imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Kenya ni Nchi inayojielewa sana kwa sasa.EAC hapo mkenya lazima atazingua....hapa bora kukomaa na mganda na Rwanda,,,,Kenya haeleweki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kenya ni Nchi inayojielewa sana kwa sasa.EAC hapo mkenya lazima atazingua....hapa bora kukomaa na mganda na Rwanda,,,,Kenya haeleweki
Rais wa Misri Generali Abdel Al Sisi amesema swala la kulinda maji ya mto Nile ni jambo la uhai wa Taifa la Misri na kwamba wao hawataruhusu tone hata Moja Kupunguzwa kwenye mto Nile.
Alikuwa akizungumza mara baada ya Makubaliano ya Nchi Wanachama wa Bonde la Mto Nile kutoa saini ushirikiano Mpya wa usimamizi na matumizi ya maji ya Mto Nile Maarufu kama Entebe Agreement ambao uliasisiwa na Ethiopia na kutiwa saini na Nchi 6 ikiwemo Tanzania.
Egypt pamoja na Nchi zingine za downstream wameupinga mkataba huo wakidai una makosa hivyo Nchi zirusi mezani kwenye majadiliano.
My Take: Makubaliano ya kikoloni yaliyowapa Haki Egypt na Sudan hayana nafasi tena ,watake au wasitake maji tutatumia na hawana Cha kutufanya ila sio Kwa malengo ya kuwaumiza.
Kenya amekataa kusaini makubaliano Kwa Ajili ni kibaraka wa Wazungu
View: https://youtu.be/lTfbnjDqwI8?si=I7T7jRS8OgnxloFD
Pia soma Egypt imepinga vikali makubaliano ya usimamizi wa Mto Nile
Soma zaidi hapa Tume ya Ushirikiano wa Bonde la Mto Nile kuzinduliwa. Egypt inapinga ikidai haki zake za kikoloni zimekiukwa
==============
This agreement outlines the principles, rights, and obligations related to the management and development of the Nile Basin.
The Turkish media reported on Monday, October 14, that the Nile Basin Cooperative Framework Agreement (CFA) officially came into force on Sunday, October 13.
Egypt and Sudan have so far rejected the agreement while the CFA has been signed by upstream countries, including Ethiopia, Rwanda, South Sudan, Uganda, Tanzania, and the Democratic Republic of Congo.
Egyptian Irrigation Minister Hani Sewilam called on Nile Basin countries to reevaluate water agreements during a water event in Cairo on Monday, October 14.
“We call on the Nile Basin countries that signed the Entebbe Agreement to review their position and return once again to discuss cooperation between countries in a way that does not harm any of the riparian countries,” Irrigation Minister Hani Sewilam said at a water event in Cairo.
“Egypt’s position is fair and consistent with international river agreements enforced internationally,” he added.
The Egyptian minister stressed that the discussions “must include all countries and don’t exclude the interests of one country over another.”
Sewilam said Egypt’s water supply does not suffice the country’s needs. “Egypt will not concede even a single cubic metre of Nile water and firmly rejects the Entebbe Agreement in its current form,” he stressed.
Egyptian President Abdel Fattah Al-Sisi said early yesterday that preserving Egypt’s water resources is an “existential issue”.
“The Nile River is the primary source of water for Egypt, accounting for over 98%” of its water supply, he added.
The CFA represents the first multilateral effort by the Nile Basin states to create a legal and institutional framework to govern the use and management of the river.
The Nile River has been a source of tension, especially between Egypt and Ethiopia, as the latter began construction of the Grand Ethiopian Renaissance Dam (GERD) on the Blue Nile, a major tributary of the Nile River.
Ethiopia views the dam as essential for its economic development and insists it poses no threat to downstream water supplies.
Egypt views the GERD as an existential threat to its water share from the Nile and demands a binding agreement on the dam’s filling and operation.
View: https://youtu.be/9R0JbWf5QKs?si=4D57BUIoS4tsSIji
Mchina hawezi kupa msaada wa bure, Russia pia.Elimu bado wakati kuna msaada wa mrusi na mchina........halafu unapigana na misri una mhype kama vile ni taifa lenye historia ya maana kivita,, hata kwa sasa tu anaufyata mkia zaidi tu ataendeleza taarabu labda na kuwapa wasomali silaha baas,,, hawezi kupiga direct maana anajua atakachoweza kufanyiwa.......Arab spring tu iliwatoa kamasi ,,,kwa sasa wataletewa Arab winter
Mbona Ukraine kavamiwa na nchi yenye uhuru wake na uchaguzi wa kujiunga NATO ama la...Chanzo cha maji kianzie kwangu, unipangie namna ya kutumia hayo maji!! Imekaaje, ni kuniomba nikuachie kidogo sio kunilazimisha.
Israel ilishtukizwa lakini ikatoa Dozi kwa Egypt na Mashoga zake wa Kiarabu ndio Anwar Saddat kwenda ghafla Tel Aviv kwenda kuomba Amani ndio kurejeshewa Sinai.Fuatilia Yom kippur War (October War) Misri alibattle jino kwa jino against Israeli na shoga yake matokeo yake Misri akarejeshewa Sinai
Basi na Misri imekataaTunaibadilisha mbona? Malawi anadai Ziwa Nyasa/Malawi ni lake lakini tumekataa nk nk
Kakojoe ulale.....anza tu hapo nani wajamaa kati ya Ethiopia, Tanzania dhidi ya Misri....Misri anajulikana mapema ni kibaraka wa mabepari hata huyo rais wao ni kibaraka wao na ndo maana hata nchini kwake ana force kutawala.....huyo mchina na mrusi wanaweza kusapoti zaidi huyo rais wa Misri kutolewa kuliko kubaki hapo.......na kijeshi mchina ni mshirika mkubwa wa Ethiopia na Tanzania kuliko mmisri......hao wenyewe unaosema wanajua nao hivyo vitu hawajatengeneza wao ,wamenunua na wamefundishwa,,,,,kusoma itakua ngumu labda kwa uzao wako ambao mmeshaanza kujiona vilaza mapema mbele ya ngozi nyeupeMchina hawezi kupa msaada wa bure, Russia pia.
