Miss chagga bring back my hazbendi

Miss chagga bring back my hazbendi

Mkuu hahahahaha!!! Huu ukimbaumbau ndio mpenzi wangu Kasinde kauzimikia ujue!!!!! Hahahahahaaa!!!
Hasara ni moja tu... hata uwe na shekeni bado unaonekana huna, mbahili na asiyeridhika.. Wakati kwa wenzetu ukiwa hivyo wanakuletea business proposal tu....
Kasinde mpnz wangu hebu njoo basi fasta hapa nkwambie kitu kabla Khantwe na Tized kimbaumbau haja!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hahahahaha!!! Huu ukimbaumbau ndio mpenzi wangu Kasinde kauzimikia ujue!!!!! Hahahahahaaa!!!
Hasara ni moja tu... hata uwe na shekeni bado unaonekana huna, mbahili na asiyeridhika.. Wakati kwa wenzetu ukiwa hivyo wanakuletea business proposal tu....

luv that.................
 
ni kweli hata we ukitaka pesa yako tu

funny-ghost-says-no-smiley-emoticon.gif
 
Ndugu yangu Tyta naona sasa unataka nipachimbe apa!!! Yaani kila nikuvumbua madini unaibuka.... sijasau ya Eshy m.s bado ujue!!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom