Teh kumbe wazee hatutakiwi kushiriki kasie? Basi me na wewe tujitolee tu kuburudisha live na ekotite siku ya fainali
Bora hapo kura yangu imesha haribika maana badala ya Kasinde umepiga kwa kaside.
Kura yako imeendakwa Heaven Sent.
Bibi yako niko busy na swimming utasema kambale. Haya shindano jema, akipatikana mshindi utaniambia nije kump pongezi.
Sasa na mimi si mzee au?Hahahahaa jina lako halikutajwa katika list ya wasiotakiwa kushiriki, hivo wewe ni mshiriki na ushapigiwa kura na sumbai
Subiri matokeo.
Mmmmmmmmh.....
Akat kura yangu ipo kwakoo....
Kigezo ni kuwa ke.....he he age sioo....
Wengine tunapenda wazeeee.....
Sasa why are you swim wthout calling me...mumy..
Kura yangu ni kwako.... my mumy
Wewee Yerooo weewee............ Subhaiii............. upooooo
Hujamsoma kiwatengu hapo juu? Mie sitakiwi kushiriki ..........
Waliowahi kushiriki wasishiriki tena!
CC; Khantwe, Honey Faith, atoto, 'Valentina' miss chagga, cute b, Kasinde, janeth1....
Hivyo kura yako mpe Heaven Sent 100%
Halafu shindano ni la ma miss........... Kasie ni bibi bin ajuza sasa wewe ukinipigia kura halafu kura yako ikawa moja tuu halafu nikashinda nikitokea pale jukwaani na kupewa zawadi si ntatupiwa chupa na mashabiki.......!!! maana ni kizee kweli kweli japo babo nakomaa kuukeea uzee looh
Shem mwaka 2016... usiwaze pesa...
Shem ni hizi shughuli za mwisho wa mwaka.....daah si unajua sisi wauza viwaro ndio muda wa kazi huu...
Aah kumbe unamwaga chini, basi ngoja tutakuja na atoto
Hahaha atoto boss wewe, hana longo longo eti. Ntakuja pia na my kaka na my daddy
Hhahaahaaa weeweee suubhaaiii weeweeeee........................
Ule mkwara-lisation uliopewa na wazee (Lions) wa MMU hujakoma bado eeehh
Shauri yako utakatwa mitama barabarani humo hayaa, usijesema sijakwambia wakati taarifa unayo.
cc: Watu8 :A S wink:
Niko na Lions of MMU still you dare to come while am swimming..............!!!?
If so kesho uwepo Azura time sikwambii hivo muda utakao otea utanipata la ukiweza shinda hapo ila litakalokupata usinilaumu that's at your own risk looh hehehee
Unaharibu kura yako sasa wewe shiipiiii, mie nimo kwenye list ya walioshiriki last time hivo sitakiwi kushiriki kwenye shindano hili.
Sasa shem nisipowaza hela nitakula mawe?
Mambo ya sagura sagura hayo, kitu nikikipiga pasi kama kimetoka botiki, chezea.
Tena kwa bei hiyo hata sikopi, ila ingeanzia elfu5 mkopo ungemuhusu, bahati yake.
Teh afu usiombe uulizwe hela ya kiwalo, bila haya unatajaje kubwaMambo ya sagura sagura hayo, kitu nikikipiga pasi kama kimetoka botiki, chezea.
Tena kwa bei hiyo hata sikopi, ila ingeanzia elfu5 mkopo ungemuhusu, bahati yake.
Hahaha unamfukuza mteja wewe
Hahaha unamfukuza mteja wewe
atoto atakukopa tu na hutolipwa mileleI hope still price is relative affordable kwa bepari...
Maana najua kuna mtu atakamuliwa 100,000tsh