Miss Tanzania 2014 live Star TV


Ndo mana niliacha kuangalia haya mashindano toka wakati wa rich adhia...walinitifua,,,na siji kuangalia..total waste of time...mfyuuuu
 
.
Nimefatilia comment za watu nimengudua watanzania wengi sana wana wivu!!!!

Nawewe ulivyokuwa unamsema kaka yako vibaya kuwa anakuombaomba kumbe unamuonea wivu sababu kasoma!!!
 
Kwanza ni mtu mzima sana...pili characteristics za good leader sio mambo ya health and education tatu jihad ndo mshindi wengine mavi matupu nne kamati ya miss tz hawana jipya bora hata wakajiunge na bongo movie..memaliza
 
je mapele king j'habite a minjingu tu le monde swaye la bien vienyu de atown.
 

muuza sura we kweli mwanadaslam!!!
site senta ofisi ni mtu aliposimama.....!!!
 
Naona miss Tanzania 2014 kwa mbali ana kitambi ndogo
 
ndo mshindi
Only in Tanzania. Kitendo cha huyo binti kutumia lugha ambayo haikuwa kwenye option za lugha kilitosha sana
kumdisqualify kwenye shindano. Eti ndiye mshindi namba moja redd's miss tanzania 2014!!!!!!!!!!!!!!! Kumbe vichaa wako wengi sana huku nchini.
 
nilichogundua miss tz n madudu matupu...nkajua vigori watamwaga kisw cha haja...kumbe wapiii wote elingshi yenyewe ugoko!

Hivi miss world...wachina,wafrance,wareno nk huwa wanaongea kiingereza...jamani tuaxhe kukariri!

hafu nimegundua kuwa..
bila kigori "kufunuliwa" papuchi yake...harambi kituuuu!
 
Mbona ndo zao uyo miss IG yake ambasadorsittimtemvu na mwenzake pendojones walikuwa marekani
 
Last edited by a moderator:
kiingereza ndio lugha kuu ya mawasiliano wanapokuwa kambini miss world....so ni muhimu miss TZ wawe wanazungumza fluent english vinginevyo kule kambi ya miss world watanuka midomo tu
 
Kamati ya REDDS ivunjwe na 1st runner up apewe ushindi. Haiwezekani mtu aliyeongea Kifaransa lugha ambayo haikuwa kwenye orodha apewe ushindi. Halafu mbaya kabisa hakuna aliyeyoa tafsiri ya alichoongea. Haki haikutendeka. Why would the judges do this? Akajaribu kufanya hivi kwenye relevant country aone kitakachomtokea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…