Miss Tanzania akiwa na walimbwende wenzake, je atawashinda?

Atashinda!
Katka mamiss Tz waliopita huyu atatutoa kimasomaso wengi hamtaamini
 
Teh, kumbe ndo huyo , mzuri sana , teh teh
 
Jamani mm naona miss Tanzania hapo anaonekana kama mtu aliyeugua kwa muda mrefu sasa ndio ana recover na hao ni marafiki walioenda kumjulia hali
Mmmh wabongo nimewashindwa kwa kweli[emoji12] [emoji12]
 
Wenzake wanacheka ila yeye hapo sijui ndio kacheka au katabasamu!
 
Huyo naona kaenda kuwa dekia wenzie ni mbaya wa sura walah ni mbayaaa
Hebu mfananisheni tu na miss Rwanda kabla hamjatoka povu , yaani miss wetu mbaya halafu hata nguo akivaa hazimpendezi......li wigi lake analovaa sasa yereuwiiiiii kama tambala la deki.....kwa wataalam wa picha hebu tuwekeeni picha za mamiss wengine wa africa ndo mtaamini huyu wetu kituko..

Yule aliyeenda miss universe atafanya vizuri sio kwaajili ya weupe wake bali pia anavutia


Hata kama ni weusiiiiii wakina Odemba walikuwa weusi wanavutia , lakini huyu hapanaaaa
 
Kama wangeangalia uzuri tu, Agban Darego kutoka Nigeria asingetwaa taji 2001
 
Mkuu Mungu anakuona unavyoponda kazi yake
 
Lile liwig lake rangi haieleweki ugoro sio ugoro sijui alichukua wig ambayo dada yake alifanyia ubatizo au ilikuaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…