- Nov 14, 2010
- 2,114
- 1,380
Lovely legs
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yah nipo mbali nae si unajua mambo yakutafutia watoto chakula?Umemmiss tena!!!
Sinaga historia ya kumpindua mtu bali yeye ndio alijipendekeza akaangukia pua....
aisee wewe jamaa. hukosi kabisa kwenye mambo hayo najua umeidownload hii clipCc Asprin
Swahiba niletee hili file ofisini haraka.
Haha... umepotea ndugu...aisee wewe jamaa. hukosi kabisa kwenye mambo hayo najua umeidownload hii clip
hahaa ... wewe jamaa kumbe unamjua msocha..Haha... umepotea ndugu...
Msocha anakusalimia [emoji16][emoji16]
Hahaha namjua yule boya... nikishagombana naye akataka kunifukuzisha shule.hahaa ... wewe jamaa kumbe unamjua msocha..
kile kichwa hatari kinatoa adhabu ambazo sio realistic kabisaa. ha ha ha ..umemjuaje?
daaaaah.....aisee wewe jamaa kuanzia leo naacha kuku snitch.Hahaha namjua yule boya... nikishagombana naye akataka kunifukuzisha shule.
Mimi mgalatia mzee...wee mwenyewe jichanganyeee siku unisnitch nakujua hadi vyeti vyako.
unanifanya nitamani kumtia machoni aisee khaaaaa watu huwa mnafaidi kweliYou killin' it Baby J.
These other little scrawny bitches ain't got nothing on you ma!
Hahaha... kwa hiyo mwache Inna ndugu..daaaaah.....aisee wewe jamaa kuanzia leo naacha kuku snitch.
ila vyeti vyangu vipo clean.
aisee saidia basi tumpate met Ben Saanane
Mwalimu wa michezo.Hahaha... kwa hiyo mwache Inna ndugu..
Yule jamaa na bado yupo hapo hapo.. aiseeh hafai. Cha ajabu pia hazeeki
Amekufundisha primary or pale galaxy! Maana nahisi kafika pale 95 kama sio 96.Mwalimu wa michezo.
alikuwa shule ya msingi akahamishiwa secondary ..english zero.. ni mbishi hatari..lazima tu utakuwa umeshaingia anga zake
Ready to mingle?Ameshaniacha mbona... nipo.SINGLE SASA HIVI.
Ebu nishauri.....Ready to mingle?
Em nambie we unafilije kwani?Ebu nishauri.....
Ebu kaandae ushauri bwana baadae jioni ucum nao....Em nambie we unafilije kwani?
Unajua hata dokta anapenda ajue vile unavofil ili ajue anaanzia wapi kukutibu eehEbu kaandae ushauri bwana baadae jioni ucum nao....
Uwe mzuri lakini oooh
Saana najua saaana... Vale wewe ni docta eeeh! Basi dawa itapatikanaUnajua hata dokta anapenda ajue vile unavofil ili ajue anaanzia wapi kukutibu eeh