Mnaotafuta wake chukua mke uyu aiseeyeyote Mwenyenzi Mungu atakaenipa ,ila namuomba mungu at least,awe mwanaume I mean awe anajua majukumu yake,majukumu ya mwanaume ni kutunza familia kwa kusaidiana na mkewe .pia anipende kwa dhati.mengine tutabadilishana .kila mtu ana mapungufu yake
Aisee bas itabid tu kweli niwaowe wote wawili wewe na mbiti kama ulivyoombaga hapo nyumasina am single and lonely
suruali ya kitambaa na shati la mikono mirefu,gauni fupi la kitenge lililochanua maana nina mguu wa hatare. hayo tu mkuu
sipendi vibaka wa papuchi
Mandazi tayari lakini?[emoji137] [emoji137] Jana na leo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya karibu
Punguza kula bhanaa, sio kwa kupitwa hukuu
Andazi leo hakuna ??[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] si ya usiku jaman nitapika bado mida
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndo swali la Jose kila interview lazima liwepo
Brooh!Miss umesema papuchi yako tamuu,
Ulisikiaje? Ulidunga dole ukaramba?
Ni mnato au Bakuli la maji ya kunawa?
Ningejuaa [emoji4] [emoji4] [emoji4][emoji137] [emoji137] Jana na leo
Jaman leo sipiki maandaziMandazi tayari lakini?
Baba D leo hakuna jamanAndazi leo hakuna ??
Vimeishaa, we pambana na hali ya hogo huko uliko shosthuko kwenu vibamia bado vipo?
[emoji39] [emoji39] [emoji39]nafight sana kupunguza mwili wangu mkuu.sijivunii kuwa mnene ila namshukuru mungu sana kwa kuniumba hivi nina papuchi ya kutosha siwezi kufa njaa mjini
Aisee mbona unamwaga mchele kwenye kuku wengi. Kwakweli mimi sina kibamia kapeace nina hogoKibamia size ya karoti sio kidole gumba km unacho sema nimpindue mbiti[emoji12] [emoji12] [emoji12] sorry imejitype
Sent using Jamii Forums mobile app
Muulize dada yake hebu kama ameshalisha kuku? [emoji3][emoji3]Jaman leo sipiki maandazi
Mnanipa tabu nyieTumeshafika dada
Asiponichagua nakata rufaa mahakama ya kenya.Kwa mfano ingeandaliwa JF TOGETHER PARTY, ni member gani ambaye ungetoka nae??
Na je Members gani wawili KE NA ME wanaokuvutia humu jukwaani ??
AhahhahahNingejuaa [emoji4] [emoji4] [emoji4]
ahaaa usijali dear si unajua penye wengi?[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
Hii naikubali kwa 100% na sijawahi kusema sehemu ila nilijiridhisha siku ile moja tuliyopiga story sehemu. Japo zilikuwa chache kwanza sikutegemea kama we ni mtu wa aina ile na ungenipokea vile.
Hongera sana ndio mana watu wakikuongelea vibaya huwa najikalia kimya huku ukweli ninao moyoni.
Nilikukubali kimya kimya lol.
sitafuti mwanaume wa kuwa nae humu ndani mkuu,nipo jf kusocialize kama watu wengine, na kuhusu kupata mwanaume wanaume wapo ila sijapata huku labda hayupo wa fungu langu. kuhusu ubonge wangu sidhani kama ni kweli wanawake wanene hawana wapenzi. kuhusu jinsia yangu kumwa me aliesema ungemuuliza yeye . naswali lako la mwisho sio kila mtu ana mpenzi huku duniani,wala sio swala la lazima so hata kama huna hutakiwi kujiskia vibayaNi Kweli kuwa huwa unatafuta Mwanaume wa kuwa naye humu ndani au..? Na kwanini hujawahi fanikiwa kuwa au Kupata Mwanaume ? Kwa jinsi ulivyojielezea wewe kwa Upande wa Umbo utakuwa Bonge , Je hiyo ndio inayokupelekea ukose Mwanaume au kuna sababu Nyingine?
Pia kama Mdau alivyosema Ni kweli kuwa wewe Jinsi yake ni Me na siyo Ke akama amb avyo umekuwa ukijinasibu?
Mwisho kabissa unajisikiaje Ukiwa na rafiki yako yeye ana Mpenzi na wewe huna ?