Miss Natafuta live interview on DJ sepetu show!

Miss Natafuta live interview on DJ sepetu show!

mume kuchepuka au kutolisha familia hizo sio changamoto mkuu hayo ni makosa.changamoto ni hali ambayo imetokea bila kutarajia kwenu wawili,like ugonjwa,maafa kwenye biashara,kufukuzwa kazi na situation nyingine kama hizo.ila mtu kutoka nje ya familia na kuanza kukitembeza kitaa ukaacha kujali familia hilo ni kosa na linastahili adhabu kali
anhaa asante kwa usahihisho, je utatoa adhabu gani kwa mumeo kama hayo niliyoyasema yametokea
 
Miss natafutaa

Kwanza napenda kukupongeza wewe ni kati ya madem hapa jf nawapenda na kuwakubali

Swali kwako

Unatoka mkoa gani hapa tz

Pili ulishawahi toka njee ya nch

dhuluma na uhasidi ndio chanzo cha umasikini
kuhusu mkoa naomba nisiseme mkuu ila mimi ni mtu wa kaskazini huko.kutoka nje ya tz nilishawai kwenda Kenya na uganda
 
Hapo sawa, umesema kila mtu ana mapungufu yake nakubaliana na wewe je , changamoto za ndoa zikitokea utazijuaje may be mumeo kachepuka au kasahau kulisha familia??
Hivi mwanaume akiacha kulisha familia nikusahau au maamuzi yenye makusudi ndani yake.
 
Back
Top Bottom