Miss Natafuta live interview on DJ sepetu show!

asante ila msiniulize maswali magumu sipendi kusema uongo


kuna baadhi ya vitabia nahisgi tunafanana leo sikosi !i hate lying jaman !ova unapewa kula humu na wanajf ! nipo nawah seat kbs ! Madam Mwajuma nakuwahia siti !hapana mamy we jibu tu km huna akili nzuri vlie inahu!ila na ww usitudanganye umeolewa kumbe bado !eish !
 
naomba kwenye taaluma nisiseme .ila kwa sasa nimeajiriwa .japo nina mradi wangu wa kuku mmoja na vifaranga kumi .nina plan ya kuanzisha mradi mkubwa bado najipanga kuraise capital.
Keep it up mumy.

Kiwanda kidogo hicho
 
ahaaa uongo mwenzangu unatesa.by the way ile foundation niliipitia inaitwa bride .japo ni mchina ni nzuri sana ipo laini halafu haiitoki haina jasho
 
hakitoshi kabisa .sema inabidi mambo mengine yasiyo ya lazima niachane nayo.nimeacha kuishi extravagant life naishi simple tu sipendi mikopo au kuomba kwa watu
Hongera nikupongeze kwa hilo... Je ushauri wako kwa vijana wanaotafuta mafanikio kwa njia za mkato (shortcuts) ni upi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…