Miss Tanzania aliyehojiwa Mkasini jana

Miss Tanzania aliyehojiwa Mkasini jana

mshamba tu huyu dada alafu nichotara

Chotara la kigiriki halafu kafanana na Miss Uganda wa mwaka huu kweli point 5 wa mulugo ni shiiiiiddddaaaaaa,kaniboa na kizungu chake tu kiswakinge kibao bora angeongea kiingereza full na sio kumix mix.
 
bora hukuona tu. Anaongea VIBAYA. ALINIKERA SANA.

SIJUI KWANINI KUNA BAADHI YA WATU WANDHANI NI UJANJA, KU ACT HAWAJUI KISWAHIL.

sasa kama kweli hajui kiswa asiseme? usifiri kila mtanzania amekulia mtaani kwenu...eboo!!
 
Ana uchotara ganii huyo jamaniii hebu wekeni picha mnaowezaaaa,

yeye mwenyewe alisema ingawa ni mweusi balaa aisee alafu ukisema ni miksa na ugiriki sielewi ingawa ana akili sana. sasa hapa EATV wamemweka yule wa tatu nae miksa mhindi du anaitwa JIHAN JITAN
 
yeye mwenyewe alisema ingawa ni mweusi balaa aisee alafu ukisema ni miksa na ugiriki sielewi ingawa ana akili sana. sasa hapa EATV wamemweka yule wa tatu nae miksa mhindi du anaitwa JIHAN JITAN

Labda mgiriki mweusi hhhhhhaaaa
 
Huyo ni happiness watimanywa, ndio anawakilisha miss world mwaka huu though alishinda taji la miss TZ mwaka jana. Bibi bomba yeye kutuwakilisha miss world ni mwaka kesho November, Ila hataenda kutuwakilisha mwaka huu tu ana miaka 25, mwaka kesho atakuwa na miaka 26 ni kitu kusichowezekana kabisa

ram kwanini usingegombea wewe miss TZ?
 
Sasa watu weupe wana damu kali mnoo,au mama alimdanganya kua baba yake ni mgirikii

hata mimi jana nilipomsikia kwenye kipindi cha mkasi anasema baba yake ni mgiriki nilipatwa na mshangao. Natamani mwenye picha za wagiriki atuwekee
 
Jamani happy ni step daughter wa huyo mgiriki wadogo zake ndo point tano
 
Back
Top Bottom