Miss Natafuta live interview on DJ sepetu show!

Miss Natafuta live interview on DJ sepetu show!

yeyote Mwenyenzi Mungu atakaenipa ,ila namuomba mungu at least,awe mwanaume I mean awe anajua majukumu yake,majukumu ya mwanaume ni kutunza familia kwa kusaidiana na mkewe .pia anipende kwa dhati.mengine tutabadilishana .kila mtu ana mapungufu yake
Mnaotafuta wake chukua mke uyu aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]

Hii naikubali kwa 100% na sijawahi kusema sehemu ila nilijiridhisha siku ile moja tuliyopiga story sehemu. Japo zilikuwa chache kwanza sikutegemea kama we ni mtu wa aina ile na ungenipokea vile.

Hongera sana ndio mana watu wakikuongelea vibaya huwa najikalia kimya huku ukweli ninao moyoni.

Nilikukubali kimya kimya lol.
ahaaa usijali dear si unajua penye wengi?
Ni Kweli kuwa huwa unatafuta Mwanaume wa kuwa naye humu ndani au..? Na kwanini hujawahi fanikiwa kuwa au Kupata Mwanaume ? Kwa jinsi ulivyojielezea wewe kwa Upande wa Umbo utakuwa Bonge , Je hiyo ndio inayokupelekea ukose Mwanaume au kuna sababu Nyingine?
Pia kama Mdau alivyosema Ni kweli kuwa wewe Jinsi yake ni Me na siyo Ke akama amb avyo umekuwa ukijinasibu?
Mwisho kabissa unajisikiaje Ukiwa na rafiki yako yeye ana Mpenzi na wewe huna ?
sitafuti mwanaume wa kuwa nae humu ndani mkuu,nipo jf kusocialize kama watu wengine, na kuhusu kupata mwanaume wanaume wapo ila sijapata huku labda hayupo wa fungu langu. kuhusu ubonge wangu sidhani kama ni kweli wanawake wanene hawana wapenzi. kuhusu jinsia yangu kumwa me aliesema ungemuuliza yeye . naswali lako la mwisho sio kila mtu ana mpenzi huku duniani,wala sio swala la lazima so hata kama huna hutakiwi kujiskia vibaya
 
Back
Top Bottom