Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Hongera kwa kuwa na mradi..tueleze Changamoto zipi unapitia kwenye kazi zako..naomba kwenye taaluma nisiseme .ila kwa sasa nimeajiriwa .japo nina mradi wangu wa kuku mmoja na vifaranga kumi .nina plan ya kuanzisha mradi mkubwa bado najipanga kuraise capital.
Usijibu sasa maswali ya audiencenina mambo mengi ya kujivunia maishani .kama kuwa na wazazi wazuri,ndugu wazuri wanaonipenda,elimu,afya mengi tu.yapo pia mambo mengi naregret but that's life sina la kufanya wala siyapi nafasi.naangalia mambo mazuri yaliyopo mbele yangu na sio mabaya ambayo yalishapita
Hunter si unajua bado nimejificha acha aendelee kunitafuta.Miss Natafuta UNATAFUTA HADI LEO???
Kujihusisha nao kimapenzi yaanikuwajua nawajua si mpo kila mahali mkuu au kuwajua kivipi?
Hunter nakuona mzee wa fursaHunter si unajua bado nimejificha acha aendelee kunitafuta.
mimi ni disminda flani hivi. kuna vitu huwa navichukulia easy jf sio area yangu ya muhimu sana so huku sichukii lolote .napenda kusocialize na watu tofauti .kupata new ideas .challenges na habari tofautitofauti.uchumi,siasa ,mapenzi.kama unavoijua jf na mambo yakeVitu gani unapenda hapa JF na vipi unavichukia??
Ataachaje kujibu na wakati haya maswali yanamuhusu??Usijibu sasa maswali ya audience
muosha rungu
I love you too mkuuNakupenda sana we raia
Keep it up baby..
Good good..hobbies na interest zako ni zipi??mimi ni disminda flani hivi. kuna vitu huwa navichukulia easy jf sio area yangu ya muhimu sana so huku sichukii lolote .napenda kusocialize na watu tofauti .kupata new ideas .challenges na habari tofautitofauti.uchumi,siasa ,mapenzi.kama unavoijua jf na mambo yake
asante DJ sepetungaMambo members!
Leo in the house tunaye miss Natafuta!
Karibuni sana!!!
muosha rungu
Anijibu tu hapa badae itakuwa jau mkuuUliza ila atajibu baadae uwe Na utaratibu comrade
muosha rungu
Shughuli gani unafanya!
Okay nini unaogopa sana ktk maisha
muosha rungu
mbona unarudia maswali mkuu?naomba kwenye taaluma nisiseme .ila kwa sasa nimeajiriwa .japo nina mradi wangu wa kuku mmoja na vifaranga kumi .nina plan ya kuanzisha mradi mkubwa bado najipanga kuraise capital.
utanifanya nione aibu jamanihizi interview za muoshwa rungu huwa nazipuzia ila kwa huyu mrembo sitocheza mbali
Jamii inayokuzunguka inakuchukuliaje kulingana na mienendo/tabia zako?? Mpole, mkarimu au anti-social??I love you too mkuu