Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Samahani kwa hili swali Una maana gani kusema una papuchi ya kutosha huwezi kufa njaa mjini??nafight sana kupunguza mwili wangu mkuu.sijivunii kuwa mnene ila namshukuru mungu sana kwa kuniumba hivi nina papuchi ya kutosha siwezi kufa njaa mjini
ahahaaa sijawai kupata pressure na tumbo lipo size ya kati mkuu .sinywi pombe wala kitimotoanhaa sawa, ulishawahi kupata Presha au kiribatumbo kwa ajili ya uzito wako??
anhaa asante kwa usahihisho, je utatoa adhabu gani kwa mumeo kama hayo niliyoyasema yametokeamume kuchepuka au kutolisha familia hizo sio changamoto mkuu hayo ni makosa.changamoto ni hali ambayo imetokea bila kutarajia kwenu wawili,like ugonjwa,maafa kwenye biashara,kufukuzwa kazi na situation nyingine kama hizo.ila mtu kutoka nje ya familia na kuanza kukitembeza kitaa ukaacha kujali familia hilo ni kosa na linastahili adhabu kali
kuhusu mkoa naomba nisiseme mkuu ila mimi ni mtu wa kaskazini huko.kutoka nje ya tz nilishawai kwenda Kenya na ugandaMiss natafutaa
Kwanza napenda kukupongeza wewe ni kati ya madem hapa jf nawapenda na kuwakubali
Swali kwako
Unatoka mkoa gani hapa tz
Pili ulishawahi toka njee ya nch
dhuluma na uhasidi ndio chanzo cha umasikini
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]naomba kwenye taaluma nisiseme .ila kwa sasa nimeajiriwa .japo nina mradi wangu wa kuku mmoja na vifaranga kumi .nina plan ya kuanzisha mradi mkubwa bado najipanga kuraise capital.
Huwa unafanya mazoezi lakini eee??ahahaaa sijawai kupata pressure na tumbo lipo size ya kati mkuu .sinywi pombe wala kitimoto
ahahaaa jumlisha na kutoa .I mean huu mwili wangu unatongozeka badoSamahani kwa hili swali Una maana gani kusema una papuchi ya kutosha huwezi kufa njaa mjini??
ahahaaa[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
Katika zote nimependa huo mradi wakoahahaaa
Hapo nimekuelewa aiseeahahaaa jumlisha na kutoa .I mean huu mwili wangu unatongozeka bado
Leo ni mbivu na mbichi nitazipataMambo members!
Leo in the house tunaye miss Natafuta!
Karibuni sana!!!
muosha rungu
Hivi mwanaume akiacha kulisha familia nikusahau au maamuzi yenye makusudi ndani yake.Hapo sawa, umesema kila mtu ana mapungufu yake nakubaliana na wewe je , changamoto za ndoa zikitokea utazijuaje may be mumeo kachepuka au kasahau kulisha familia??
mimi mpole sana shost wangu believe meYeeeeeh!
Lady in the house.
Mdada mbabe wa Jf
Nani kama Miss Natafutaaa??
Eager to hear from hear
A lady with confidence!
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahahaaaTutegemee kusikia hahitaji mwanaume
Kwenye aina za muziki unapenda miziki ya aina gani??ahahaaa
Ulivyokuwa unatuchimba mkwara tusimuulize maana yake nini??Third ilani:members endeleeni kumuuliza maswali miss natafuta.
muosha rungu