Mkuu sijajua jinsi ya kutupia picha ila yupo lakini kifupi aliwazidi wenzake ila sio watanzania maana ni wa kawaida sana faraja kota angepanda angeshindaYuko wapi sasa
Kweli kwa njia hiyo atafanikiwa ila nadhani ndoto yake ni kuwa video vixen na mwanamitindo haya mambo ya kijamii wa sasa hawayajuiMiss Mbeya awe balozi wa kutokomeza ajali mkoani Mbeya.
Dogo chukua madini haya kutoka kwa dadayo
na uzee wote ule lakini angeshinda ..kweli hao ma miss walikuwa ni vijuso " hahaaaMkuu sijajua jinsi ya kutupia picha ila yupo lakini kifupi aliwazidi wenzake ila sio watanzania maana ni wa kawaida sana faraja kota angepanda angeshinda
Pety pety issues by John Heche!Katika usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wenye hadhi ya kimataifa na unaofanya vizuri kwa sasa kwa mikutano wa JINCC mrembo kutoka kinandoni Queen Elizabeth amewalaza chali washiriki wengine 19 akiwemo miss Mbeyaaaaaaa!(kwa sauti yake)
Tangu mwanzo sana miss huyo mwenye vigezo vingi kuwazidi wenzake alionekana kupata utabiri wa ushindi hata kutoka kwangu(hapa muhindi angeweka mzigo angepigwa asubuhi) wa kuwashinda wenzake na mpaka majira ya usiku mnene watu wakiwa wamechoka kwa usingizi alitangazwa kuwa mshindi wa miss Tanzania hivyo nae amekuwa sehem ya washindi wa shindano linaloanza upya mara kwa mara
Confirm ....... sasa ukute unajua swali moja zaidi ,jingine hujui kiasi ,na jingine ndo kabisaa hamna kitu , mwisho unachukua Effects WW2 unaweka kwenye points za Great Depression ...[emoji3]
Anzisha mashindano yako tuone unatoa zawadi gani siyo kuongeaongea tuhabari wadau..
gari la mshindi wa diamond karanga ni zuri kuliko miss tanzania .
hii inamaanisha nini?
je diamond karanga ni kubwa kuliko miss tanzania
Kapewa zawadi gani Miss Tz?Na ndo kashakua miss ivo hamna namna mpka mwakani mkuu
Katika usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wenye hadhi ya kimataifa na unaofanya vizuri kwa sasa kwa mikutano wa JINCC mrembo kutoka kinandoni Queen Elizabeth amewalaza chali washiriki wengine 19 akiwemo miss Mbeyaaaaaaa!(kwa sauti yake)
Tangu mwanzo sana miss huyo mwenye vigezo vingi kuwazidi wenzake alionekana kupata utabiri wa ushindi hata kutoka kwangu(hapa muhindi angeweka mzigo angepigwa asubuhi) wa kuwashinda wenzake na mpaka majira ya usiku mnene watu wakiwa wamechoka kwa usingizi alitangazwa kuwa mshindi wa miss Tanzania hivyo nae amekuwa sehem ya washindi wa shindano linaloanza upya mara kwa mara