Huyo naona kaenda kuwa dekia wenzie ni mbaya wa sura walah ni mbayaaa
Hebu mfananisheni tu na miss Rwanda kabla hamjatoka povu , yaani miss wetu mbaya halafu hata nguo akivaa hazimpendezi......li wigi lake analovaa sasa yereuwiiiiii kama tambala la deki.....kwa wataalam wa picha hebu tuwekeeni picha za mamiss wengine wa africa ndo mtaamini huyu wetu kituko..
Yule aliyeenda miss universe atafanya vizuri sio kwaajili ya weupe wake bali pia anavutia
Hata kama ni weusiiiiii wakina Odemba walikuwa weusi wanavutia , lakini huyu hapanaaaa