Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Nitakatwa kabla shindano halijaanza ngoja niwaachie wenye sifa zaocompete bana!! you can win....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitakatwa kabla shindano halijaanza ngoja niwaachie wenye sifa zaocompete bana!! you can win....
Ongeza avatar za maua mpaka njaa... Hahaha...Hakuna kuonana
Hahaha Ass so fat tell b*tches am their leader cos it's finally famous & finally saw. Shout wow! Wow!!Kwa heshima kubwa!
Ninaomba shindano la kumsaka miss Jamiiforums lirejee katika mtiririko wake!Sheria ziwekwe wazi, mambo yawe wazi! Wadhamini wawe wazi na mwisho wa siku washindi wapewe zawadi zao stahiki.
Vigezo na Masharti vikizingatiwa naamini hakuna kitakachoharibika na kama ni utaratibu wa wadhamini, wasubmit sehemu ya udhamini wao kwa Moderator kabla ya shindano kuanza utaratibu wa Poll uweke kwa wale watakaopata mapendekezo mengi zaidi.
Hili shindano lina ladha yake! Let bring it back.
CC: Arushaone,
Waliowahi kushiriki wasishiriki tena!
Hawa hapa chini napendekeza washiriki, kwa sababu hawajawahi kushiriki.
CC; Khantwe, Honey Faith, atoto, 'Valentina' miss chagga, cute b, Kasinde, janeth1....
Nawategemea kwenye huu mchakato.
Na wadada wengine wote!
Ha ha ha utakula nyukiOngeza avatar za maua mpaka njaa... Hahaha...
Hahaha shoga weweHa ha ha utakula nyuki
Sijui.karibu sana zamani tulikuita nani kwani?
Kazi ipoHahaha shoga wewe
Nitakatwa kabla shindano halijaanza ngoja niwaachie wenye sifa zao
karibu sana zamani tulikuita nani kwani?
Miss u too daughter.. I hope uko poaShkamoo mimy....miss you saana...
We acha uoga bana,mi pamoja na uzee wangu huu na umbo langu kama kabati nitashiriki tuUjue mambo mengine bwana magumu sana....ukiangalia vigezo ambavyo huwa vinatumika kwenye hili zoezi then ukajiangalia na ulivyo mwenyewe,licha ya kwamba hawakuoni na vigezo husika haviangaliwi.....unajikuta unaona aibu kidogo kushiriki
Hahahaa kama una ujasiri kushiriki pamoja na sura ya baba yako nakutakia kila la kheri mamaWe acha uoga bana,mi pamoja na uzee wangu huu na umbo langu kama kabati nitashiriki tu
Kwani we hauna ujasiri huo?Hahahaa kama una ujasiri kushiriki pamoja na sura ya baba yako nakutakia kila la kheri mama
Hii avatar yako dah!Sijui.
Mi sina aiseeKwani we hauna ujasiri huo?
We usiogope tutahonga hata majaji banaMi sina aisee