Miss Natafuta live interview on DJ sepetu show!

Miss Natafuta live interview on DJ sepetu show!

Hii interview ilikuwa tamu sana maana ni mwendo wa maswali na majibu papo kwa hapo
Walioharibu ni wale wa kuwekeana siti walipofika mpangilio mzima ukaharibika interview ikageuka kuwa kijiwe cha soga
Interview nyingine DJ Sepetu fanya kama ya leo unaanza moja kwa moja wakuitana wakistuka interview imeisha.Hongera Joseverest imeitendea haki hii interview
Anyway ni mtazamo tu wapendwa msijenge chuki
 
Hii interview ilikuwa tamu sana maana ni mwendo wa maswali na majibu papo kwa hapo
Walioharibu ni wale wa kuwekeana siti walipofika mpangilio mzima ukaharibika interview ikageuka kuwa kijiwe cha soga
Interview nyingine DJ Sepetu fanya kama ya leo unaanza moja kwa moja wakuitana wakistuka interview imeisha.Hongera Joseverest imeitendea haki hii interview
Anyway ni mtazamo tu wapendwa msijenge chuki
[emoji122] [emoji122]

muosha rungu
 
hapana ,japo nilisex na mwanaume ambae nampenda for money ila hakunipa hata mia ya nauli na sikuwa na nauli nikatembea kwa mguu masaa mawili na jua kali.plus papuchi yangu ilivotamu na nzuri nilimchukia vibaya mno .sipendi hata kumsikia
Let him rest in jail
 
Back
Top Bottom