Tanzania muwepo!!!!??? kwa lugha ipi ya mawasiliano? au zile verse wanazo kariri hapo bongo ukiwabadilishia swali wanabaki !!you know!!!!!you know!!!!!you know!!!Miss Mexico Venessa Ponce yatwaa taji la Miss World 2018, huku Miss Uganda akitwaa taji la Miss World Africa.View attachment 960872
Mashindano ya Miss World yamemalizika huko China kwa mrembo kutoka nchini, Mexico Venessa Ponce De Leon kutwaa taji la Miss World 2018.View attachment 960868
Top 5 continental winners ni Mexico – Americas Thailand – Asia/Occenia Uganda – Africa Jamaica – Caribbean Belarus – Europrle View attachment 960873>>TANZANIA HATUPO
Na aliyemshonea hili gauni Miss wetu haendi mbinguni [emoji852][emoji852]View attachment 960958
[emoji32][emoji32][emoji23]Na aliyemshonea hili gauni Miss wetu haendi mbinguni [emoji852][emoji852]View attachment 960958
Mimi nimelifatilia Hilo shindano kingereza sio kigezo as long as unaongea ueleweke no problem maana kule hawatafti linguistic au mwingireza. Ingekuwa hivo Uingereza ingeshinda daily. Hafu kura nayo sio kivile lilian kamazima alipigiwaga kura na hakufika mbali. Miss Uganda bahati na challenge aliyoshinda na kwa Africa lazima angeingia tu though kawa number nne. Hafu Nancy naye kilicho msaidiaga alikuwa anajituma sana kwenye hizo challenge ndo iliyo mu boost mpaka top five
Na aliyemshonea hili gauni Miss wetu haendi mbinguni [emoji852][emoji852]View attachment 960958
Hivi kwanini huwa hawamtumii Nancy jamani akawapa vi tip 2 au 3 kuhusiana na hayo mashindano???Mimi nimelifatilia Hilo shindano kingereza sio kigezo as long as unaongea ueleweke no problem maana kule hawatafti linguistic au mwingireza. Ingekuwa hivo Uingereza ingeshinda daily. Hafu kura nayo sio kivile lilian kamazima alipigiwaga kura na hakufika mbali. Miss Uganda bahati na challenge aliyoshinda na kwa Africa lazima angeingia tu though kawa number nne. Hafu Nancy naye kilicho msaidiaga alikuwa anajituma sana kwenye hizo challenge ndo iliyo mu boost mpaka top five
Kuna watu watasema blacks wamefanyiwa figisu
[emoji1][emoji1][emoji1] jamani. Ndo yale yale ya kupewa tuzo backstage.
Ushahawi sikia Miss World anatoka Afrika?
Wenzetu ukitaja Afrika, hawahesabihi kama ni duniani..
Sisi tunashiriki tu washindani ni wao...ndio maana imeaandaliwa kipengele cha miss world Africa ili kunyamazisha midomo.
Ushahawi sikia Miss World anatoka Afrika?
Wenzetu ukitaja Afrika, hawahesabihi kama ni duniani..
Sisi tunashiriki tu washindani ni wao...ndio maana imeaandaliwa kipengele cha miss world Africa ili kunyamazisha midomo.
Wajipange wawe wanamshirikisha hata katika maamuzi ya umiss maana ye ndo alitutoa kimasomaso.Pesa pesa kumvuta nancy inahitaji hela hakunaga cha bure duniani
Mhh labda utakuwa umechanganya na Miss Lagos.Miss nigeria mmoja ashawahi kuwa Miss world
Ameshinda Mwaka gani?Agbani Darego, MFR[4] (born Agbani Asenite Darego,[5][6][7] 22 December 1982) is a Nigerian model and beauty queen, best known as the first native African to win Miss World. Source Wikipedia