Russia na China wenyewe watakuwa radhi kusaidiana na Egypt kuliko sisi.
Hao wote ni wasomi kutuzidi na pia Egypt anachimba mafuta.
Russia itaiheshimu Egypt kuliko sisi, kwanza China na Egypt waisikilize Tanzania kuliko Egypt kwa kipi tulichonacho kuizidi Egypt?
Bado sana sisi... Ukweli mchungu..
Kwahio Misri ni sawa na hao?? Hata maji tu teknolojia inawashinda?? Endeleeni wenyewe na woga wenu wa waarabu.....hao hata ukiwapa bomu la nuclear, kivita ni 0 wanachoweza ni ugaidi tu baasMbona Ukraine kavamiwa na nchi yenye uhuru wake na uchaguzi wa kujiunga NATO ama la...
Lakini wamevamiwa na mkubwa Russia na sasa wana adhibiwa vikali kwa kutosikiliza ya mkuu...
Na sisi tukileta kiburi kipigo kinatuhusu ni bora tukubali hata kama tupo kwenye haki.
Ikikataa ndio itamsaidia nini wakati sisi tunaendelea na mipango yetu ya matumizi ya maji?Basi na Misri imekataa
I wish Lowasa angepewa full power enzi zakeHuo mkwara anaupiga Tanzania Uganda na Kenya mbona Ethiopia amepunguza kwa 20% hayo maji hajaleta vita.
Nile na victoria ni vya muungereza?Uingereza
Kwani Russia na China walifanya nini kumsaidia Libya dhidi ya kipigo cha NATO.Kakojoe ulale.....anza tu hapo nani wajamaa kati ya Ethiopia, Tanzania dhidi ya Misri....Misri anajulikana mapema ni kibaraka wa mabepari hata huyo rais wao ni kibaraka wao na ndo maana hata nchini kwake ana force kutawala.....huyo mchina na mrusi wanaweza kusapoti zaidi huyo rais wa Misri kutolewa kuliko kubaki hapo.......na kijeshi mchina ni mshirika mkubwa wa Ethiopia na Tanzania kuliko mmisri......hao wenyewe unaosema wanajua nao hivyo vitu hawajatengeneza wao ,wamenunua na wamefundishwa,,,,,kusoma itakua ngumu labda kwa uzao wako ambao mmeshaanza kujiona vilaza mapema mbele ya ngozi nyeupe
Hawakuwa na Maslahi na Libya.Kwani Russia na China walifanya nini kumsaidia Libya dhidi ya kipigo cha NATO.
Hii dunia inakwenda kimaslahi, we ulishamuona Putin Tanzania?😂
Au mlimkaribisha Obama mwaka ule mkafagia barabara na kufukuza machinga...
Putin alifika Egypt 2017 na wakasaini mkataba na Egypt kwamba atawasaidia kujenga kinu cha nuclear kiliitwa El Dabaa ambapo watatumia kuzalisha umeme.
Sasa wana kinu cha nuclear ambacho ni power plant wanazalisha umeme...
Nyie mmefikia level hizo?
Na unaambiwa hiko kinu kwa Africa ndicho cha kisasa zaidi wanasema Generation III plus.
Ndio maana nakuambia nyie endleeni kula ugali na mlenda pembeni pilipili ya mwendo kasi.
Nangoja wale wavunja tofali kwa vichwa wakalete ngebe wachapwe ili ku restore settings😁Mtapigwa muanze kuomba msaada...
Egypt ni super power kikanda kwa huku Africa...
Lazima tumsikilize mkubwa, we si unaona wenzako Ukraine wanapata dhahama..
Watu wana image za kizazi cha babu zetu ambao ndio walikuwa real soldiers na kutaka kujifananisha na hawa waliokuzwa na lactogen na celelac 😁!Mtapigwa muanze kuomba msaada...
Egypt ni super power kikanda kwa huku Africa...
Lazima tumsikilize mkubwa, we si unaona wenzako Ukraine wanapata dhahama..
Haya ni mawazo ya mtu ambaye ni mtaji wa Samia kuendelea kuwepo madarakani.Haya mambo achana nayo, huna uwezo wa kuyajadili.
Umeongea point, hilo battle hatuwezi, kwanza uzalendo umekwisha, vijana wengi hawaamini viongozi wao, wanaichukia nchi yao.Watu wana image za kizazi cha babu zetu ambao ndio walikuwa real soldiers na kutaka kujifananisha na hawa waliokuzwa na lactogen na celelac 😁!
Tutaaibishwa kama jinsi ambavyo role model wetu alidhani jeshi ni lile lile la stallin kumbe vijana waliopo ni mtori mtori wajukuu waliokuzwa na weetabix ambao babu zao ndo walifanya kazi na stallin! Matokeo yake walichinjwa bila huruma maana ni weupe sana hadi akaomba jeshi la waasi liingie mzigoni.