Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Mshindi wa leo atakua kawazidi wenzake uzuri kutoka kwa wabovu mshindi kati ya wabovu
Yani leo angekuwepo mpoki hawa Mamiss sijui
Yani leo angekuwepo mpoki hawa Mamiss sijui
Huyo Miss Sinza ana mdomo mpanaa hahaa asee wengine wapo wapo tu kutimiza idadi
Jokate kabadili sauti leo hhhhhaaaaa hivi wema yupo
STAR TV wamechemka, angalia wakati mwingine mwanga ni mkali.
Ana muiga Lulu ila nimempenda sarakikya mzuri hatar
Hivi miss shinyanga wapo wawili eee sarakikya na Marry
Shinyanga naona safari hii mambo yanaweza kuwa mazuri ngoja tuone
Watakua wa lake zone wote
Hizo ni ARVJokate kanenepaaa