Miss Reds Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kazi anayo, Umri wake utata mtupu

Miss Reds Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kazi anayo, Umri wake utata mtupu

Ki ukweli mwonekano wake si wa mtu aliyechini ya 26. Pamoja na kuvaa mask, bado zimedunda kuficha ukomavu. Nyama za mikono zimelegea kinyumke na watoto wa kiafrica wa umri 18.

Na ukimtazama ni kama kweli amewahi kuzaa na kama hajazaa basi ni mkubwa kuliko 26.

Lakini, wala hainipi shida kwa sababu mashindano haya, hayalet tija kwa mtu yeyote hapa. Ila ninaangalia mtidno wa ccm kuchakachua kila kitu na sasa umiss, hakuna kitu chenye mkono wa ccm kitakachokuwa halali!.

Popote utakapoona ccm wanajisogeza, fahamu tayari disco limeingiliwa mmasai na mkuki, rungu na sime. Kwa hiyo ukitaka jambo liende halali kwa ustaarabu na viwango sahihi bila mizengwa na uchakachuaji, jambolako liwe mbali na ccm. vinginevyo umeliwa!.
 
Kama Siasa ni hivi unavyoona, watu wako upande mwingine. Mmesahau wale wenye Ph'D makanjanja wa Elimu, Bongo Duh
 
Anyang'anywe taji kwa kudanganya au kwa kuwa na miaka mingi? Kwani miss anatakiwa awe na miaka mingapi?

kushiriki miss world mwisho 24yrs, labda huyu asiende, na wakimtilia fitna huko ndio kimenuka. Lundenga amejiibisha sana
 
Mtenvu alihonga hapo ndio maana alipohojiwa akasema nimefurahi sana na kuanzia leo namkabidhi taasisi ya Mtenvu foundation aindeshe, kwa hiyo ilikuwa njia ya kuinadi taasisi hiyo kwenye mashindano hayo, ile taasisi yake ya kupeleka watanzania kutumikishwa Dubai, kaona akimuweka binti front line itakuwa rahisi kupata wafadhili kwa kuwa wengine watamfadhili binti. Alichoka kutumia hela yake hapo kamnadi binti mwenye nacho adili nae.
 
Hili jambo linazidi kuzua utata kila Leo!
Kamati ya Miss Tanzania inasema Mwasiti ana Miaka 23 na sio 18 na hana Masters bali ndio ana kwenda kusoma!

Kuna mambo ya kujiuliza!
Hili swala la miaka 18 lilitoka wapi?

Swala la yeye kuwa na Masters limetoka wapi?

Siku ya Mashindano Biography yake ilisemaje kuhusu umri na kiwango chake cha Elimu?

Kuna kila sababu ya kupata video za siku ya tukio la kumtafuta Miss Tanzania 2014 ili kujua nini kilisemwa kwenye biography ya Mwasiti!
 

Attachments

  • 1413457244200.jpg
    1413457244200.jpg
    69.1 KB · Views: 442
Tena mbele ya Baba na Mama ama kweli tumelelewa tofauti mwe mwe mwe !

Na ndio waumini wa kiislam hawa, napata picha kwa nini hawa wabunge hawataki mahakama ya kadhi, kwa mwendo huu waislam wataendelea kudanganywa suburini na watasubiri sana kama hawa kina mtenvu wataendelea kuwa waheshimiwa. Sijui heshima yake iko wapi katika hii picha.
 
Mimi ni mdau wa elimu,naomba kujifunza kitu hapa.

Miss Tanzania wa mwaka 2014 Sitti Abbas Mtemvu anadai ana umri wa miaka 18 na ana elimu ya shahada ya uzamili (Masters).

Jaman kwa namna ipi na kivipi inakuaje nisaidieni.Inachukua miaka 18 mtu kupata masters.Ina maana alianza shule na miaka 0, hata kama kasoma ulaya naomba kueleweshwa hapa kidogo.



daah watto wao wanaenda kusoma marekan sisi wanatujengea shule za kata maabara hakuna ,maktaba daah hii ndo
tanzania bhana! Akili Kwenu Wana Temeke, Mtoto Wa Mbunge Wenu Huyo Sekondar Mpaka Chuo Marekani Wakati Temeke Nahc Ni Wilaya
Ambayo Inaongoza Kwa Kua Haina Maendeleo.Watoto Wanakaa Chn Skull, Hospitali Huduma Mbovu, Wananch
Wanakuja Kutibiwa Mwananyamara, Daaaaa Wana Temeke Ntawaona
Wapumbavu Sana Kama 2015 Mtafanya
Makosa Again, People's Power
 
Mimi ni mdau wa elimu,naomba kujifunza kitu hapa.

Miss Tanzania wa mwaka 2014 Sitti Abbas Mtemvu anadai ana umri wa miaka 18 na ana elimu ya shahada ya uzamili (Masters).

Jaman kwa namna ipi na kivipi inakuaje nisaidieni.Inachukua miaka 18 mtu kupata masters.Ina maana alianza shule na miaka 0, hata kama kasoma ulaya naomba kueleweshwa hapa kidogo.



Wale wenye uchu wa kuwa washindi wa
Miss Tanzania Mwaka 2015 Mwenzenu
ameshawaonyesha mbinu inaitwa
CONFUSE THE JUDGES!! Jifunze
Kichina muda ukifika
KAMUA JUKWAANI hata kama
umewatukana ukoo wao mzima kwa
kichina UTASHINDA..
 
Back
Top Bottom