Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 7,005
Ni Hivi wakati napendekeza hata sikujihoji manake nilikua nawahi mahala. Kwa kweli sisi maMrs hapana kwanza sisi wengine umri umeenda sana kwenda kupita mbele na vile vivazi . Mwaya haitufai hii naona nilikosea, sasa Lady doctor sorry nilikua sijausoma uzi vizuri kumbe wanahitajika maMiss wewe ukanichomekea khaaaaa.
my dia hata mi ni Mrs lakini tunaruhusiwa atii ila mie nimesema vile vivazi vya mabinti sitovaa nitavaa dela, baibui, kitenge, skirt charanga, shati la kwaya,...... Mmmmh nahisi kupata boooooooo jukwaani loooh!!
Last edited by a moderator: