Miss Natafuta live interview on DJ sepetu show!

Miss Natafuta live interview on DJ sepetu show!

Nakupenda pia mamii, ubusy wa leo nimekwazika sana kweli jf ni ugonjwa mbaya sana ila ndio hivyo mwaya hakuna namna lazima kazi zifanyike tuu.
Kweli kabisa ndio mana mi pia napenda kuingia nikiwa nishamaliza vishughuli vyangu mana uteja wa jf haujawahi muacha mtu salama.

Unaweza jikuta story zimenoga huku shughuli nazo zinasubiri basi hapo ni lazima kimoja kiharibike.

Pole sana my dear.
 
nafight sana kupunguza mwili wangu mkuu.sijivunii kuwa mnene ila namshukuru mungu sana kwa kuniumba hivi nina papuchi ya kutosha siwezi kufa njaa mjini
Miss Natafuta hapa ndo unapotofautiana na wadada wengi humu.Upo free mpka Raha!you know what My Man anakupendaga kwa jinsi ulivyo.I dare to say this.Huwa lazima akuongeleeeeee.Na Mimi nilishamgundua.
Una mambo Adimu.Nakwambia tena.
Kiroho safi tu.Wewe ni MTU.Tena Unayejijuaaaa!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio mbaya ngoja wengine tushibe kwanza
70b0d5691a7318683f1a3b418483968a.jpg
The makafi ugali
 
Back
Top Bottom