Resurrection
JF-Expert Member
- Jun 8, 2020
- 952
- 1,267
hujapiga picha eeeh au hujiaminipicha tena duh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hujapiga picha eeeh au hujiaminipicha tena duh
WoyooooKura yangu ya ndio itakuwa kwako ...
Shemkweee....long time kitambo...
Mkuu mkuu...unakumbuka ile miparangano ya kusaka kura?
Aiseee!Shemkweee....
Na mimi hii notification imenikuta online!!Aiseee!
Kama ni kipofu basi leo kaona mwezi, nimefurahi sana ona hii comment yako shemkweee!
Long time no see .....!!!!
Miss you a lot shemkweee!!! mihangaiko ya maisha imetufanya tupotezane atiiiNa mimi hii notification imenikuta online!!
...jambo hili lilitokea mara ya mwisho miaka kama 7-6 iliyopita
Nimekumiss...ni muda sana
Sio pesa tu,mtu hata akijisikia kukuzawadia ATM card yake iruhusiwenipo pamoja nawe... zawadi za pesa ziwepo lakini
WhatsApp bana...imepoteza watu chitchat 😂(Jokes)Miss you a lot shemkweee!!! mihangaiko ya maisha imetufanya tupotezane atiii
Hahaha...ngoja shemkwe nami nifanye mchakato wakuja huko watu wanapoteleaWhatsApp bana...imepoteza watu chitchat [emoji23](Jokes)
Ni kweli Shemkwe...watu tunakimbizana na maisha,kikubwa uhai na kazi ziendelee
Heheheee...sijamaanisha hivyo shemkwe 🏃🏽♀️Hahaha...ngoja shemkwe nami nifanye mchakato wakuja huko watu wanapotelea
Hahahah...sawa shemkwe!!!Heheheee...sijamaanisha hivyo shemkwe [emoji2094]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwakweli sisi tukishiriki shindano linakuwa invalid, inabidi tu tuwe watazamaji, unless ni shindano la bibi bomba
Shindano la mwisho ulikuwa na Lady doctorKitambo sana....
Kukaguliwa na magonjwa kama mwenda zake au unamaanisha nini?Ulishakaguliwa?