Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Chattle[emoji12] [emoji12] [emoji12]Ww mwenyeji wa mkoa gani asee
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chattle[emoji12] [emoji12] [emoji12]Ww mwenyeji wa mkoa gani asee
[emoji23][emoji23][emoji23] ujue uliniquote kule kwa josse naanzaje kukuita sasa woiiiiNisamehe tuu dadaake ndio napata muda now sasa sielewi naanzia wapi maana naenda mbele mara narudi nyuma yaan hekaheka mtindo mmoja ili mradi vituko, ila acha nijitahid tuu kusoma maana huyu mwanadada nampendaga sana aiseeh.
Nimepitwa sanaNakuonea huruma
Ohh jewe ulunva sawaaaa
Kuna nyingine kule ya faiza foxyNimepitwa sana
Alafu comments nyingiiii
Hujaona kama umeitwa kule kwa faiza?[emoji23][emoji23][emoji23] ujue uliniquote kule kwa josse naanzaje kukuita sasa woiiii
Haaaa haaaa nilitaka kuwai nafasi yakoOoh shem mbona unaandika kwa haraka hivyo..kuna usalama kweli
Yaani nimeona shooKuna nyingine kule ya faiza foxy
JitahidiNisamehe tuu dadaake ndio napata muda now sasa sielewi naanzia wapi maana naenda mbele mara narudi nyuma yaan hekaheka mtindo mmoja ili mradi vituko, ila acha nijitahid tuu kusoma maana huyu mwanadada nampendaga sana aiseeh.
Nielekeze unafanyaje kama unatumia simuHalafu bibie JF kuna option ya kuedit. Kwahio ukikosea typo unaedit sio kujaza comment ya pili.
kazi yenu naijua hahahKamati haina maswali
PoyeeeeNimepitwa sana
Alafu comments nyingiiii
Good goodhonestly kiroho safi kabisa huwa namuappreciate kila mtu humu ndani.hata mtu nikigombana nae ni ile tu nyuma ya keybord ila sina kiburi au kinyongo cha ndani nae.japo kuna watu wanaoniudhi kwa kuniita Malaya as if nishawai kulala nao ,ila kila mtu humu mi nampenda tu japo kuna mashost zangu humu ndani nawaitaga wambea wenzangu ahahaa acha tu sitaki kuwataja
Kuna nyingine kule ya faiza foxy
Sehemu gani yaan nipo humu humu tuHujaona kama umeitwa kula kwa faiza?
Ngoja niisubiri ya bi faizaPoyeeee
Asili ya kwa kagame huko!