wake kazi kwisha
Hawezi hata siku mmoja kujaribuEgypt inaona hizi nchi za ukanda huu wa EA kama pimbi tu.
Ndipo tutambue tunadharaulika mno, Egypt inaweza kutwanga hii EA yote.
Hata hilo watakalo fanya ni uhalifu pia......vita ni vita mraaaaa....huoni huko Netanyahu anatandika kwa njia yeyotu tu ile.....hizo kesi tutakuja kusikilizana baada ya kichapo kuisha ..........unapigwa sabotage anza kwanza kupata ushahidi kwamba mie ndo nimefanya hivyo.....kipindi hiko unafanya uchunguzi sijui unakula nyasi au kuku utajua mwenyewe kikubwa mission accomplished........uhalifu wa kivita watu washaanza kutumia biological weapons.......hii ni phase nyingine, kwa sasa mtu akija kichwa kichwa lazima apasuke tu kwa namna yeyoteHuo ni uhalifu wa kivita, na jumuiya za umoja wa kimataifa watagundua.
Hio si hatua ya kuchukua na kumbuka kwa kufanya hovyo pia madhara yatakuja hadi tulipo pia, ni sawa na kusema uweke sumu upande wa mbuga za wanyama Kenya tunazoshare nazo mipaka na mbuga zetu kwa kujua tunawakomoa hali ya kuwa wanyama wanahama huku na huku...
Utaua viumbe vingi majini, na kuua watumiaji wengine wa huo mto kabla ya Egypt...
Sio wazo zuri.
Kwanini hawezi?Hawezi hata siku mmoja kujaribu
EAC hapo mkenya lazima atazingua....hapa bora kukomaa na mganda na Rwanda,,,,Kenya haelewekiNa haswa Air Defences liwe swala la Jumuiya ya EAC na SADC kuweka MWAMVULI wa Anga ya Jumuiya.
Mkiingia vita ya silaha za kibalojia na nyie mtapigwa nazo tu.Hata hilo watakalo fanya ni uhalifu pia......vita ni vita mraaaaa....huoni huko Netanyahu anatandika kwa njia yeyotu tu ile.....hizo kesi tutakuja kusikilizana baada ya kichapo kuisha ..........unapigwa sabotage anza kwanza kupata ushahidi kwamba mie ndo nimefanya hivyo.....kipindi hiko unafanya uchunguzi sijui unakula nyasi au kuku utajua mwenyewe kikubwa mission accomplished........uhalifu wa kivita watu washaanza kutumia biological weapons.......hii ni phase nyingine, kwa sasa mtu akija kichwa kichwa lazima apasuke tu kwa namna yeyote
Madhara yanakujaje kwetu?? Hio sio bahari huo ni mto na mto haupigi reverse ....maji yanaanzia ziwa Victoria na huko Ethiopia.....misri ni bondeni maji hayawezi kupandisha bonde.....hapo hata ukienda kuutibua huo mto kwa waarabu wenzao wasudan sumu itaendelea mpaka huko alexandria haiwezi kurudi sehem qmbapo mto umeanzia......ingekua hio ni bahari hapo pangekua na shida .Huo ni uhalifu wa kivita, na jumuiya za umoja wa kimataifa watagundua.
Hio si hatua ya kuchukua na kumbuka kwa kufanya hovyo pia madhara yatakuja hadi tulipo pia, ni sawa na kusema uweke sumu upande wa mbuga za wanyama Kenya tunazoshare nazo mipaka na mbuga zetu kwa kujua tunawakomoa hali ya kuwa wanyama wanahama huku na huku...
Utaua viumbe vingi majini, na kuua watumiaji wengine wa huo mto kabla ya Egypt...
Sio wazo zuri.
Silaha za kibaiologia zimeshaanza kutumika tokea huko Ukraine.....au hujui mambo ya hunter bidden.............sasa aje apige nchi 6 ambazo wananchi wake wamepatakaa nchi nzima,,,,huku yeye akipigwa shambulizi 1 tu kazi kwisha maana wananchi wake wote wapo eneo 1......huohuo mto unawaangamizaMkiingia vita ya silaha za kibalojia na nyie mtapigwa nazo tu.
