Miss chagga bring back my hazbendi

Miss chagga bring back my hazbendi

Last edited by a moderator:
Pliz miss chagga najua mume wangu Ntuzu yupo kwako. Unaona raha gani kukaa na mume wa mtu huku mi mkewe nateseka peke yangu? Mwanangu romantic eyes karibia chuo kinafunguliwa baba haonekani.....sijui hata kwa kupata nauli. Nitumieni bas hata kwa Tigo-pesa aisee...
Au ngoja nimwambie First Born aokoe jahazi manake aibu hii

Jamani mom pole...siku zote nakuuliza dady yuko wapi hunambii ukweli kumbe katekwa na mwanamke.. miss chaga emu mwambie baba arudi nyumbani mambo gani hayo unafanya....
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
First Born baba mkwe atakufa nikimwacha Ntuzu njoo useme kama hutazikwa mapema.... Khantwe mkewe ni shida mwanamke anamaneno ya kubomoa tu hajui kubembeleza

Wee baba'ngu Ntuzu popote ulipofichwa njoo...unaniabisha binti yako umefanya nini baba ni mengi ulikuwa ukinambia umekwazika nini hadi ukimbie nyumbani kuna nini ambacho umeshindwa kunambia jamani..
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom