Miss Natafuta like you've never seen her before

Miss Natafuta like you've never seen her before

hahaa ... wewe jamaa kumbe unamjua msocha..
kile kichwa hatari kinatoa adhabu ambazo sio realistic kabisaa. ha ha ha ..umemjuaje?
Hahaha namjua yule boya... nikishagombana naye akataka kunifukuzisha shule.

Mimi mgalatia mzee...wee mwenyewe jichanganyeee siku unisnitch nakujua hadi vyeti vyako.
 
Hahaha namjua yule boya... nikishagombana naye akataka kunifukuzisha shule.

Mimi mgalatia mzee...wee mwenyewe jichanganyeee siku unisnitch nakujua hadi vyeti vyako.
daaaaah.....aisee wewe jamaa kuanzia leo naacha kuku snitch.
ila vyeti vyangu vipo clean.

aisee saidia basi tumpate met Ben Saanane
 
Hahaha... kwa hiyo mwache Inna ndugu..

Yule jamaa na bado yupo hapo hapo.. aiseeh hafai. Cha ajabu pia hazeeki
Mwalimu wa michezo.
alikuwa shule ya msingi akahamishiwa secondary ..english zero.. ni mbishi hatari..lazima tu utakuwa umeshaingia anga zake
 
Mwalimu wa michezo.
alikuwa shule ya msingi akahamishiwa secondary ..english zero.. ni mbishi hatari..lazima tu utakuwa umeshaingia anga zake
Amekufundisha primary or pale galaxy! Maana nahisi kafika pale 95 kama sio 96.
 
Back
Top Bottom