Kama mpo tayari sawa, lakini si wazo zuri ni mara kumi muache watumie mto huku mkijipanga kiuchumi, kielimu na kijeshi ili kusudi baadae mrudi kuchukua kilicho chenu.
Kwa huu unyonge hata vita ya silaha za kibaiolojia tutashindwa, sisi bado sana...
Hapo ndipo kufunguliwa mashtaka na mashirika ya haki za kibinadamu na pia kuwekewa vikwazo na umoja wa mataifa.
Kwa umasikini wa nchi zetu achana na hayo mawazo. Tutakufa kama wanyama pori.
Haha sema wewe mnyonge usitake kusambaza sumu yako ya unyonge kwa wengine,,,,,,wewe kaa chini anza kujisemea kua wewe na uzao wako ni wanyonge halafu kaa utulieMkiingia vita ya silaha za kibalojia na nyie mtapigwa nazo tu.
Kama mpo tayari sawa, lakini si wazo zuri ni mara kumi muache watumie mto huku mkijipanga kiuchumi, kielimu na kijeshi ili kusudi baadae mrudi kuchukua kilicho chenu.
Kwa huu unyonge hata vita ya silaha za kibaiolojia tutashindwa, sisi bado sana...
Hapo ndipo kufunguliwa mashtaka na mashirika ya haki za kibinadamu na pia kuwekewa vikwazo na umoja wa mataifa.
Kwa umasikini wa nchi zetu achana na hayo mawazo. Tutakufa kama wanyama pori.
Hiko kidude kukiendesha kina mifumo yake ya kuiongoza either gps, Galileo n.k hivyo kitaacha footprint na wazee wa kazi wakianza uchunguzi wao mtakamatwa tu...Madhara yanakujaje kwetu?? Hio sio bahari huo ni mto na mto haupigi reverse ....maji yanaanzia ziwa Victoria na huko Ethiopia.....misri ni bondeni maji hayawezi kupandisha bonde.....hapo hata ukienda kuutibua huo mto kwa waarabu wenzao wasudan sumu itaendelea mpaka huko alexandria haiwezi kurudi sehem qmbapo mto umeanzia......ingekua hio ni bahari hapo pangekua na shida .
...haka kadude hata vi 2 tu vinatosha kuleta maafa.....sijui hata kama kuna radar ya kushtukia hiloView attachment 3126687
Fuatilia Yom kippur War (October War) Misri alibattle jino kwa jino against Israeli na shoga yake matokeo yake Misri akarejeshewa Sinai Peninsula , Moshe Dayan Goda Meir na viongozi wengine wakubwa Israel walijiuzulu baada ya vita hiyo na wiki ya kwanza tu ya vita walishavuka Suez Canal ,Wakabomoa ngome ya Israel wakaua na kuteka askari wengi sanaWewe ndio umrleta Story ya vyoo vyetu vya matundu India imepigana Vita na jirani yake na ikaonyesha uwezo katika Battlefield.
Misri na Nchi za Waarabu wenzake zilishindwa vibaya sana na Israel ni Vita gani Misri iliwahi kushinda?!
Sisi Tanzania tulishinda Vita vya Uganda na kuteka Askari wengi wa Kiarabu kutoka Libya.
Elimu bado wakati kuna msaada wa mrusi na mchina........halafu unapigana na misri una mhype kama vile ni taifa lenye historia ya maana kivita,, hata kwa sasa tu anaufyata mkia zaidi tu ataendeleza taarabu labda na kuwapa wasomali silaha baas,,, hawezi kupiga direct maana anajua atakachoweza kufanyiwa.......Arab spring tu iliwatoa kamasi ,,,kwa sasa wataletewa Arab winterHiko kidude kukiendesha kina mifumo yake ya kuiongoza either gps, Galileo n.k hivyo kitaacha footprint na wazee wa kazi wakianza uchunguzi wao mtakamatwa tu...
Hizo elimu kwetu bado, ndio kama unaona wanapeleka roboti Eunice bungeni, roboti kama mdoli.
Hivyo vifaa ndani kuna electronics devices au semiconductors ambazo hao mabeberu wanaweza kufahamu hiko kidude kipo mahala gani...
Kingine sumu ya kutosha kuenea mto si kitu kidogo plus mito na maziwa ina mifumo yale ya kujisafisha dhidi ya taka kama hizo...
Hapo si vidude viwili kama usemavyo...